Mheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Pia soma Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Betty ni Dr nowadays? Hongera kwake!Mheshimiwa Dr Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Bafuni amaaMheshimiwa Dr Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
vijana jiajirini. Wazee akili za kujiajiri walizipoteza wakiwa na miaka 35.Ana umri gani?
Vijana wako chungu nzima watu mnapendekeza ancestors?
Nope she is not. Ni politics tu kila mtu anaitwa dr sikuizBetty ni Dr nowadays? Hongera kwake!
Ahahahahaha!Ndio Nani huyo Betty?
Kama ni post ya Venus Nyota, inachukuliwa na BM aliyekuwa ME The Citizen Mwananchi.Mheshimiwa Dr Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Aliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na MEKama ni post ya Venus Nyota, inachukuliwa na BM aliyekuwa ME The Citizen Mwananchi.
P
Unafikiri kuna akili za yanga na simba kule, si bora aende Mauridi Kitenge.Jerry Muro ni full package
Nitakufafanulia baada ya uteuzi ili nisije kumharibia maana kadri siku zinavyokwenda, Maza anazidi kufanana na yule Blaza wangu, asije kubadili.mawazo akijua watu tumejua, hivyo kuonekana kama tunampangia!.Aliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME