Betty Mkwasa anafaa kumrithi Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

Betty Mkwasa anafaa kumrithi Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Mheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best

betty mkwasa.jpg

Pia soma Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?
 
Huyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
 
Huyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
 
Back
Top Bottom