Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naitunza hii commentKama ni post ya Venus Nyota, inachukuliwa na BM aliyekuwa ME The Citizen Mwananchi.
P
Naomba mnipendekeze na mm G4N niko jirani tu soko la samaki Kivukoni ni muuza barafu.Mc Pilpili Hana kazi wala ndoa
Itunze maana tangazo ni wiki hii.Naitunza hii comment
Watu wamejaa Mlingotini tayari kuaguaItunze maana tangazo ni wiki hii.
P
Madai ya Mange Kimambi si ndio yatapata uhalali hata kwa tunaomdharau Mange tutaanza kumuamini anachoandika ni ukweli mtupu?UIzi ufungwe, mjomba wangu kaniambia "nafasi hiyo inachukuliwa na Salama J".
Rejea uzinduzi wa album ya Harmonize jinsi mama alivyomuuilizia ukumbini.
Siku hizi kufanikisha jambo lako, sio lazima mpaka uende Mlingotini, unatumia tuu njia za kisasa, modern ways kama hii Siri ya Mafanikio Kupitia Manifestation -1: Manifestation ni Nini?Watu wamejaa Mlingotini tayari kuagua
Atatumika vibaya, bora watafute someone unknown na mwenye viezo, vijana wapo wengi sana wanayoweza hiyo kazi.Ila Ahmed Ally angefaa sana ni vile tu ni muongo muongooo!
Pendekeza majina matatu (kwa vigezo vya Muungano, jinsia, Imani na umri)Atatumika vibaya, bora watafute someone unknown na mwenye viezo, vijana wapo wengi sana wanayoweza hiyo kazi.
Kweli naye akalambemo ASALI KIDOGO.Hii nafasi ni ya Pascal Mayalla, nitashangaa sana kama watamnyima tena safari hii.
Nadhani atapewa.
Huyo Betty Mkwasa ndo sifuri kabisa, bora hiyo nafasi ibakie wazi tu kuliko kumuweka Mkwasa atakayedumu kwa miezi mitatu tu anaondolewaMheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Pia soma Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?