Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Kitenge muache aongelee Mpira tu otherwise mmmh!Unafikiri kuna akili za yanga na simba kule, si bora aende Mauridi Kitenge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitenge muache aongelee Mpira tu otherwise mmmh!Unafikiri kuna akili za yanga na simba kule, si bora aende Mauridi Kitenge.
Aliwahi Kuwa Mtangazaji Mkubwa ITV Na Radio One, Pia Amewahi Kuhudumu Nafasi Ya Mkuu Wa Wilaya.Ndio Nani huyo Betty?
Jerry ni better of, alibugi tu kujipeleka kwenye mamipiraUnafikiri kuna akili za yanga na simba kule, si bora aende Mauridi Kitenge.
Na subscribe kabisaNitakifafanulia baada ya uteuzi ili nisimharibie.
P
KUNA MTU KATEULIWA MAJZIHuyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
Si ndio vizuri ili akaifanye kazi iliyowashinda wenzie ya "kutudanganya".Ila Ahmed Ally angefaa sana ni vile tu ni muongo muongooo!
Pascal Mayalla hujala uteuzi bado????????Kama ni post ya Venus Nyota, inachukuliwa na BM aliyekuwa ME The Citizen Mwananchi.
P
Mimi niko kwenye kundi hili Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza! ila humu jf, wengi wanadhani niko kwenye fungu la kukosa !Pascal Mayalla hujala uteuzi bado????????
Uhaba wa watu unatokana na vijana wengi kujikita kwenye viroba na visungura kutwa nzima, hawataki kazi.Huyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
ME= Managing Editor na BM ni herufi za jina. Bakari MwachumuAliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME
Anacheza kwenye 65/75 hapoHuyu huyu Betty Chalamila early 80's alikua RTD. Let us assume 1980 alikua 25 years minimum. Leo si atakua anakaribia 80?
Tanzania imefikia hapa kwa uhaba wa watu? Si tu import kutoka nje.
Wengine mtasema mbona makamu chair naye hawezi kutumwa dukani na Museveni, umakamu Ni political post.
Nafasi Bado Zipo Atateuliwa TuPascal Mayalla hujala uteuzi bado????????
BM="Baker Man"Aliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME
Mbona Hii baker man nagoogle napata maana tofauti kabisaBM="Baker Man"
ME=Managing Editor
Hapa nimekuelewa vzr kakaME= Managing Editor na BM ni herufi za jina. Bakari Mwachumu
One day yes,vumilia kama mwijaku na kitengeMimi niko kwenye fungu la kukosa
P
Mbona Hii baker man nagoogle napata maana tofauti kabisa
BM who married to BMAliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME