kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Haji Manara is the best!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka code tayar imekua decodedBM who married to BM
..sawa BM anatosha...wasifu wake hauna kona..SUA hoyee!!Kama ni post ya Venus Nyota, inachukuliwa na BM aliyekuwa ME The Citizen Mwananchi.
P
Baka-RI-Mac-HumuAliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME
😉MwishamharibiaMheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Naunga mkono hojaAu zembwela 😄
Ova
Dar es salaam umekuja lini?Ndio Nani huyo Betty?
Anajiita mtoto wa mama kizimkaziDotto magari naye anafaa 😄
Ova
Nyie ndo wachawi!!Mheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
Chawa yule.....sahv wenye mdomo tantalila cv tosha,ndiyo wanaonekanaAnajiita mtoto wa mama kizimkazi
Halafu huyo Betty Mkwasa ukiacha ukaribu wenye mashaka na Msoga, aliwahi kufanya nini?Nyie ndo wachawi!!
Vijana kwa akili zipi?Ana umri gani?
Vijana wako chungu nzima watu mnapendekeza ancestors?
Ha ha haNitakifafanulia baada ya uteuzi ili nisimharibie.
P
Weee...hujui Betty Mkwasa ni muumini wa Msalaba?Mheshimiwa Dkt. Betty Mkwasa anatajwa kuchukua nafasi ofisi Kuu. Kwa hakika tumepata jembe. All the best
BM- Betty Mkwasa/ Betty Chalamila (Mrs. Boniface Mkwasa)Aliyeelewa hapa anisaidie hapo kwenye BM na ME