Betty Mkwasa anafaa kumrithi Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

UIzi ufungwe, mjomba wangu kaniambia "nafasi hiyo inachukuliwa na Salama J".

Rejea uzinduzi wa album ya Harmonize jinsi mama alivyomuuilizia ukumbini.
Madai ya Mange Kimambi si ndio yatapata uhalali hata kwa tunaomdharau Mange tutaanza kumuamini anachoandika ni ukweli mtupu?
 
P
Atatumika vibaya, bora watafute someone unknown na mwenye viezo, vijana wapo wengi sana wanayoweza hiyo kazi.
Pendekeza majina matatu (kwa vigezo vya Muungano, jinsia, Imani na umri)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…