Safi saana dada yetu kipenzi bhoke kwa kujibu maswali kiufasaha na confidence ya juu mno hakika wewe ni mkali,uko makini wale woote waliokuwa wanaua juu yako ni vizabinazabina tu hawana la maana.Nimependa ulivyokiri bila kung'atang'ata na kumung'unya maneno kuwa kila ulichokifanya mjengoni BBA kilikuwa real na hujutii na kuwa ilikuwa ni responsibility yako mwenyewe saafi saaana mijamaa ilikuwa na miswali yao walikupaniaaa wenyeeewe but ulmewatoa nishai safi sanaa.Keep it up na uwape kubwa waandishi wengine uchwara watakaojaribu kukuintaviuu ili kupata majina.:tongue::tongue::tongue:
Hili ni jukwaa la SIASA, haya mambo peleka kwa ma-celebrities siyo hapa. Wenzako tunatafakari bajeti na ndoa kati ya CCM,POLIS, MAHAKAMA na DOLA we unaleta mambo ya BBA,jiangalie bwana!
Dada anapenda sifa za kijinga wakat anaojiwa clouds fm katika jahaz zamarad almpiga kijembe vipi unaweza jutia lolote lililotokea bba.huyu murhaa akajibu kwa kebeh "wala siwez jutia lolote ama kwel bora ya lotus mkorof kuliko bohke mpumbavu idiot,useless gal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.