Bi Sandra afunguka kuhusu mumewe Shamte kuzaa nje ya ndoa

Bi Sandra afunguka kuhusu mumewe Shamte kuzaa nje ya ndoa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20190613_101400.jpg


 
Bibi hayuko tayari kimuacha aende mjini patamu
Jamaa namjua vzr ni mtu ambaye anapendaga kulelewa
Kitambo sana ndy style zake
Ila alipompata mama hyu duh nkaonaga kweli sasa Mai amepata[emoji23]
Hyu mluguru ni balaa kwa wale wa moro watakuwa wnamjua
Ila acha tumwache maana kuna wakati alipitia wkt mgumu kdg

Ovva
 
Jamaa namjua vzr ni mtu ambaye anapendaga kulelewa
Kitambo sana ndy style zake
Ila alipompata mama hyu duh nkaonaga kweli sasa Mai amepata[emoji23]
Hyu mluguru ni balaa kwa wale wa moro watakuwa wnamjua
Ila acha tumwache maana kuna wakati alipitia wkt mgumu kdg

Ovva
Mjini shule. Dar form six. Kila mtu ana mbinu ya kuishi mjini
 
Mjini shule. Dar form six. Kila mtu ana mbinu ya kuishi mjini
Bora lkn awe Ganda la ndizi
Huyu jamaa ashanasaga kule kwa ayatollah
Alikuwaga msafiri zamani
Ni rafiki sana wa mchz wngu mmja wote wazee wa kitonga
Kuna siku tulikuwa sehemu mitaa ya American chips jamaa alipita na alphard wakati tunasalimiana na jamaa
Mai akatutambulisha akasema hyu ndy shemeji yenu "nkamslimia bim dashi shikamooo nkaonaaaa kimyaaa hajibuu "[emoji23]
Ila jamaa kauzu

Ova
 

Mama mtoto anaitwa Sharifa Tambaza. Kwa wasioujua huu ukoo wa Tambaza ulimiliki ardhi ya Upanga kama mashamba yao miaka hiyooo.
Tambaza navyojua Mimi inakirefu nashangaa kusikia ni ukoo
 
Bora lkn awe Ganda la ndizi
Huyu jamaa ashanasaga kule kwa ayatollah
Alikuwaga msafiri zamani
Ni rafiki sana wa mchz wngu mmja wote wazee wa kitonga
Kuna siku tulikuwa sehemu mitaa ya American chips jamaa alipita na alphard wakati tunasalimiana na jamaa
Mai akatutambulisha akasema hyu ndy shemeji yenu "nkamslimia bim dashi shikamooo nkaonaaaa kimyaaa hajibuu "[emoji23]
Ila jamaa kauzu

Ova
Wewe nawe mchokozi , unaangalia kwanza mazingira ya Shikamoo kabla hujaitoa.
 
Wewe nawe mchokozi , unaangalia kwanza mazingira ya Shikamoo kabla hujaitoa.
Hapendi shikamooo
Ila ukisikia wazee team wa mteremko aka kulelewa ndy huyo shamte aka Mai
Wako kama 4 hvi ni balaa

Ova
 
Hapendi shikamooo
Ila ukisikia wazee team wa mteremko aka kulelewa ndy huyo shamte aka Mai
Wako kama 4 hvi ni balaa

Ova
Huwa wana maneno matamu, unaweza kujiona miss world wakati anatafuna pesa yako
 
😂😂😂😂😂😂why should you have stress in your life? We have Da Mange to take care of your stress life... 😜😜😜
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🙇‍♂️🙇‍♂️
 
Back
Top Bottom