Biashara 3 za kufanya ktk kipindi hiki kigumu

Biashara 3 za kufanya ktk kipindi hiki kigumu

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Biashara 3 bora za kufanya ktk kipindi hiki cha mpito.(mdororo wa kiuchumi)


1.Fanya biashara inayohusiana na afya ya binadamu.

2.Fanya biashat a inayohusiana na vyakula vya binadamu (maana lazima watu wale hata mlo 1 kwa siku so lazima utauza)

3.Wekeza zaidi kwenye nyumba za kupangisha kama unamtaji mzuri na eneo linalopangishika.


Ushauri tu......lakini ukitaka kulia kilio cha mbwa basi tia pesa zako nje ya hizo then utanisimulia.



commred Chichimizi
 
Biashara 3 bora za kufanya ktk kipindi hiki cha mpito.(mdororo wa kiuchumi)


Commred Chichimizi

1.Fanya biashara inayohusiana na afya ya binadamu.

2.Fanya biashat a inayohusiana na vyakula vya binadamu (maana lazima watu wale hata mlo 1 kwa siku so lazima utauza)

3.Wekeza zaidi kwenye nyumba za kupangisha kama unamtaji mzuri na eneo linalopangishika.

Commred Chichimizi.

Ushauri tu......lakini ukitaka kulia kilio cha mbwa basi tia pesa zako nje ya hizo then utanisimulia.



commred Chichimizi
 
pasua kichwa ununue tata mili 70 iyo pesa mpaka iludi utamkumbuka jk..
Mfano mkuu gari za mzingo, (scania) kusafirisha mzingo kutoa nje ya Tanzania na mikoani mfano kubeba cement, mbao na tank za mafuta?

Biashara nyingine ni kilimo
 
Back
Top Bottom