Biashara gani ya kunipa faida ya laki mbili kwa siku

Sorry wakati unaandika hii comment ulikuwa unajua tofauti ya faida ma turnover?
 
Wana JF habari za majukumu?

Kati mada ilivyo hapo juu hivi. Naweza kujishughulisha na nini hasa ili faida ya biashara yangu iwe inanilipa laki mbili kwa siku?

Mchango wako ni muhimu kwangu.
kwa investement ya Tsh ngapi?
 
Nitarudi kuja kuandika neno kwenye huu uzi, lakini niseme INAWEZEKANA VIZURI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…