Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Taarifa za kufanikiwa katika biashara zinapatikana kila mahali lakini hakuna mahali wamenyesha hizo biashara zinazosababisha hayo mafanikio, ni biashara za aina gani hizo?

Soko la mitaji likiwa katika hali ya kuzorota.

Ni biashara gani inayoweza kukufanya kuwa milionea katika kipindi cha miaka michache ijayo?
 
Unajua Milionea bado maisha yako yatakuwa ya kawaida kwa Tanzania? Unless otherwise upo UK au USA na unaongelea Dollar au Pounds...

Pia sustainability, je ni vitu vya msimu au once you are settled umemaliza? Kwa nchi kama bongo kila kitu kinabadilika kila kukicha, kwakweli shughuli nyingi ni bahati nasibu... (vitu vingi ni unpredictable) ukizingatia mambo mengi sustainable yanahitaji long term plans, sasa utaplan vipi long term wakati kesho anaweza akaja chizi akabadilisha kilichopo leo?
 
Kilimo gani hicho? Wewe unafanya hicho kilimo chenye kuingiza hela nyingi kwa muda mfupi?
Kwanza ukiachana na mazao ambayo serikali inasimamia haya mengine unakula faida 100% bila TRA kunusa. Hii ni tundu ambalo TRA wataliziba baadae, sasa hivi liko wazi.

Usinifuate mimi mazingira ya soko na shamba hayawezi kuwa sawa.

1. Shamba liwe lako.
2. Lenye rutuba sio kila kitu lazima uweke mbolea
3. Chanzo cha maji cha uhakika
4. Shamba liweze kufikika kama sio hapo au jirani tu.
5. Soko.
6. Hicho unacholima utauzia shambani au utagharimia kupeleka kwenye soko au mnunuzi.
7 Pia kulima kwa simu na kutuma hela hakufai kama huwezi kujihusisha mwenyewe achana na kilimo. Kama una mind degree yako pia kaa pembeni, kule shamba unakutana na watu kila aina.


Mimi nililima mihogo na kabla ya kulima nilikuwa na maongezi na mkataba na kampuni iko Mwenge, wao walikuwa wanapeleka mhogo China.

Kwa hiyo nililima fresh tu wakataka mhogo niukatekate kama slesi za 5cm halafu nikaushe baadae wakaniletea viroba vya 50kg nijaze.

Kukata kata ikawa shida. Wakaniazimisha mashine ya kukatakata na jenereta bure nikaa kaa nazo wiki 2.

Nilitengeneza mhogo tani 2 wakaja wakaufwata mzigo shambani kwa gharama zao.

Hela waliingiza kwenye akaunti ndani ya siku 4.

Sasa hivi nimewakimbia bei wameshusha sana haina maslahi. Nataka kulima kitu kingine.

Kilimo usiige ile ujifunze halafu unaboresha kwako.
 
Kwanza ukiachana na mazao ambayo serikali inasimamia haya mengine unakula faida 100% bila TRA kunusa. Hii ni tundu ambalo TRA wataliziba baadae sasa hivi liko wazi.

Usinifuate mimi mazingira ya soko na shamba hayawezi kuwa sawa.

1. Shamba liwe lako.
2. Lenye rutuba sio kila kitu lazina uweke mbolea
3. Chanzo cha maji cha uhakika
4. Shamba liweze kufikika kama sio hapo au jirani tu.
5. Soko.
6. Hicho unacholima utauzia shambani au utagharimia kupeleka kwenye soko au mnunuzi.
7 pia kulima kwa simu na kitima hela hakufai kama guwezi kujihusisha mwenyewe achana na kilimo. Kama una mind degree yako pia kaa pembeni, nule shamba unakutana na watu kila aina.


Mimi nililima mihogo na kabla ya kulima nilikuwa na maongezi na mkataba na kampuni iko mwenge wao walikuwa wanapeleka mhogo china.

Kwa hiyo nililima fresh tu wakataka mhogo niukatekate kama slesi za 5cm halafu nikaushe baadae wakaniletea viroba vya 50kg nijaze.

Kukata kata ikawa shida. Wakaniazimisha mashine ya kukatakata na jenereta bure nikaa kaa nazo wiki 2.

Nilitengeneza mhogo tani 2 wakaja wakaufwata mzigo shambani kwa gharama zao.

Hela waliingiza kwenye akaunti ndani ya siku 4.

Sasa hivi nimewakimbia bei wameshusha sana haina maslahi. Nataka kulima kitu kingine.

Kilimo usiige ile ujifunze halafu unaboresha kwako .
Vizuri..Hili zao la mihogo shambani linachukua muda gani hadi kuvuna?
 
Kwanza ukiachana na mazao ambayo serikali inasimamia haya mengine unakula faida 100% bila TRA kunusa. Hii ni tundu ambalo TRA wataliziba baadae sasa hivi liko wazi.

Usinifuate mimi mazingira ya soko na shamba hayawezi kuwa sawa.

1. Shamba liwe lako.
2. Lenye rutuba sio kila kitu lazina uweke mbolea
3. Chanzo cha maji cha uhakika
4. Shamba liweze kufikika kama sio hapo au jirani tu.
5. Soko.
6. Hicho unacholima utauzia shambani au utagharimia kupeleka kwenye soko au mnunuzi.
7 pia kulima kwa simu na kutuma hela hakufai kama huwezi kujihusisha mwenyewe achana na kilimo. Kama una mind degree yako pia kaa pembeni, kule shamba unakutana na watu kila aina.


Mimi nililima mihogo na kabla ya kulima nilikuwa na maongezi na mkataba na kampuni iko mwenge wao walikuwa wanapeleka mhogo china.

Kwa hiyo nililima fresh tu wakataka mhogo niukatekate kama slesi za 5cm halafu nikaushe baadae wakaniletea viroba vya 50kg nijaze.

Kukata kata ikawa shida. Wakaniazimisha mashine ya kukatakata na jenereta bure nikaa kaa nazo wiki 2.

Nilitengeneza mhogo tani 2 wakaja wakaufwata mzigo shambani kwa gharama zao.

Hela waliingiza kwenye akaunti ndani ya siku 4.

Sasa hivi nimewakimbia bei wameshusha sana haina maslahi. Nataka kulima kitu kingine.

Kilimo usiige ile ujifunze halafu unaboresha kwako .
Niunganishe nao mkuu nilime muhogo kwa bei yao elekezi
 
Biashara yoyote inayoitwa haramu...ukiifanya unaingiza hela nyingi kwa muda mfupi. The higher the risk the higher the income. Biashara haramu zinafichwa sana "higher demand low supply" lazima price iwe juu. Mfano Pablo escober muuza unga katika kila inverstment yake ya 100$ ilikuwa inarudi 300$. Profit 200$
 
Biashara yoyote inayoitwa haramu...ukiifanya unaingiza ela nyingi kwa mda mfupi. The higher the risk the higher the income. Biashara harama zinafichwa sana "higher demand low supply" lazima price iwe juu. Mfano Pablo escober muuza unga katika kila inverstment yake ya 100$ ilikuwa inarudi 300$. Profit 200$
@Alvin Slain
 
Kwanza ukiachana na mazao ambayo serikali inasimamia haya mengine unakula faida 100% bila TRA kunusa. Hii ni tundu ambalo TRA wataliziba baadae sasa hivi liko wazi.

Usinifuate mimi mazingira ya soko na shamba hayawezi kuwa sawa.

1. Shamba liwe lako.
2. Lenye rutuba sio kila kitu lazina uweke mbolea
3. Chanzo cha maji cha uhakika
4. Shamba liweze kufikika kama sio hapo au jirani tu.
5. Soko.
6. Hicho unacholima utauzia shambani au utagharimia kupeleka kwenye soko au mnunuzi.
7 pia kulima kwa simu na kutuma hela hakufai kama huwezi kujihusisha mwenyewe achana na kilimo. Kama una mind degree yako pia kaa pembeni, kule shamba unakutana na watu kila aina.


Mimi nililima mihogo na kabla ya kulima nilikuwa na maongezi na mkataba na kampuni iko mwenge wao walikuwa wanapeleka mhogo china.

Kwa hiyo nililima fresh tu wakataka mhogo niukatekate kama slesi za 5cm halafu nikaushe baadae wakaniletea viroba vya 50kg nijaze.

Kukata kata ikawa shida. Wakaniazimisha mashine ya kukatakata na jenereta bure nikaa kaa nazo wiki 2.

Nilitengeneza mhogo tani 2 wakaja wakaufwata mzigo shambani kwa gharama zao.

Hela waliingiza kwenye akaunti ndani ya siku 4.

Sasa hivi nimewakimbia bei wameshusha sana haina maslahi. Nataka kulima kitu kingine.

Kilimo usiige ile ujifunze halafu unaboresha kwako .
Hongera Mkuu, pia umetoa somo zuri! Inaonekana unaweza kuzalisha muhogo kwa kwango cha kutosha, kabla hujaachana na kilimo cha muhogo je kwanini usitafte wanunuzi wengine? Jamani humu JF hakuna mnaofahamu wanunuzi wengine wa muhogo ndani na nje ya Dar?
 
Back
Top Bottom