Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kama ukipata taarifa sahihi na connection ya kutosha kwa wahusika wenyewe utajua ukweli wote. Ila kwa sasa na hali ilivyo naona ishu za dhahabu zina pesa. Ila mpaka upate ujuzi na connection sahihi. Narudia tena ni kuwa ishu za dhahabu zinapesa nyingi mno ila inabidi upate ujuzi na connection ya kutosha.
NB: Mimi sina connection wala ujuzi.
Dhahabu ukubali kusoma mchezo kwanza..then usiwe mtu wa kukata tamaa...jitune maisha ya porini...kuwa SMART... hela utaiona! Sijui kama kuna sehemu hawajui wala kufahamu kukata tamaa kama machimboni..hii spirit ingekuwa kwa kila raia maisha yangekua nafuu sana