Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Kuna kikampuni cha wachina 2016 walisema limeni mihogo kwa wingi tutanunua kilo 1000/= wana wakajaa wakaja moro kwa fujo wakalima hatari...mhogo ulipokomaa wakanunua kwa shilingi MIA...narudia..shilingi MIA..hahaa wapi shogangu Shoma...alidata balaa🤣🤣..cheza michezo yote sio mchezo wa soko la TZ
Hizi biashara za kuwashana magari ni noma kweli yani! Mtu anakuja anawafunga mota bana kitu flani ni dili watu wanakodi mashamba na kulima chap chap! Matokeo yake muda wa mavuno mnunuzi haonekani 😂😂😂
 
Kamali...ujambazi..utapeli...biashara ya ngono...biashara ya binadam..biashara ya mihabarati..uchawi.
Kweli biashara haramu zote, zina mafanikio ya haraka na majuto ya kudumu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kweli biashara haramu zote, zina mafanikio ya haraka na majuto ya kudumu.

Everyday is Saturday............................... 😎
Kuna dada telegram anaingiza 500k per day kwa kuuza mali ghafi zake na minimum charge ni 50k kwaiyo kila siku watu kumi wanatembeza rungu aisee nikabidi nimuulize lini anastaafu maana sio mchezo kwa Km izo ni kama mabus ya mkoani zinachoka haraka.
 
Kuna dada telegram anaingiza 500k per day kwa kuuza mali ghafi zake na minimum charge ni 50k kwaiyo kila siku watu kumi wanatembeza rungu aisee nikabidi nimuulize lini anastaafu maana sio mchezo kwa Km izo ni kama mabus ya mkoani zinachoka haraka.
Yah this is crazy world
 
Mkuu ungetoa ufafanuzi kidogo, kwa mfano kuanzisha biashara ya madini unatakiwa uwe na ntaji kiasi gani? Vibali vya kufanya hivyo ninavipata ofisi gani?

Hayo madini unayanunua wapi na unayauza wapi?
Ukifata utaratibu wa serikali haufanikiwi wanafanikiwa wao. Ukitaka kufanya biashara ya madini na kufanikiwa kwa haraka pitia mlango wa nyuma
 
Ukifata utaratibu wa serikali haufanikiwi wanafanikiwa wao. Ukitaka kufanya biashara ya madini na kufanikiwa kwa haraka pitia mlango wa nyuma
Ila uwe ma exit plan ukidakwa, vinginevyo ni kisanga.
 
Kama una mtaji nunua dagaa Zanzibar peleka Kongo kwa mweI mpaka miloni Mia unapata mtaji wake usiwe chini ya milioni miambili
 
Dhahabu ukubali kusoma mchezo kwanza..then usiwe mtu wa kukata tamaa...jitune maisha ya porini...kuwa SMART... hela utaiona! Sijui kama kuna sehemu hawajui wala kufahamu kukata tamaa kama machimboni..hii spirit ingekuwa kwa kila raia maisha yangekua nafuu sana
Nataka na mimi siku moja nizamie kwenye machimbo ya dhahabu...
 
Back
Top Bottom