Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?

Mkuu ungetoa ufafanuzi kidogo, kwa mfano kuanzisha biashara ya madini unatakiwa uwe na ntaji kiasi gani? Vibali vya kufanya hivyo ninavipata ofisi gani?

Hayo madini unayanunua wapi na unayauza wapi?
Vibali,leseni,Tin,soko wala sio shida mkuu.
Shida ni upate mzoefu aliepo kwenye iyo kazi akushike mkono.
Kupigwa au kupoteza pesa kama sio mzoefu kwenye hii biashara ni kugusa tu.
Ni biashara yenye ujanja ujanja mwingi na utapeli na umafia uliokubuhu.
 
Taarifa za kufanikiwa katika biashara zinapatikana kila mahali lakini hakuna mahali wamoenyesha hizo biashara zinazosababisha hayo mafanikio ni biashara za aina gani hizoo?

Soko la mitaji likiwa katika hali ya kuzorota

Ni biashara gani inayoweza kukufanya kuwa milionea katika kipindi cha miaka michache ijayo?
FURSA YA KILIMO CHA NYOKA ❗
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.

Fikiria uwe na cobra kumi , na nyoka kobra mmoja anataga mayai sitini; kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600; 600 X 12= 7200 kwa hiyo kwa mwaka unakua na Kobra 7200 na Kobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku sasa inakua ni 7200*10= 72000 sawa na gramu 72000*1880= 135,360,000 hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= 1,353,600,000

Maana yake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu unakua na bilioni 1.4 sasa apo toa gharama ya panya wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha pumba na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni bilioni moja na kitu kwa mtaji wa cobra kumi tuu❗


Motivational speakers wataua watu wanaopenda utajiri wa haraka🤣
 
FURSA YA KILIMO CHA NYOKA [emoji779]
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.

Fikiria uwe na cobra kumi , na nyoka kobra mmoja anataga mayai sitini; kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600; 600 X 12= 7200 kwa hiyo kwa mwaka unakua na Kobra 7200 na Kobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku sasa inakua ni 7200*10= 72000 sawa na gramu 72000*1880= 135,360,000 hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= 1,353,600,000

Maana yake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu unakua na bilioni 1.4 sasa apo toa gharama ya panya wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha pumba na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni bilioni moja na kitu kwa mtaji wa cobra kumi tuu[emoji779]


Motivational speakers wataua watu wanaopenda utajiri wa haraka[emoji1787]
[emoji23][emoji23] sawa mkuu.
Soko la cobra liko wapi mkuu? Je maliasili wanaruhusu biashara kama hii?
 
Taarifa za kufanikiwa katika biashara zinapatikana kila mahali lakini hakuna mahali wamoenyesha hizo biashara zinazosababisha hayo mafanikio ni biashara za aina gani hizoo?

Soko la mitaji likiwa katika hali ya kuzorota

Ni biashara gani inayoweza kukufanya kuwa milionea katika kipindi cha miaka michache ijayo?

Mihadarati
 
FURSA YA KILIMO CHA NYOKA [emoji779]
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.

Fikiria uwe na cobra kumi , na nyoka kobra mmoja anataga mayai sitini; kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600; 600 X 12= 7200 kwa hiyo kwa mwaka unakua na Kobra 7200 na Kobra mmoja anatoa gram 10 za sumu kwa siku sasa inakua ni 7200*10= 72000 sawa na gramu 72000*1880= 135,360,000 hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= 1,353,600,000

Maana yake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu unakua na bilioni 1.4 sasa apo toa gharama ya panya wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tuu apo unawalisha pumba na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni bilioni moja na kitu kwa mtaji wa cobra kumi tuu[emoji779]


Motivational speakers wataua watu wanaopenda utajiri wa haraka[emoji1787]
[emoji16]
 
Kuna kikampuni cha wachina 2016 walisema limeni mihogo kwa wingi tutanunua kilo 1000/= wana wakajaa wakaja moro kwa fujo wakalima hatari...mhogo ulipokomaa wakanunua kwa shilingi MIA...narudia..shilingi MIA..hahaa wapi shogangu Shoma...alidata balaa🤣🤣..cheza michezo yote sio mchezo wa soko la TZ
Hili lilichangiwa pia na waziri yule kilaza aliyekuja kuachishwa kazi, kutangaza watu walime muhogo kwa wingi soko lipo wachina watanunua, wakati hata MoU sidhani ka ilikuwepo ka ilikuwepo haijakamilika.
Hajui ku export lazima kuwe na makubaliano ya quality & quantities.

Siasa mbaya sana..inaharibu biashara za watu!

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Kuna kikampuni cha wachina 2016 walisema limeni mihogo kwa wingi tutanunua kilo 1000/= wana wakajaa wakaja moro kwa fujo wakalima hatari...mhogo ulipokomaa wakanunua kwa shilingi MIA...narudia..shilingi MIA..hahaa wapi shogangu Shoma...alidata balaa[emoji1787][emoji1787]..cheza michezo yote sio mchezo wa soko la TZ

Gondwe(DC) akashadadia balaa wakulima limeni hii mihogo itawatoa kwny umaskini,wachina watanunuaaaaaa.

Wakulima wamelima mihogo kingese,mchina akaingia zake mitini mwishowe wakulima walikula hio mihogo mpk wakapata ‘consipesheni’.
 
Gondwe(DC) akashadadia balaa wakulima limeni hii mihogo itawatoa kwny umaskini,wachina watanunuaaaaaa.

Wakulima wamelima mihogo kingese,mchina akaingia zake mitini mwishowe wakulima walikula hio mihogo mpk wakapata ‘consipesheni’.
Nakumbuka..alivyokua Tanga ..hahaa...dah...vilikuja vile viazi lishe Eh bwana huku sangasanga watu walilimaaaaa😇😇😇
 
Hili lilichangiwa pia na waziri yule kilaza aliyekuja kuachishwa kazi, kutangaza watu walime muhogo kwa wingi soko lipo wachina watanunua, wakati hata MoU sidhani ka ilikuwepo ka ilikuwepo haijakamilika.
Hajui ku export lazima kuwe na makubaliano ya quality & quantities.

Siasa mbaya sana..inaharibu biashara za watu!

Everyday is Saturday..............................😎

Mimi kitu nnachokiamini kuhusu kilimo ni miti tu..basi..kile hakidanganyi...ujitoe kitakutoa mbeleni
 
Mimi kitu nnachokiamini kuhusu kilimo ni miti tu..basi..kile hakidanganyi...ujitoe kitakutoa mbeleni
Kweli kabisa...ila hakikisha fire guards ni safi kila mwaka na una prune, bila hivyo, kwakweli waweza wehuka kwa hasara...kuna wapuuzi huwa wanawasha moto huko ili wawinde sungura 1 au digidigi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kweli kabisa...ila hakikisha fire guards ni safi kila mwaka na una prune, bila hivyo, kwakweli waweza wehuka kwa hasara...kuna wapuuzi huwa wanawasha moto huko ili wawinde sungura 1 au digidigi.

Everyday is Saturday............................... 😎
Sure..ni kuweka ulinzi tu
 
Kweli kabisa...ila hakikisha fire guards ni safi kila mwaka na una prune, bila hivyo, kwakweli waweza wehuka kwa hasara...kuna wapuuzi huwa wanawasha moto huko ili wawinde sungura 1 au digidigi.

Everyday is Saturday............................... 😎
Mimi Kwa kweli napenda biashara ya mbao we Acha Tu ..... Biashara fulan ya kiume na ya kibabe Sana
 
Unajua Milionea bado maisha yako yatakuwa ya kawaida kwa Tanzania ?, Unless otherwise upo UK au USA na unaongelea Dollar au Pounds...

Pia sustainability je ni vitu vya msimu au once you are settled umemaliza ?, Kwa nchi kama bongo kila kitu kinabadilika kila kukicha kwakweli shughuli nyingi ni bahati nasibu... (vitu vingi ni unpredictable) ukizingatia mambo mengi sustainable yanahitaji long term plans..., sasa utaplan vipi long term wakati kesho anaweza akaja chizi akabadilisha kilichopo leo?
Hili la kubadili Sera ni kweli linadumaza biashara mkuu.Kwa mfano kwa sasa karibu biashara nyingi zinazofanyika kwenye Fremu,zimedorora kwa sababu ya kuachiliwa kwa Machinga kufanya biashara bila utaratibu.

Leo kuna Machinga wanamtaji sawa na yule aliyeko kwenye fremu na wanauza zaidi kwa sababu wanapanga biashara zao kwenye njia wanazopita wateja kuja Dukani
 
Unaweza tu ukiamua...lol
Kule huwa wanatumia lugha ngumu SANA, unaweza fikiria wanapigia mswaki maji ya betri!😅😅😅😅
Lugha yao wanasema inarahisisha kazi, mizigo inakuwa myepesi, pia wenyewe hawapendi kuwa na boss wa kike, maana maneno mengi ya motisha, viunganishi, vivumishi, viwakilishi n.k huwa ni viungo vya wanawake.

Kuna watu wanafanya nzito na ngumu sana!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kule huwa wanatumia lugha ngumu SANA, unaweza fikiria wanapigia mswaki maji ya betri!😅😅😅😅
Lugha yao wanasema inarahisisha kazi, mizigo inakuwa myepesi, pia wenyewe hawapendi kuwa na boss wa kike, maana maneno mengi ya motisha, viunganishi, vivumishi, viwakilishi n.k huwa ni viungo vya wanawake.

Kuna watu wanafanya nzito na ngumu sana!

Everyday is Saturday............................... 😎


😀😀 nilikua huko last week i have been there...ila wamama ndo wanaongiza kwa hii mishe nw..esp njombe na mafinga
 
Biashara karibu zote zinalipa kulingana na aina biashara na mtaji wako lakini unavyoingia uvumilivu uliotukuka unahitajika hasa kama umeweka pesa nyingi sababu kuna vitu ulikuwa huvijui kwenye hiyo biashara zaidi ya kuona wengine wanafanya hivyo usishangae umeweka 10mln baada ya mwezi mmoja ukajikuta una 5mln n hakuna dalili ya faida yoyote ila miezi inavyoenda ndio utakuwa unaona mabadiliko kidogokidogo ila biashara sio rahisi kama tunavyodhani unaweza kujikuta pesa imeisha yote na ukabaki na majuto mengi hivyo ni vizuri kufanya biashara kwa kuzingatia mahitaji ya watu husika.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom