Hizi biashara za kuwashana magari ni noma kweli yani! Mtu anakuja anawafunga mota bana kitu flani ni dili watu wanakodi mashamba na kulima chap chap! Matokeo yake muda wa mavuno mnunuzi haonekani 😂😂😂Kuna kikampuni cha wachina 2016 walisema limeni mihogo kwa wingi tutanunua kilo 1000/= wana wakajaa wakaja moro kwa fujo wakalima hatari...mhogo ulipokomaa wakanunua kwa shilingi MIA...narudia..shilingi MIA..hahaa wapi shogangu Shoma...alidata balaa🤣🤣..cheza michezo yote sio mchezo wa soko la TZ
Kweli biashara haramu zote, zina mafanikio ya haraka na majuto ya kudumu.Kamali...ujambazi..utapeli...biashara ya ngono...biashara ya binadam..biashara ya mihabarati..uchawi.
The price to payKweli biashara haramu zote, zina mafanikio ya haraka na majuto ya kudumu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Kuna dada telegram anaingiza 500k per day kwa kuuza mali ghafi zake na minimum charge ni 50k kwaiyo kila siku watu kumi wanatembeza rungu aisee nikabidi nimuulize lini anastaafu maana sio mchezo kwa Km izo ni kama mabus ya mkoani zinachoka haraka.Kweli biashara haramu zote, zina mafanikio ya haraka na majuto ya kudumu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Kama zipi hizo??Zipo nyingi ila huwa unaanza kupata buku, laki then ndo hayo mamilion….
Yah this is crazy worldKuna dada telegram anaingiza 500k per day kwa kuuza mali ghafi zake na minimum charge ni 50k kwaiyo kila siku watu kumi wanatembeza rungu aisee nikabidi nimuulize lini anastaafu maana sio mchezo kwa Km izo ni kama mabus ya mkoani zinachoka haraka.
Ukifata utaratibu wa serikali haufanikiwi wanafanikiwa wao. Ukitaka kufanya biashara ya madini na kufanikiwa kwa haraka pitia mlango wa nyumaMkuu ungetoa ufafanuzi kidogo, kwa mfano kuanzisha biashara ya madini unatakiwa uwe na ntaji kiasi gani? Vibali vya kufanya hivyo ninavipata ofisi gani?
Hayo madini unayanunua wapi na unayauza wapi?
Ila uwe ma exit plan ukidakwa, vinginevyo ni kisanga.Ukifata utaratibu wa serikali haufanikiwi wanafanikiwa wao. Ukitaka kufanya biashara ya madini na kufanikiwa kwa haraka pitia mlango wa nyuma
Mh hiyo kweli nomaKama una mtaji nunua dagaa Zanzibar peleka Kongo kwa mweI mpaka miloni Mia unapata mtaji wake usiwe chini ya milioni miambili
Yaah ndo hvyooIla uwe ma exit plan ukidakwa, vinginevyo ni kisanga.
Kama una mtaji nunua dagaa Zanzibar peleka Kongo kwa mweI mpaka miloni Mia unapata mtaji wake usiwe chini ya milioni miambili
unaweza anza taratibu ukiwa n mlengo na ukapata mkopoukafika huko baadaeKwahiyo sisi wa million 1 hiyo kazi haitufai?
Nataka na mimi siku moja nizamie kwenye machimbo ya dhahabu...Dhahabu ukubali kusoma mchezo kwanza..then usiwe mtu wa kukata tamaa...jitune maisha ya porini...kuwa SMART... hela utaiona! Sijui kama kuna sehemu hawajui wala kufahamu kukata tamaa kama machimboni..hii spirit ingekuwa kwa kila raia maisha yangekua nafuu sana