Hakuna biashara yenye faida na inayotumiwa na watu wengi huku imeharamishwa kama ukahaba.
Na upo kila mahali duniani mpaka Mecca na Vatican City.
Na nchi zilizohalalisha bado zina-control makahaba ambao hawataki kuwa controlled na serikali, kwa hiyo wanafanya kiharamu.Drugs na Silaha zote ni biashara zinazopaliliwa na ukahaba.
It's the oldest, most profitable and unbeatable.