Biashara imenishinda, nimerudisha fremu ya watu

Biashara imenishinda, nimerudisha fremu ya watu

Kiasi chake nilikua naona pesa ingawa ilikua haijachanganya kivile kwa kipindi kile.
Mkuu hela za matumizi yako ulikuwa unachukua hapo hapo dukani au ulikuwa hugusi faida ya dukani?
Kitu kingine hapo nilichogundua ni location ndio tatizo.
Maeneo ya Goba hayajachangamka kibiashara,inachukua muda mrefu sana kuzoeleka.
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikuwa na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka, sitaki pressure tena.

Pole sana. Biashara ya Duka hasa la vitu vya reja reja ni changamoto maana vitu vina faida ndogo ndogo sana (10,20,50,100, 500) usipokuwa na displine ya hela ukaona leo nimeuza million ukaona mambo poa ni kumbe faida hapo ni 20,000 hadi 30,000. Hii biashara inataka uwe na nidhamu ya hali ya juu sana kwenye kupiga hesabu na pia katika matumizi yako binafsi.
 
Bznes n kaz nzur na n kaz ngum.. inahitaj mda wa kuifatilia km n mwajiliwa ufatiliaj wako n ngum kuwepo kweny biashara yako

Yakulazm kufanya biasahara ambayo haitakuhitaj uwepo mda wotee mfano


Biashara ya Bodaboda hiii haihitaj kuwepo unachotakiwq n kumpata kijana mweny familia na kuingia nae mkataba ambae tayal anafanya hyo kaz


10m unapata boda 5 at once tvs /boxer inategemea na bei wakat huo ila inaanza na 2.4m 2.5m hapo umepeta na punguzo


Ukiweka GPS lak1- lak1.5 then mkataba wa miez 10 kila cku elf 15 kwa mwez 450,000k

450,000*10=4,500,000/=
4,500,000*5=22,500,000/=

22 n baada ya miez kum Haya chukulia kwa mwaka tuu Yan miez 2 iwe ile ya usumbufu wakat ya malejesho

Changamoto zipo ila n ku take risk na changamoto zake n kutopata mwaminifu
Ishu ya kuibiwa ipo ila GPS kidogo inapunguza na inasaidia uwezekano wa kuipata
Boda boda hawa hawa wa mtaani ambaye anakaa wiki tatu bila kukuletea hesabu,,,,ukiwa nayo moja utaona ni rahisi ila ongezea mbili au tatu ndipo utaona mziki vijana wengi siyo waaminifu watakutia stress utauza boda zote vijana waaminifu ni mmoja kati ya kumi

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
We unadhani mil 10 ni mtaji mkubwa huo, ni mtaji wakuanzia tu maisha sijui kama umeshawahi kufanya biashara ya duka utafungua duka la mil 10 lakini mtaji unaojizungusha ni wa mil 3 yaani bidhaa zingine zinakuwaga kama mapambo.
Mimi sijaona umuhimu wa kujaza duka hasa maeneo ya vijjn
 
Oil, betri za magari na matairi. Lilikuwa Goba Dar.
Hiyo biashara sio ya kufirisika kwa haraka hivyo hata kama hakuna mauzo mazuri, rafiki yangu mmoja aliwahi kufanya hiyo biashara na apigwa 4M kutokana mchezo aliokuwa anafanyiwa na muagalizi.

Nikipata muda nitarudi hapa kuweka hicho kisa, nadhani kitakusaidia.
 
Hizi biashara bana, zinahitaji commitment ya hali ya juu sana, nawapongeza sana watu wote mliofanikiwa katika biashara.

Mimi sijui nilikosea wapi aisee, maana duka lilikuwa na mtaji wa around 10m, sasa hivi limebaki na 3.2m nimeamua kuuza bidhaa kwa bei ya jumla na kulifunga tu hilo duka, sitaki pressure tena.
Pole sana ,biashara ngumu sana lazima uwe na heshima
 
Bznes n kaz nzur na n kaz ngum.. inahitaj mda wa kuifatilia km n mwajiliwa ufatiliaj wako n ngum kuwepo kweny biashara yako

Yakulazm kufanya biasahara ambayo haitakuhitaj uwepo mda wotee mfano


Biashara ya Bodaboda hiii haihitaj kuwepo unachotakiwq n kumpata kijana mweny familia na kuingia nae mkataba ambae tayal anafanya hyo kaz


10m unapata boda 5 at once tvs /boxer inategemea na bei wakat huo ila inaanza na 2.4m 2.5m hapo umepeta na punguzo


Ukiweka GPS lak1- lak1.5 then mkataba wa miez 10 kila cku elf 15 kwa mwez 450,000k

450,000*10=4,500,000/=
4,500,000*5=22,500,000/=

22 n baada ya miez kum Haya chukulia kwa mwaka tuu Yan miez 2 iwe ile ya usumbufu wakat ya malejesho

Changamoto zipo ila n ku take risk na changamoto zake n kutopata mwaminifu
Ishu ya kuibiwa ipo ila GPS kidogo inapunguza na inasaidia uwezekano wa kuipata
M 10 upati boda boda 5 mkuu,tvs/boxer zinakimbilia m 2.9 kwa sasa na mkataba si elfu 15 kwa siku kwa miezi,ni elfu 10 kwa siku
 
Pole sana mdau, biashara inataka utulivu na uvumilivu.

Inawezekana kuna mistake uliifanya bila kujua, biashara ya mtaji wa 10mill kama ulikuwa unaitegemea hiyo hiyo kuendeshea maisha ni uongo isinge-survive maana ilibidi faida inayopatikana humo ndani ya hiyo miaka mitatu izidi kuiimarisha ndo uanze kula faida.

So ni kusema faida yake ungeanza kuitegemea baada ya miaka mitano mtaji ukiwa umeshakuwa, ni changamoto sana mtaji wa biashara ukiwa mdogo.
Nitofautiane tu na wewe,milioni kumi ni nyingi sio ndogo mkuu
 
Hujamuelewa point yake.
Milioni 10 ni mtaji kidogo kama ndio unaitegemea hiyo hiyo biashara ya milioni 10 ikupe hela ya kula,hiyo hiyo upate ada za shule za watoto,hiyo hiyo uchukue hela ya matibabu ukiumwa, hiyo hiyo ulipie kodi ya nyumba haiwezi kuchukua mwaka itapukutika tu.
kwa hyo mtaji sahihi wa kuanzisha biashara ni shi ngapi?
 
Boss umeona kuna nilipoandika mill 10 ni ndogo au kubwa?

Well, milion 10 ukifungua biashara ya genge ni kubwa sana na faida yake utaanza kuvuna baada ya miezi mitatu ila milion kumi hiyo hiyo kuna biashara ukianza nayo inakuwa ndogo kiasi inabidi yenyewe ijizalishe kujikuza ili mwenye nayo aanze kuvuna faida though mdau hakuandika ni biashara gani ila kwa 10mill lazima ilikuwa biashara kubwa kiasi.
then, ulitakiwa kujua biashara yake kabla ya kuhitimisha kwamba mil 10 ni mtaji mdogo.,,
 
Ndio maana nimemtoa mdogo wangu wa damu hivyohivyo..wandugu hawafai kuwaweka kwny biashara
Mm na ndugu hapa tutasaidiana uko uko uliko mbali na bznes yangu. Sitaki ndugu kwenye bznes zangu hata kidogo. Wanapenda kuchukulia poa tu wao. Si anajua uwezi kumfanya chchote. Mm ntakusaidia uko uliko tu.
 
Mm na ndugu hapa tutasaidiana uko uko uliko mbali na bznes yangu. Sitaki ndugu kwenye bznes zangu hata kidogo. Wanapenda kuchukulia poa tu wao. Si anajua uwezi kumfanya chchote. Mm ntakusaidia uko uliko tu.
Huyu wa kwangu nilianza nae duka lkn nikatenga Kila sehemu na mtaji wake..vocha,miamala na upande wa briji..vocha nilianza na elfu 40 mpk kufika laki4 ..siku moja nikasafiri nikakuta mtaji wa vocha ameuhamiashia kwenye briji ...bila kuonekana alichonununa
 
Back
Top Bottom