Achana nae ana fake maisha. Sifa ya mfanya biashara au mjasilia mali yyt duniani ni kuheshim pesa. Kama m300 anaona sio pesa ya mana unafkiri atatoboa huyo?.. Moo mwenyewe laki anaiheshimDaah bado unaendelea mkuu kweli nyumba ya 300m isiwe ya ndoto ya Mtanzania...brother maisha unayoyazungumzia ni Watanzania wachache sana wapo hilo kundi nasisitiza sana...
mkuu naomba uongeze nyama hapo kwenye namba 4 kwenye biashara ya Pipi Cash and Carry na Jumbo johannesburgSA ni risk ya kutoibiwa kwa wageni ila zipo biashara unaweza kutoa pale...
1. Pombe hii mtaji usipungue 200m maana kodi yake haipungui 65m haipungui kwa 40 ft conteiner la pombe na tbs wanataka 12m
2.Vifaa vya ujenzi hii hata ukiwa na 60m unajaza gari kodi yake utalipia nusu hapo Tunduma...
3.Apples uwe na gari ya refregerator hapo Johannesburg market kila box ni rand 220 kutegemeana na rangi ya apple na idadi yake ndani kodi yake sio kubwa ni Tunda na pia zinalimwa ndani ya sadc wana punguzo lao..
3.uende na Truck lako ukanunue matrekta uuze Tanzania ila kwenye ubebaji ili ubebe mengi weza kuyavunja ZA trekta wanatumia kwa masaa na bei ni nafuu..
4. Chocolate wapo wanapeba chocolate na pipi tuu hapo Cash and Carry na Jumbo johannesburg
5.Mapazia na mashuka hapo Dragon na pia vyombo vya ndani hapo hapo Dragon au China city..
6.Mabegi,viatu na pochi za wakina dada hapo hapo dragon shopping center..
Note gharama ya kusafirisha bidhaa ipo juu ila ukiweza kuwa hata na fusso lako SA zipo biashara nyingi za kuleta Tanzania uzuri unaweza kwenda kwa kuelekezwa tuu na kuarudi Tanzania bila hata ya kukutana alietoa ushauri..biashara ya Pombe kodi ni 100% usikwepe ukikwepa TRA wanachukua mzigo wote maana hata ukilipa kodi faida unapata vizuri tuu mzigo unanunua hapo Messina boda wala haungii ndani ukienda mara moja ni swala la kutuma hela ukiwa Tanzania baada ya kukutana na huyo mzungu depo yao ingine ipo borgsbug pale..
Ni vizuri ukauliza hapa hapa wengine wakaongeza nyama kuliko inbox boashara zipo msidanganywe matairi pia mapya yapo jamaa anauza mpaka usajiliwe unaweka kiasi cha fedha hata ukiuza tairi Johannesburg unapata faida...mara nyingi nakua road kwa hiyo kuingia humu na kushauri nakosa muda ila wengi walikuja SA wengine hata sijaonana nao naona wanaendelea kuja na maroli ya mizigo wanaongeza hasa hawa wauza Pombe..
Maduka yapo eneo moja mkuu cash and carry,lipo lingine mbele ya Cash and carry ni la waturuki nyuma yake lipo Jumbo na Cash lingine haya maduka unanunua kwa VAT ya 14% na pia ukitaka kununua ili hiyo VAT urudishiwe unamtumia Mama mmoja ambae anakukata % kadhaa ili nae apate maji na wewe upate chochote kwenye ile VAT ambayo wewe utakuja kuilipa Tanzania...sehemu ya kufikia salama ni Fodsburg sio mbali na hayo maduka yalipo ntaweka address ya hotel nzuri na bei zao zipo vizuri mitaa hiyo chakula ni kwa wasomali huko huko...huwezi kushindwa kitu kwa maelezo haya unafika dukani.mkuu naomba uongeze nyama hapo kwenye namba 4 kwenye biashara ya Pipi Cash and Carry na Jumbo johannesburg
nahitaji kuifanya hii baishara ipo very moving
Ndugu yangu mbona kama una makasiriko sana.Shida sio kushinda ana post shida anapost nini? Au nayeye akifungua mradi mpya anasema nimefungua mradi wa kiasi kadhaa? Huo ni ushamba. Hata wakina Mo Wana post Sana social media zao ila hawezi leta habari kama hizi. Afu hiyo sio inshu Sana inshu ni kuwa huwezi kumiliki more than 300m afu uingize 5m per month usijue shida it means we bado mgeni kwenye biashara na hiyo pesa huna paka ww
Ila kwenye ajira kama utapata pesa nyingi hiyo kazi inakua ni mpela mpelaUnajua nimecheka
Kula mshahara raha jamani
Kwenye biashara kuna hela ni unajikopesha na irudi Kama ilivyo
Saa nyingine Bora kuajiriwa tu
Very easy hela yako inakufanyia kazi we umekaa tuUkiwa na pesa ni rahisi kuingiza pesa.
,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Acha tu mkuu, ndo nimetoka kumnyima mteja mzigo hapa sasa hivi, kanunua mahitaji yake na akasema hana 2500Ths tu hivo nimwachie, wao wanaona kama wauzaji waga wanapata faida kubwa sana
Na hapo kanunua mahitaji ya 122500/= Ila yeye kaona kama vile me nimepata sana kwenye hiyo hela yake kumbe me ndo naambulia 4000 tu sasa nikimuachia 2500 eti kisa mteja si nakuwa nimejitia dore na kunusa
Nimemwambia aende tu akiipata hiyo 2500 aje kuchukua mzigo wake maana haziozi atazikuta tu
Alafu kanatokea kamtu huko kanafanya biashara ya pharmacy ikiwa yeye anajipangia mwenyewe aweke rate ipi ya profit kwenye kila dawa, fyoko fyoko fyoko pumbavu kabisa
Mi nimemwambia anipe ml 30 tu nimletee 8 per month only 30 ml nitakuwa namletea retun as a profit ya 8 to 9ml hii si uchawi wala ndumba mzee ninachomwambia nina uhakika nacho na ndo biashara ninayoifanya kwa sasa sema kidogo mtaji wangu bado ni mdogo bt nimuhakikishie uyo jamaa kwenye biashara ninayoifanya mimi kama angewekeza iyo 300ml basi kwa mwezi faida yake baada ya kukata gharama za uzalishaji angekuwa anachukua 40 to 50 ml hii si uchawi wala ndumba naongea kitu ninachokifahamu coz mimi ndo iyo biashara nafanya sema ngoja kwanza niukuze mtaji siku moja nitarudi katika huu uzi na mrejesho mzuri juu ya uyu nduguSisemi kwa ubaya au kudhihaki au kwa namna yoyote ile ila siku mimi nashika hizo 300Mil
Hakuna Mtu ataweza nikamata kwa pesa tena maisha yake yote,tupo Humu JF tuombeni
uzima ila biashara ya 300mil kukupa return ya 5m kwa mwezi ni Kulogwa huko nakwambia
watu wenye pesa biashara zenu ni za kibosi bosi,hamuangalii Muda mtaopoteza wala hamuangalii faida mtakazopata.
Hamna uchawi wala tunguli mil 300 sio za kurudisha 5m na nina uhakika mkuu hiyo biashara yawezekana hata ofisini haukai,upo zako hukoo unapga tu simu na kuuliza maendeleo ya biashara.
Endelea hivyo hivyo,ongeza tena 300 mil upate 10m , Hebu nikauze zangu kacholi mimi.....
Nipe ushauri namiNdugu yangu Manzile njoo inbox nikufundishe jambo, hutawahi rudi tena hapa ukilalama, chukulia ujumbe wangu serious
Biashara Inahitaji uwe na roho ngumuAt least unaingiza chochote...
Wewe jamaa ni muongo balaa umeona post yangu ya kufuatilia uwakala wa vinywaji ambao ilikuwa nifungue morogoro lakini mazingira yakanilazimu nifungulie mwanza.Jamaa nimemfatilia mda mrefu na baadhi ya shughuli zake nazijua pale morogoro but ni exaggerater mzuri Sana toka anauza vinywaji. . Shida humu jf coz hatufahamiani basi mtu anaweza post chochote bila kujua akijua hatofahamika
Huu ni ukweli wa wazi kabisaapo ukianza ajiri vijana waliojifunika sura ya kondooo ... kidogo kidogo wanaanza kuwa ka chama fulani ivii chenye ukoo wa panyaaa .... wanakutafunaaa bila aibuu
Mi nimemwambia anipe ml 30 tu nimletee 8 per month only 30 ml nitakuwa namletea retun as a profit ya 8 to 9ml hii si uchawi wala ndumba mzee ninachomwambia nina uhakika nacho na ndo biashara ninayoifanya kwa sasa sema kidogo mtaji wangu bado ni mdogo bt nimuhakikishie uyo jamaa kwenye biashara ninayoifanya mimi kama angewekeza iyo 300ml basi kwa mwezi faida yake baada ya kukata gharama za uzalishaji angekuwa anachukua 40 to 50 ml hii si uchawi wala ndumba naongea kitu ninachokifahamu coz mimi ndo iyo biashara nafanya sema ngoja kwanza niukuze mtaji siku moja nitarudi katika huu uzi na mrejesho mzuri juu ya uyu ndugu
Kanuni ya mjasiriamali mi moja tu wazee biashara yenye risk kubwa ndo inafaida kubwa mno na biashara yenye risk ndogo ujue na faida yake itakuwa ni ndogo sana ssna
Biashara gani kichaa hiyo? Sasa ukilipa wafanyakazi hautahesabu hasara hapo?Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Inategema biasharaSasa Mimi haka ka milioni Sita kangu nikiwekeza kwenye biashara si nitapata faida elfu Tano?
Imagine mwenzangu umewekeza 300milioni faida ni 5 milioni?
BOT ni miaka 25 na riba yake ni asilimia 12.56 na UTT wanatoa asilimia kumi kwa mwakaHizo 12% UTT na 15% BOT ni kwa mda gani?
Siku nyingine ukipata hiyo 300mil unitafute kamwe hutojutia kuiwekeza nitakacho kushauri.Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.
Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.
Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.
Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Walengaji tuko nao kitaa huku na kila siku tunawanunulia k-vant Sasa sjui hesabu hizo hawazionagi au la?[emoji1][emoji1]
Weww akili huna mzee kama unayo iyo ml 30 njoo tiandikishane mbele ya wana jf wenzetu wewe unikopeshe iyo ela alafu baada ya miezi 6 ya uzalishaji wewe mwenyewe utarudi apa kutoa ushuhuda mavi mmoja wewe laa sivyo kama huna izo ela ninazozungumzia basi piga kimya na sio kuleta ujuaji kwenye kila jambo mimi ninachokiongea nakijua na biashara ninayoiongelea mimi ndo naifanya ni vile tu mtaji wangu bado ni mdogo sana lakini potentiala ya iyo pesa ipo kama unayo njoo unikopeshe mzee kisha kaa nyumbani baada ya miezi minne ya uzalishaji uanze kula ml8 kila mwezi mzee wangu wala usiogope tuandikishane popote pale mahakamani kwa wanasheria mbele ya wana jf ama nini mindIla wabongo wanakujaga na gear kubwa mwisho wa siku Utasikia yani Mkuu Acha tu kisichi riziki
We jamaa...Kwa nini unadhani kuelekea miaka 20 ijayo thamani ya shilingi itaendelea kushuka zaidi na si kuimarika? Unamanisha hii nchi itaendelea kuwa economically stagnant kwa hata hiyo miaka 20 ijayo? Kwamba mtu wa maisha ya kawaida hawezi kumudu gharama za maisha kwa hiyo 2M ya sasa? Kumbuka huyu hatunzi pesa kununua gari ama kiwanja, anatunza kwa ajili ya kununua mahitaji tu ya kila siku..