Sisemi kwa ubaya au kudhihaki au kwa namna yoyote ile ila siku mimi nashika hizo 300Mil
Hakuna Mtu ataweza nikamata kwa pesa tena maisha yake yote,tupo Humu JF tuombeni
uzima ila biashara ya 300mil kukupa return ya 5m kwa mwezi ni Kulogwa huko nakwambia
watu wenye pesa biashara zenu ni za kibosi bosi,hamuangalii Muda mtaopoteza wala hamuangalii faida mtakazopata.
Hamna uchawi wala tunguli mil 300 sio za kurudisha 5m na nina uhakika mkuu hiyo biashara yawezekana hata ofisini haukai,upo zako hukoo unapga tu simu na kuuliza maendeleo ya biashara.
Endelea hivyo hivyo,ongeza tena 300 mil upate 10m , Hebu nikauze zangu kacholi mimi.....