Biashara inayoweza kukutoa ni ile inayokupa faida ya Tsh. 50,000 na kuendelea kwa siku

Biashara inayoweza kukutoa ni ile inayokupa faida ya Tsh. 50,000 na kuendelea kwa siku

Bonus Account​

On top of a basic interest, this account has an additional attractive and competitive quarterly paid bonus interest.

Benefits of Bonus Account

  • Offers interest of up to 13% per annum*
  • Interest accrued daily and paid on quarterly basis
  • Enjoy Bonus Interest over and above Basic Interest
  • Saving can be used as a lien to acquire a personal loan
  • Gives access to over 215 branches countrywide
  • Customer money are safe and secured
  • Eligible for free NMB Identity card
  • No monthly maintenance fee
  • One withdraw per quarter without losing Bonus Interest
  • Free cash and on us cheque deposit
Hiyo 13% ni kwa wanaoweka kiasi gani wanaoweza kuipata?
 
Mkuu Mimi nipo kijijini na mauzo yangu kwa siku Ni laki moja na 50 mpaka laki2 ...hapa sijajumlisha miamala....lkn sioni mambo naona magumu
Mauzo sio faida
 
Inawezekana kupata zaidi ya 50 endapo utabadilika mtazamo,kukariri biashara,pia focus kuboresha biashara ulionayo,mm ni wakala wa mpesa na huduma zingine za pesa mtandaoni,nimefunguka ofisi eneo ambalo ni kijiji ambako kuna pop.kubwa,nimetafuta line za lipa kwa mpesa,lipa kwa tigo,miamala yote ya kutoa pesa natoa kupitia line za lipa,faida ya maeneo ya pembezoni wateja wengi ni wale wanaotoa pesa kwani wanatumiwa na ndugu wa mjini,wateja wengi wanampa wakala simu ndio atoe hela,n.k sio haba ni sikosi 75000- 100000 kwa siku
Umepatia location.. Hongera..

Nafanya hii biashara ila hainipi pesa kama hiyo, na sijui namna nyingine ya kufanya
 
Kwa namna ipi?

Ni biashara gani gani hiyo ya 5M ikuoe 50K kwa siku?
Kwahiyo unataka kubisha kabisa? Unajua shida ya watu mnaendekeza biasara za uchuuzi (kununua na kuuza) ndiomaana biashara zinaonekana ngumu sana.

Niliwahi kuwa na mantality kama hii ila baada ya kufanya biashara kwenye moja ya machimbo ya dhahabu yaliyofumuka huko dutwa nilibadilika kabisa, chakula unauza mpaka unawakimbia wateja tena kwa bei nzuri, nilikuwa silali na faida chini ya 40-50 kwa siku.

Pale mwanza town kuna jamaa anauza ugali na nyama choma na samaki fulani wanaitwa (mumi), kaeneo ka hovyo tu ila watu wengine wanakula wakiwa wamesimama kutokana na nyomi lililopo ila faida anayopiga ni nzuri sana.



Sasa wewe unafanya biashara ambayo ukiuza 1K faida yako ni Tsh 50, utakuja kutoboa lini? Kwa aina hii ya biashara ili uingizie faida ya 50k inakulazimu uuze tani moja[emoji23].
 
Kwe yr biashara za kutoa huduma (service) hata kwa 3M unaweza kupata faida ya 50K, ila kwa biashara ya uchukuzi ni ngumu sana.
Mkuu Sasa tunawezaje kutoka hapa tulipo hebu tema madini mkuu
 
Kwahiyo unataka kubisha kabisa? Unajua shida ya watu mnaendekeza biasara za uchuuzi (kununua na kuuza) ndiomaana biashara zinaonekana ngumu sana.

Niliwahi kuwa na mantality kama hii ila baada ya kufanya biashara kwenye moja ya machimbo ya dhahabu yaliyofumuka huko dutwa nilibadilika kabisa, chakula unauza mpaka unawakimbia wateja tena kwa bei nzuri, nilikuwa silali na faida chini ya 40-50 kwa siku.

Pale mwanza town kuna jamaa anauza ugali na nyama choma na samaki fulani wanaitwa (mumi), kaeneo ka hovyo tu ila watu wengine wanakula wakiwa wamesimama kutokana na nyomi lililopo ila faida anayopiga ni nzuri sana.



Sasa wewe unafanya biashara ambayo ukiuza 1K faida yako ni Tsh 50, utakuja kutoboa lini? Kwa aina hii ya biashara ili uingizie faida ya 50k inakulazimu uuze tani moja[emoji23].
Mkuu nina idea pindi nitakaporejea tz toka huku kwa madiba nijikite kwenye biashara ya utoaji huduma ya usafiri kama bajaji.Vipi mkuu una wazo lolote lakunishauri?Nataka ni wekeze kama milioni 7 hivi.
 
Biashara yoyote ile ili uipende na ikulipe ipasavyo mpaka ushangae. Unapaswa hiyo biashara yako uiweke katikati sehemu husika, yaani upate location sahihi. Hakuna cha ushirikina wala nini biashara ukiipatia location sahihi utakimbiza mpaka uhitishe wasaidizi, uchawi wa biashara ni kupata location sahihi kutegemea na biashara yako husika.

Ata uwe na mtaji kidogo ila ukapatia location basi umeula, kuna dogo huwa nafahamiana nae basi huwa nikipata wasaha huwa naenda tunapata stori mbili tatu. Basi kuna siku alinigusia kuhusu biashara yake, hiyo biashara ukiiona utaichukulia poa na mbaya zaidi mimi na wewe tunaweza idharau na kutoifanya. Dogo aliniambia hiyo biashara yake mtaji ni 650k hapo kila kitu kaweka, akiuza mauzo kwa siku kisha akitoa matumizi ya siku anabaki na faida ya kiwango cha chini ni 70k. Dogo location aliyopo inamlipa sana
 
Wakala na biashara gani hiyo nyingine? Labda kwa vile kijijini kuna running costs nyingi ndio maana hauoni faida
Pia naona labda anaongelea mauzo.....maana Kuna mauzo na faida inayotokana na mauzo. Mfano duka la kawaida faida Mara nyingi huwa 10% ya mauzo ya siku. Labda Kama itakuwa anapata faida ya 150k au 200k Kama anavyosema alaf haoni Mambo yanaenda kidogo Kuna shida binafsi.
 
Biashara yoyote ile ili uipende na ikulipe ipasavyo mpaka ushangae. Unapaswa hiyo biashara yako uiweke katikati sehemu husika, yaani upate location sahihi. Hakuna cha ushirikina wala nini biashara ukiipatia location sahihi utakimbiza mpaka uhitishe wasaidizi, uchawi wa biashara ni kupata location sahihi kutegemea na biashara yako husika.

Ata uwe na mtaji kidogo ila ukapatia location basi umeula, kuna dogo huwa nafahamiana nae basi huwa nikipata wasaha huwa naenda tunapata stori mbili tatu. Basi kuna siku alinigusia kuhusu biashara yake, hiyo biashara ukiiona utaichukulia poa na mbaya zaidi mimi na wewe tunaweza idharau na kutoifanya. Dogo aliniambia hiyo biashara yake mtaji ni 650k hapo kila kitu kaweka, akiuza mauzo kwa siku kisha akitoa matumizi ya siku anabaki na faida ya kiwango cha chini ni 70k. Dogo location aliyopo inamlipa sana
Naunga mkono hoja...... location ni muhimu sana, hata ukiwa na 10m ukawekeza kwenye poor location na usipogundua mapema ukakomaa Basi jua tu utarudi nyuma.

Mfano Kuna rafiki yangu yeye anauza matunda kwa hiyo location akienda stereo anafunga mzigo wa laki sita wa matunda ambao kwa hiyo location ilivyochangamka baada ya siku mbili anaenda Tena sokoni.

Wakati anaanza alikuwa anakomaa Mwenyewe na akosi 70k to 100k Kama faida kwa siku.

Kwa Sasa anachukua hesabu ya 50k na hashughuriki anasimamia Mambo yake mengine yaende yaongeze kipato.

Kwenye masuala ya biashara amekuwa mentor wangu sana, pia najivunia kuwa rafiki yake maana Hana Roho mbaya kwenye maswala ya idea na fursa za biashara.
 
Kwahiyo unataka kubisha kabisa? Unajua shida ya watu mnaendekeza biasara za uchuuzi (kununua na kuuza) ndiomaana biashara zinaonekana ngumu sana.

Niliwahi kuwa na mantality kama hii ila baada ya kufanya biashara kwenye moja ya machimbo ya dhahabu yaliyofumuka huko dutwa nilibadilika kabisa, chakula unauza mpaka unawakimbia wateja tena kwa bei nzuri, nilikuwa silali na faida chini ya 40-50 kwa siku.

Pale mwanza town kuna jamaa anauza ugali na nyama choma na samaki fulani wanaitwa (mumi), kaeneo ka hovyo tu ila watu wengine wanakula wakiwa wamesimama kutokana na nyomi lililopo ila faida anayopiga ni nzuri sana.



Sasa wewe unafanya biashara ambayo ukiuza 1K faida yako ni Tsh 50, utakuja kutoboa lini? Kwa aina hii ya biashara ili uingizie faida ya 50k inakulazimu uuze tani moja[emoji23].
Umenena jambo muhimu sana ndugu ktk biashara huduma..... Nataman tungezitambua na kuzijadili kwa mapana yake ili pia watu tutoke kwnye usingizi wa kuamini kuwa hyo faida ya 50k inawezekana hata kwa mtaji usio mkubwa sana
 
Back
Top Bottom