Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua nywila hizoBiashara yoyote ile ili uipende na ikulipe ipasavyo mpaka ushangae. Unapaswa hiyo biashara yako uiweke katikati sehemu husika, yaani upate location sahihi. Hakuna cha ushirikina wala nini biashara ukiipatia location sahihi utakimbiza mpaka uhitishe wasaidizi, uchawi wa biashara ni kupata location sahihi kutegemea na biashara yako husika.
Ata uwe na mtaji kidogo ila ukapatia location basi umeula, kuna dogo huwa nafahamiana nae basi huwa nikipata wasaha huwa naenda tunapata stori mbili tatu. Basi kuna siku alinigusia kuhusu biashara yake, hiyo biashara ukiiona utaichukulia poa na mbaya zaidi mimi na wewe tunaweza idharau na kutoifanya. Dogo aliniambia hiyo biashara yake mtaji ni 650k hapo kila kitu kaweka, akiuza mauzo kwa siku kisha akitoa matumizi ya siku anabaki na faida ya kiwango cha chini ni 70k. Dogo location aliyopo inamlipa sana
Wakala tena wakijijini, upate faida ya fedha hiyo? Acha fixMtaji wako ulioinvest?
Niunganishe nae kakaNaunga mkono hoja...... location ni muhimu sana, hata ukiwa na 10m ukawekeza kwenye poor location na usipogundua mapema ukakomaa Basi jua tu utarudi nyuma.
Mfano Kuna rafiki yangu yeye anauza matunda kwa hiyo location akienda stereo anafunga mzigo wa laki sita wa matunda ambao kwa hiyo location ilivyochangamka baada ya siku mbili anaenda Tena sokoni.
Wakati anaanza alikuwa anakomaa Mwenyewe na akosi 70k to 100k Kama faida kwa siku.
Kwa Sasa anachukua hesabu ya 50k na hashughuriki anasimamia Mambo yake mengine yaende yaongeze kipato.
Kwenye masuala ya biashara amekuwa mentor wangu sana, pia najivunia kuwa rafiki yake maana Hana Roho mbaya kwenye maswala ya idea na fursa za biashara.
10 million Tena mzeeUnamaanisha mtaji wa 1 milion unaweza kuingiza faida ya laki kila siku bila kupepesa macho
Iyo 500M na Billion umezitaja kama elfu moja ivi?Hii
NMBBonus Account, akaunti maalumu ya kuweka akiba kwa ajili ya malengo yako ya muda mrefu. Akaunti hii inakupa mpaka asilimia 13* ya faida kila robo ya mwaka.
Katika hii account unaruhusiwa kutoa fedha mara moja tu katika miezi mitatu au ukasubiri na kupata gawio lako Kila baada ya miezi mitatu. Sema hii bonus account ni nzuri Kama unaweka mzigo mkubwa Kama million 500 , billion 1 au zaidi
Inawezekana kupata zaidi ya 50 endapo utabadilika mtazamo,kukariri biashara,pia focus kuboresha biashara ulionayo,mm ni wakala wa mpesa na huduma zingine za pesa mtandaoni,nimefunguka ofisi eneo ambalo ni kijiji ambako kuna pop.kubwa,nimetafuta line za lipa kwa mpesa,lipa kwa tigo,miamala yote ya kutoa pesa natoa kupitia line za lipa,faida ya maeneo ya pembezoni wateja wengi ni wale wanaotoa pesa kwani wanatumiwa na ndugu wa mjini,wateja wengi wanampa wakala simu ndio atoe hela,n.k sio haba ni sikosi 75000- 100000 kwa siku
KivipNMB bonus account [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Watafute NMB mkuu uta enjoyKivip
Kitu gan mkuu?Naweza sema wewe ni mjanja ila pia naweza sema kilio chako kinakuja coz izo Lipa zinakuja kufanyiwa kitu kimoja kikubwa balaaa
Wanazifunga au???Naweza sema wewe ni mjanja ila pia naweza sema kilio chako kinakuja coz izo Lipa zinakuja kufanyiwa kitu kimoja kikubwa balaaa
Au wataweka tozo.???Naweza sema wewe ni mjanja ila pia naweza sema kilio chako kinakuja coz izo Lipa zinakuja kufanyiwa kitu kimoja kikubwa balaaa
Kitu gan mkuu?
Inaonekana lipa ni time bombHii ni exclusive nakup now wameweka mashart no Tin, leseni haupati LIPA
Wameweka makato pia wansom location ya lain yako, wanasoma Location lain ya uwakala , wanaangalia kuwek na kutoa then wanazipa makato