Biashara inayoweza kukutoa ni ile inayokupa faida ya Tsh. 50,000 na kuendelea kwa siku

Fungua nywila hizo
 
Niunganishe nae kaka
 
Iyo 500M na Billion umezitaja kama elfu moja ivi?

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 

Naweza sema wewe ni mjanja ila pia naweza sema kilio chako kinakuja coz izo Lipa zinakuja kufanyiwa kitu kimoja kikubwa balaaa
 
Biashara inayokupa Elfu 50 kama faida kila siku ni miaka 5 tu unaingia uchumi wa kati [emoji851]hapo no kuhonga no kujipongeza ni kazi kazi
 
Hii ni exclusive nakup now wameweka mashart no Tin, leseni haupati LIPA

Wameweka makato pia wansom location ya lain yako, wanasoma Location lain ya uwakala , wanaangalia kuwek na kutoa then wanazipa makato
Inaonekana lipa ni time bomb
 
Mimi nafikiri biashara hutofautiana kutokana na maeneo sio lazima uwekeze 5ml ndo uingize faida ya 50k,unaweza kuweka laki 2 na ukaingiza faida ya laki au 70k inategemeana unafanya nn na upo eneo gani,watu wa ziwani kama wapo nadhan wataielewa hii kwa upande wa samaki,mabondo n.k mtu ananunua mzgo wa lak 5 then mauzo yanatoka laki 7 just nusu saa tu amemalza kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…