Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni biashara nzuri ila muda huo ni mrefu sana, utakuta hesabu zako haziko sawa.Nyumba ya Kupanga, visit once in 3 months.
Nyumba za kupanga ni uwekezaji mzuri ila mapato yake huja taratibu sana.Nyumba ya Kupanga, visit once in 3 months.
🙏🙏🙏Tafuta zako kasehemu kanakokua watu wanajenga jenga weka hardware plus kufyatua tofali ukioata na kasehemu kaliko changamka weka money transaction yako hapo
Usikatishe watu tamaa. Mfano mfanyakazi wa kuajiriwa asiweke biashata nje ya kazi yake..?Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.
Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.
Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.
Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule
Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Ni kweli kabisa, kama huna muda wa kusimamia biashara yako basi tulia na pesa zako, uwaminifu hakuna Sasa hivi.Ukishauri ukweli inakua uko negative 😁
Mi biashara ya kufungua afu nimuachie mtu asimamie, auze, anipe hela hapana.....heri huo mtaji niunywe nafsi iburudike.
Mkuu uko sahihi sana, atakayepinga hili atakua analeta ujuaji tuuWaafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.
Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.
Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.
Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule
Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Kwa hiyo 50mil nafumua nyumba ngapiKama kiwanja kipo, nyumba ya wapangaji anajenga, kubwa tuu.
Nyumba kama 700 hiviKwa hiyo 50mil nafumua nyumba ngapi
Lodge kama hauko karibu utapigwa sana na wahudumu, labda ufunge CCTV camera za kutosha. Hata hivyo, M50 hazitoshi kujenga lodge.Nyumba za kupangisha, au lodge.
Watu wanachukulia ujenzi poaLodge kama hauko karibu utapigwa sana na wahudumu, labda ufunge CCTV camera za kutosha. Hata hivyo, M50 hazitoshi kujenga lodge.