Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Nyumba ya Kupanga, visit once in 3 months.
Nyumba za kupanga ni uwekezaji mzuri ila mapato yake huja taratibu sana.

Uwekezaji na Biashara ni vitu viwili tofauti, kama sikosei.

Biashara ina risk kubwa lakini ndiyo njia mojawapo ya kupata hela nyingi haraka!

Uwekezaji upo slow lakini mara nyingi risk yake ni ndogo ukilinganisha na biashara. Uwekezaji ni kama vile mahali pa kuhifadhia fedha baada ya kuzichuma kutoka kwenye vyanzo vingine vya fedha kama biashara.
 
Tafuta zako kasehemu kanakokua watu wanajenga jenga weka hardware plus kufyatua tofali ukioata na kasehemu kaliko changamka weka money transaction yako hapo
🙏🙏🙏
 
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Usikatishe watu tamaa. Mfano mfanyakazi wa kuajiriwa asiweke biashata nje ya kazi yake..?
 
Hapo weka hela yako huko UTT Amis au mifuko mingine ya hati fungani kama vile Zan Securities; faida kwa mwaka ni takribani 12%

Hivyo kwa 50 M kwa mwaka unakuwa na takribani 6,000,000/-
 
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Mkuu uko sahihi sana, atakayepinga hili atakua analeta ujuaji tuu
 
Usifanye utani wewe acha ujinga hzo hela peleka bank ukanunue hisa Ata UTT , hakuna biashara inayokufaa Ata moja ya kumuacha mtu kama unabisha muachie mtu
 
Back
Top Bottom