Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Huu ni ukweli mchungu sana ambao sisi waaafrika weusi wengi aidha hatuujui au tukiujua huwa hatuukubali mpaka ujaribu halafu yakukute...!

Sina cha kuongeza....mtoa mada, kaweke hela zako UTT au bora uwekeze kwenye real estate(nyumba za kupangisha)....ingawa watakwambia real estate hailipi, ukweli inalipa bali kwa rate of return ndogo, uzuri wake ni kwamba pesa yako inakuwa haijapotea, ipo kwenye mjengo unaokupa kidogo kidogo kwa mwezi.

Nje ya humo utalia tu.....been there, done that!
 
Sasa tufanyaje na hii mitaji yetu?
Save your money kwa kuwekeza kwenye trust funds kama UTT, iTrust etc....nunua stocks kama Shares, Bonds etc...

Forget about the getting rich quick schemes, they don't work in real world, utapoteza pesa zako.

Nenda na principle ya Kawia ufike, weka pesa kwenye hizo trust funds & stocks....utapata returns kidogo kidogo lakini with the compounding effect, eventually utakuwa na ukwasi...just needs discipline & patiency. Bottom line hapa ni kwamba hutopoteza pesa zako.
 
Save your money kwa kuwekeza kwenye trust funds kama UTT, iTrust etc....nunua stocks kama Shares, Bonds etc...

Forget about the getting rich quick schemes, they don't work in real world, utapoteza pesa zako.

Nenda na principle ya Kawia ufike, weka pesa kwenye hizo trust funds & stocks....utapata returns kidogo kidogo lakini with the compounding effect, eventually utakuwa na ukwasi...just needs discipline & patiency. Bottom line hapa ni kwamba hutopoteza pesa zako.
Hapo utt ipi nzuri ukwasi au bond fund?
 
Waafrica kila mwenye pesa anawaza kufanya biashara. Biashara ni Hobby, Biashara inahitaji spirt kubwa sana, Biashara inamuhitaji mwenye wazo awe intact kwenye eneo la biashara ili kuendeleleza ile wazo yake.

Sasa watu wanajidanganya kwamba anaweza muweka Mke/mme/Baba/Mama/KAka/Dada/Mjomba/Shangazi/Shemeji/Baba mkwe/Mama mkwe wasimamie wazo, hii ni kujidanganya, hao hawajui lolote sio initiator wa wazo.

Ndioa maana wakina Mengi au wakina Bagharesa walianza kusiamamia wazo lao hadi walipo fikia levo za juu kabisa za kufanya deligate.

Sasa wewe day one ya Biashara yako inaanza na kukaimisha mtu, hio biashara haitafika kokote kule

Kama huwezi/huna muda wa kusimamia wazo lako nakushauri hizo pesa nunua hata bond za Serikali tu, la sivyo utazika pesa zote na utakuja lilia chooni kilio cha kujuta.Biashara za kupiga simu sio biashara.
Kwanza tayari kashafeli ukianza kuuliza hivyo tu itakuwa sababu moja ya kufeli aisee hii kitu imewahi kunikuta aisee
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Nunua BOND
 
Acha vitisho na kutisha watu mnakuwa na mentality za kuwaaminisha watu kuwa Biashara ni za watu fulani .
Sio vitisho mkuuu,,anajaribu kumweleza uhalisia.biashara ukimwachia mtu mostly watanzania sio waaminifu..

Biashara inapoanza inamuitaji zaidi mwenye maono yake hadi itaposimama ndio waweza muachia mtu asimamie.. otherwise uwe level ya uwekezaji ndio unaweza anza kwa kuajiri wataalamu husika wasimamie biashara Yako.
 
Una Tsh 50,000,000/= unazotaka kutumia kama mtaji wa biashara lakini muda wako wa kuisimamia kwa karibu sana ni finyu. Labda unakuwa huru wiki moja tu kila mwezi, siku zingine zote za mwezi unakuwa busy na shughuli zingine.

Mtu kama huyo anaweza kuianzisha biashara gani?

Labda:
1. Mghahawa?
2. Hardware?
3. Duka la nguo?
4. Duka la vifaa vya umeme?
5. Duka la simu?
6. Kiwanda cha juisi?
7. Huduma za kifedha kama uwakala wa M-PESA, AIRTEL MONEY, HALOPESA, BANK?
8. Biashara gani hasa?

Utatumia mbinu gani ili kuweza kuisimamia kikamilifu hata ukiwa mbali?
Mkuu kama una hiyo pesa peleka UTT. Ushauri wa bure bila consultation fee.
 
Ahsante sana wadau Kwa michango yenu,natumaini mleta mada kaelewa,kiufupi wadau mmesema biashara ni wito,na mwenye wito ndie mwenye msukumo wa kutafuta suluhisho kwa changamoto zinazojitokeza ili kufikia maono yake,Kwa kuongezea biashara inahtaji ukaribu wako zaidi kuliko hata kazi yako,yani biashara iwe sehem ya maisha yako.
 
Back
Top Bottom