Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Leta ushauri, tunahitaji maokoto 😀una jina zito aseeee,,ila umeandka nini bwana weeeee😁😁
onhoo,,sasa ni ivi,mimi ndio huo michepuko,nipo nakuchora tu sasa wewe jichanganye nitakufurahisha😎Leta ushauri, tunahitaji maokoto 😀
Ni vigumu kunifurahisha, kwa sababu vielelezo vyote vya ofisi ni vyanguonhoo,,sasa ni ivi,mimi ndio huo michepuko,nipo nakuchora tu sasa wewe jichanganye nitakufurahisha😎
unaikumbuka story ya Beatrice wa Kilimanjaro mkuu😂😂bas yule ni dadangu kwahiyo nina vinasaba vyake,, over.Ni vigumu kunifurahisha, kwa sababu vielelezo vyote vya ofisi ni vyangu
Muajiriwa anawezaje kumuibia boss wake?unaikumbuka story ya Beatrice wa Kilimanjaro mkuu😂😂bas yule ni dadangu kwahiyo nina vinasaba vyake,, over.
lakini kumbuka Beatrice aliiba uhai wa jamaa😎,,Muajiriwa anawezaje kumuibia boss wake?
Ulifikiri kwa kutumia KICHWA kipi cha JUU au cha CHINI?nimeamua kumzawadia ujauzito ili aweze kufanya kazi kwa uaminifu zaidi,
Mkuu umri wako Tafadhali?Wakuu habari?
Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa na pale na mwisho wa siku kipato kitaonekana.
Bahati nzuri katika wazo hilo, yuko tayari kulisimamia, na pia ana timu ya kumsaidia kufanya hiyo kazi; kwa upande wangu natakiwa kufungua ofisi tu.
Bahati nzuri tuliafikiana nifungue mimi ofisi na isomeke kwa majina yangu (eqn x co.ltd), yeye awe kama muajiriwa tu, ila faida tuwe tunagawana nusu kwa nusu. Na itamlazimu wakati mwingine kwenda mikoa mingine kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi; kwa mazingira hayo atakuwa kama ''operation manager''
Kutokana na hii mikakati kabambe, nimeamua kumzawadia ujauzito ili aweze kufanya kazi kwa uaminifu zaidi, akijua anapambania mali ya baba wa mtoto wake.
Hofu yangu ni kwa huko baadaye, hatoweza kuleta timbwili timbwili kwa bi mkubwa (waifu matirio wangu)?
Ingawa kwa sasa anasema ananiheshimu mimi pamoja na familia yangu, na hatoleta tatizo.
Wazoefu, nipeni maushauri; hii biashara na mahusiano hayata nitesa kweli?
Je, nifanyeje?
Ukiskia kujikaanga kwa mikono yako mwenyewe ndio hii🤣🤣🤣hii kali ya mwaka🙌Faida nitakayokuwa naipata, mke wangu pia atakuwa anaipata, pia atajua ni ofisi ya mume wake, kwa kuwa kila kitu kitakuwa kwenye usajili wangu; na yeye atakuwa upande wa ushauri kuhusu mambo ya fedha.
Ingawa mchepuko ataonekana ni mwajiriwa tu, ila atakuwa na mtoto na mimi.
Nitajitahidi hayo yasitokee; kwa kuwa nataka yeye apate nami nipate pia, mwisho wa siku naye amiliki vya kwake.lakini kumbuka Beatrice aliiba uhai wa jamaa😎,,
Hatari kwa upande upi?Aisee huu mchezo ni wa hatari
Huyo nan na nshakwambia nimimi🙄Nitajitahidi hayo yasitokee; kwa kuwa nataka yeye apate nami nipate pia, mwisho wa siku naye amiliki vya kwake.
Ebu fafanua kidogo tujifunzeUkiskia kujikaanga kwa mikono yako mwenyewe ndio hii🤣🤣🤣hii kali ya mwaka🙌
Ni kweli kabisa, ndio natafuta namna ya kuishi nayeTumeambiwa tuishi nao kwa akili
Ukishakuwa na hela, utakuwa na roho nzuri 😀Huyo nan na nshakwambia nimimi🙄
Wengi huwa tunaogopa watoto, ila watoto ni faraja hasa pale utakapokuwa kitandani hujiwezi.
Hapa duniani tunapambana tuwe na maisha mazuri, haya mengine ni taralila tu; kama amekuja na wazo la kupata pesa kwa nini lisifanyike?