Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Wakuu habari?

Mchepuko wangu alinipa wazo moja la biashara, na katika kulitathmini likanishawishi na kunipa matumaini, kwa sababu kama nitalitekeleza kwa ufasaha, linaweza kutengeneza matawi hapa na pale na mwisho wa siku kipato kitaonekana.

Bahati nzuri katika wazo hilo, yuko tayari kulisimamia, na pia ana timu ya kumsaidia kufanya hiyo kazi; kwa upande wangu natakiwa kufungua ofisi tu.

Bahati nzuri tuliafikiana nifungue mimi ofisi na isomeke kwa majina yangu (eqn x co.ltd), yeye awe kama muajiriwa tu, ila faida tuwe tunagawana nusu kwa nusu. Na itamlazimu wakati mwingine kwenda mikoa mingine kwa ajili ya ufunguzi wa ofisi; kwa mazingira hayo atakuwa kama ''operation manager''

Kutokana na hii mikakati kabambe, nimeamua kumzawadia ujauzito ili aweze kufanya kazi kwa uaminifu zaidi, akijua anapambania mali ya baba wa mtoto wake.

Hofu yangu ni kwa huko baadaye, hatoweza kuleta timbwili timbwili kwa bi mkubwa (waifu matirio wangu)?

Ingawa kwa sasa anasema ananiheshimu mimi pamoja na familia yangu, na hatoleta tatizo.

Wazoefu, nipeni maushauri; hii biashara na mahusiano hayata nitesa kweli?

Je, nifanyeje?​
Mkuu umri wako Tafadhali?
 
Faida nitakayokuwa naipata, mke wangu pia atakuwa anaipata, pia atajua ni ofisi ya mume wake, kwa kuwa kila kitu kitakuwa kwenye usajili wangu; na yeye atakuwa upande wa ushauri kuhusu mambo ya fedha.
Ingawa mchepuko ataonekana ni mwajiriwa tu, ila atakuwa na mtoto na mimi.​
Ukiskia kujikaanga kwa mikono yako mwenyewe ndio hii🤣🤣🤣hii kali ya mwaka🙌
 
kwanza yeye atakua na vyeo vifuatavyo
Assistance CEO
business operator
accountant
Sells manager

Nyanja muhim zote ameshika yeye cha kwako mtaji tu
"Money bring bitches"
 
Back
Top Bottom