KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 1,797
- 1,594
Anahitaji labda uzalishaji mkubwa, awe na uwezo wa kuchakata Lita elfu 5 kwa lisaa.Ahsante mkuu kwa ufafanuzi mzuri ufafanuzi wako umeniongezea kitu
Mimi nilifanya uchunguzi mdogo kuna kipindi nilihitaji kuanzisha hii kitu kwa udogo nikaanza kufuatilia majibu nikaona naweza wazo bado ninalo na Mungu akipenda nitazalisha maji kijijini hapa one day
Ila huyo mwamba anakatisha watu tamaa kwa kitu asichokifanyia uchunguzi zaid ya kusoma kwenye mitandao
Zalisha "mdudu" halafu utanishukuru baadayeBiashara nzuri ya uzalishaji isiyo ya umachinga
Anachukulia vitu kwa ukubwa sanaAnahitaji labda uzalishaji mkubwa, awe na uwezo wa kuchakata Lita elfu 5 kwa lisaa.
Mie nakushauri anzisha kiwanda cha kutenengeza chakula cha kuku+ samaki. Gharama zake si kubwa sana na ni biashara yenye mzunguko mzuri.
Hizo mashine ndogo pamoja na mashine ya ujazaji na ufungaji inaweza kugharimu kiasi gani mkuu maana nina kisima nilichimba kina maji mengi nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha maji. Nitashukuru ukinipa mwongozo mkuu.Million 100 yote ya nini?. Kuna RO zenye uwezo tofauti inategemea wewe unataka uzalishe Lita ngapi kwa siku. Kuna RO zinazochakata mpaka Lita 500 kwa sasa ambapo ukipiga kwa masaa 9 ikiwa inatembea unapata 500×9=4,500 Lita . Sasa RO Kama hii nibei ndogo sana.
Baada yahapo unahitaji machine ya Filling, ingawa pia unaweza tumia Manual Filling (Nimeshuhudia hili) ambapo gharama yake ni ndogo sana.
Kama unahitaj uanze kitajili andaa hio mil 100. Lakini kama unataka uanze kimasikini niela ndogo.
Mfano maji PANGANI(kama sijasahau jina) yanazalishwa SIDO ya pale Tanga(GOFU CHINI) Na mzalishashaji kajisajili kama mzalishashaji mdogo. Nenda kaangalie machine alizonazo kisha utakuja kubadili kauli yako.
Ukienda urafiki hapo RO yao nizaidi ya mil 100. Sasa inategemea wewe unataka uzalishaji wa aina gani.
Tunasubiria mrejeshoHizo mashine ndogo pamoja na mashine ya ujazaji na ufungaji inaweza kugharimu kiasi gani mkuu maana nina kisima nilichimba kina maji mengi nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha maji. Nitashukuru ukinipa mwongozo mkuu.
Umeandika jambo gumu mpaka nimeliona ni rahisi. Shukrani nimeshawishika sana na hii biashara.Nimefanya kazi kiwanda cha water& cosmetics, plastics, pamoja na soft drinks.
Blowing machine ya nini?. Hii inatumika kama unanua preform then unaenda kuziblow kwenye PET BLOW MOULDER MACHINE ili upate size ya chupa unayohitaji. Huna haja nayo kwa sababu Kuna makampuni yanauza chupa ukiweka oda unauziwa chupa unazotaka.
Labeling machine hii inasaidia kuweka lebo, lkn huna haja nayo kwa sababu Kuna baadhi ya viwanda kama PPTL&MAMUJEE& A ONE wanaofanya kazi ya Labelling ni watu na machine zipo kidogo na muda mwingine hazifanyi kazi kwa sababu zinaharibika mara Kwa mara wengi wanazinunua kutoka India.
Shrinking machine huna haja nayo kwa sababu unaweza nunua hand Drayer ndogo ambayo itakusaidia kuzifanyia shrinking lebo Ili zishikane vizuri na chupa.
Jengo unakodi sido na nibei ndogo.
Marketing utaanza kwa kufanya Mwenyewe na kusambaza madukan .
Labour kwa kazi ya maji unahitaji operator mmoja wa RO ambae pia anaweza kua supervisor at the same time kwa watu wanaofanya labeling& Shrinking ukamlipa pesa iziyozidi elfu kumi per day.
Filling machine unatumia manual Filling, unahitaji watu wasiozidi 4 ambao wanaweza jaza zaidi ya Lita 1000 kwa siku na ukawalipa pesa Kila mmoja isiyozidi elfu 7.
Baada yahapo ukihitaji hizo machine unazotaka wewe lazima uwe pia na Compressor kwa sababu machine hizo ni pneumatic machine haziwezi tembea bila upepo. Hasa Blow MOULDER, capping &Filling machine pia ukitaka unavyotaka wewe lazima uwe na machine ya PET INJECTION MACHINE kitu ambacho hakina ulazima. Pia utahitaji Cooling tower kwa sababu injection machine nyingi ni cold mode.
Ukitaka uzalishaji kama wako andaa zaidi ya mil 500.
Lakini kama wangu kwa mzalishaji mdogo haizidi mil 20.
Tengeneza juiceHapana, nataka uzalishaji mdogo. Kakiwanda kadogo kakuweka hata nyuma ya nyumba.
NdioMkuu nahitaji utaalam wa hicho , kiwanda Cha Maji kidogo
Acha bangeTengeneza juice
Nunua simtank
Jaza maji weka sukari weka rangi jaza kwenye chupa sambaza
Hicho kiwanda unaweza weka nyuma ya nyumba yako
No umeme ni nguvu zako za kukoroga sukari kwenye simtank bas
Hii juice ya namna gani mbona sijaona ukiweka matunda 😅Tengeneza juice
Nunua simtank
Jaza maji weka sukari weka rangi jaza kwenye chupa sambaza
Hicho kiwanda unaweza weka nyuma ya nyumba yako
No umeme ni nguvu zako za kukoroga sukari kwenye simtank bas
Mkuu nakutafuta umefunga PM yako, vipi nakupatajeNimefanya kazi kiwanda cha water& cosmetics, plastics, pamoja na soft drinks.
Blowing machine ya nini?. Hii inatumika kama unanua preform then unaenda kuziblow kwenye PET BLOW MOULDER MACHINE ili upate size ya chupa unayohitaji. Huna haja nayo kwa sababu Kuna makampuni yanauza chupa ukiweka oda unauziwa chupa unazotaka.
Labeling machine hii inasaidia kuweka lebo, lkn huna haja nayo kwa sababu Kuna baadhi ya viwanda kama PPTL&MAMUJEE& A ONE wanaofanya kazi ya Labelling ni watu na machine zipo kidogo na muda mwingine hazifanyi kazi kwa sababu zinaharibika mara Kwa mara wengi wanazinunua kutoka India.
Shrinking machine huna haja nayo kwa sababu unaweza nunua hand Drayer ndogo ambayo itakusaidia kuzifanyia shrinking lebo Ili zishikane vizuri na chupa.
Jengo unakodi sido na nibei ndogo.
Marketing utaanza kwa kufanya Mwenyewe na kusambaza madukan .
Labour kwa kazi ya maji unahitaji operator mmoja wa RO ambae pia anaweza kua supervisor at the same time kwa watu wanaofanya labeling& Shrinking ukamlipa pesa iziyozidi elfu kumi per day.
Filling machine unatumia manual Filling, unahitaji watu wasiozidi 4 ambao wanaweza jaza zaidi ya Lita 1000 kwa siku na ukawalipa pesa Kila mmoja isiyozidi elfu 7.
Baada yahapo ukihitaji hizo machine unazotaka wewe lazima uwe pia na Compressor kwa sababu machine hizo ni pneumatic machine haziwezi tembea bila upepo. Hasa Blow MOULDER, capping &Filling machine pia ukitaka unavyotaka wewe lazima uwe na machine ya PET INJECTION MACHINE kitu ambacho hakina ulazima. Pia utahitaji Cooling tower kwa sababu injection machine nyingi ni cold mode.
Ukitaka uzalishaji kama wako andaa zaidi ya mil 500.
Lakini kama wangu kwa mzalishaji mdogo haizidi mil 20.
Bakery sishauri, unless eneo limechangamka sana. Kama utaweza kuanzia nyumbani (au mahali ambapo huhitaji kulipia pango kila mwezi, mpaka ujenge base hata ndogo ya wateja). Nimeshafanya hio biashara, inahitaji usimamizi na ufuatiliaji wa karibu. Kama utaajiri mtu, jiandae kisaikolojia. Kila la kheri.Fungua bakery..!
Ushauri wangu fanyia Tanga, kwa sababu kuna bidhaa chache tu zinazotumika kule pia cheap labour wamejaa, na pale sido hakuna mlundikano wa watu. Pia Dodoma sio mbaya.Umeandika jambo gumu mpaka nimeliona ni rahisi. Shukrani nimeshawishika sana na hii biashara.
Mkoa gani naweza ifanya hii nikapata wateja wa uhakika maana hapa Dar naona kama maji ni mengi sana
Mkuu karibu.Mkuu nakutafuta umefunga PM yako, vipi nakupataje
Mashine ndogo hizo za RO zipo za mpaka mil 5/7. Issue ya ufungaji Haina haja ya machine kama waanza. Usiwekeze pesa nyingi kwenye soko ambalo hujawa na uhakika nalo.Hizo mashine ndogo pamoja na mashine ya ujazaji na ufungaji inaweza kugharimu kiasi gani mkuu maana nina kisima nilichimba kina maji mengi nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha maji. Nitashukuru ukinipa mwongozo mkuu.