Biashara nzuri ya uzalishaji isiyo ya umachinga

Anahitaji labda uzalishaji mkubwa, awe na uwezo wa kuchakata Lita elfu 5 kwa lisaa.
 
Hizo mashine ndogo pamoja na mashine ya ujazaji na ufungaji inaweza kugharimu kiasi gani mkuu maana nina kisima nilichimba kina maji mengi nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha maji. Nitashukuru ukinipa mwongozo mkuu.
 
Umeandika jambo gumu mpaka nimeliona ni rahisi. Shukrani nimeshawishika sana na hii biashara.

Mkoa gani naweza ifanya hii nikapata wateja wa uhakika maana hapa Dar naona kama maji ni mengi sana
 
Mbali na haya,àmka Nenda Ofisi za Sido,Nenda Veta,Nenda Wizara ya Viwanda na biashara.Huko kuna Takwimu na Taarifa.Ukiweza pia pata data za TRA Juu ya imports nyingi toka Nje,Mfano Nchi inaagiza Sana bidhaa gani.Hizo ndiyo gaps.Kabla ya kuanza Hakikisha Una Taarifa na Maarifa Kwanza,kisha Ujuzi wa Kile unataka kufanya.Pili biashara ni pamoja na kutatua zile Changamoto ngumu,hii Kwa Mjibu wa Tajiri wa Kichina Jack Ma.Nakupa big up kuwazia Uzalishaji wa bidhaa badala ya uchuuzi.Kwa TZ watu wanapenda Sana uchuuzi maana hauhitaji Matumizi Makubwa ya Akili.Ukiweza Tembele pia mikoani.Ninapanga Kuzalisha bidhaa rahisi toka Kwa Mazao kama Karanga na Asali.Pia naendelea na mchakato wa Kuzalisha Sàbuni za Maji.Nimemaliza Mafunzo ya awali ya SIDO Geita.Nakutakia kila la Kheri.
 
Mkuu nakutafuta umefunga PM yako, vipi nakupataje
 
Umeandika jambo gumu mpaka nimeliona ni rahisi. Shukrani nimeshawishika sana na hii biashara.

Mkoa gani naweza ifanya hii nikapata wateja wa uhakika maana hapa Dar naona kama maji ni mengi sana
Ushauri wangu fanyia Tanga, kwa sababu kuna bidhaa chache tu zinazotumika kule pia cheap labour wamejaa, na pale sido hakuna mlundikano wa watu. Pia Dodoma sio mbaya.
 
Hizo mashine ndogo pamoja na mashine ya ujazaji na ufungaji inaweza kugharimu kiasi gani mkuu maana nina kisima nilichimba kina maji mengi nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha maji. Nitashukuru ukinipa mwongozo mkuu.
Mashine ndogo hizo za RO zipo za mpaka mil 5/7. Issue ya ufungaji Haina haja ya machine kama waanza. Usiwekeze pesa nyingi kwenye soko ambalo hujawa na uhakika nalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…