Biashara nzuri ya uzalishaji isiyo ya umachinga

Biashara nzuri ya uzalishaji isiyo ya umachinga

I know you're trying to sound funny, but I feel this might not be the best time for jokes. We have a serious matter to discuss. Chill.
Hapo sijatania,vitumbua vinaweza kukupata mpaka 50 kwa siku tena kwa mtaji mdogo tu

Basi kafyatue tofari
 
Unapotaka kwenda unapajua ila bado hujakuwa na uhakika wa njia ya kuelekea huko
Nnachoweza kukushauri kwa sababu bado haijulikani capital yako,ni kupata michanganuo ya baadhi ya kazi za uzalishaji hapa nashauri pia uwe umeweka wazi mtaji wako ili upatiwe michanganuo inayoenda sambamba na capital.
Na michanganuo hiyo inatakiwa iwe n a A to Z namaanisha kukidhi vipengele vyote vya ku invest,production , advertising,sales Hadi profit.
Ukiwa serious nitafute nitakusaidia!
 
Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.

Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.

Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
kuna mjasiriamali katengeneza sanitary pads kutumia migomba hapo uganda.

mfuatilie.

ubunifu wake umevutia wawekezaji na sasa hivi ana kiwanda kikubwa uganda
 
kama una mtaji wa kuanzia m6... jenga mabanda fuata ngombe kyela wa maziwa wa kisasa mwenye mimba miezi 6 hadi 4.... wawili lisha teseka nao.... wakizalisha hata lita 5 kila mmoja kila siku huwezi kuwamudu wateja labda uwe kange tanga....
 
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa ya uelewa;
1. RO ni nini?
2. Je
Million 100 yote ya nini?. Kuna RO zenye uwezo tofauti inategemea wewe unataka uzalishe Lita ngapi kwa siku. Kuna RO zinazochakata mpaka Lita 500 kwa sasa ambapo ukipiga kwa masaa 9 ikiwa inatembea unapata 500×9=4,500 Lita . Sasa RO Kama hii nibei ndogo sana.

Baada yahapo unahitaji machine ya Filling, ingawa pia unaweza tumia Manual Filling (Nimeshuhudia hili) ambapo gharama yake ni ndogo sana.

Kama unahitaj uanze kitajili andaa hio mil 100. Lakini kama unataka uanze kimasikini niela ndogo.

Mfano maji PANGANI(kama sijasahau jina) yanazalishwa SIDO ya pale Tanga(GOFU CHINI) Na mzalishashaji kajisajili kama mzalishashaji mdogo. Nenda kaangalie machine alizonazo kisha utakuja kubadili kauli yako.

Ukienda urafiki hapo RO yao nizaidi ya mil 100. Sasa inategemea wewe unataka uzalishaji wa aina gani.
,
Million 100 yote ya nini?. Kuna RO zenye uwezo tofauti inategemea wewe unataka uzalishe Lita ngapi kwa siku. Kuna RO zinazochakata mpaka Lita 500 kwa sasa ambapo ukipiga kwa masaa 9 ikiwa inatembea unapata 500×9=4,500 Lita . Sasa RO Kama hii nibei ndogo sana.

Baada yahapo unahitaji machine ya Filling, ingawa pia unaweza tumia Manual Filling (Nimeshuhudia hili) ambapo gharama yake ni ndogo sana.

Kama unahitaj uanze kitajili andaa hio mil 100. Lakini kama unataka uanze kimasikini niela ndogo.

Mfano maji PANGANI(kama sijasahau jina) yanazalishwa SIDO ya pale Tanga(GOFU CHINI) Na mzalishashaji kajisajili kama mzalishashaji mdogo. Nenda kaangalie machine alizonazo kisha utakuja kubadili kauli yako.

Ukienda urafiki hapo RO yao nizaidi ya mil 100. Sasa inategemea wewe unataka uzalishaji wa aina gani.
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa kwa ajili ya kukuza ufahamu;
1. RO ni nini?
2. Ili niweze kuchakata angalau lita 2,000 za maji kwa siku nahitaji mfano niwe na manpower kiasi gani na mashine gani niwe nazo? Nitashukuru ukielezea jina la mashine na kazi yake ili niendelee kujipanga vizuri. Nakushuru kwa muda wako mkuu.
 
Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.

Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.

Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Tengeneza hutu tupombe tukali....actually ni gongo ...una zi pack vyema ...unaingia sokoni...
 
Nimefanya kazi kiwanda cha water& cosmetics, plastics, pamoja na soft drinks.

Blowing machine ya nini?. Hii inatumika kama unanua preform then unaenda kuziblow kwenye PET BLOW MOULDER MACHINE ili upate size ya chupa unayohitaji. Huna haja nayo kwa sababu Kuna makampuni yanauza chupa ukiweka oda unauziwa chupa unazotaka.

Labeling machine hii inasaidia kuweka lebo, lkn huna haja nayo kwa sababu Kuna baadhi ya viwanda kama PPTL&MAMUJEE& A ONE wanaofanya kazi ya Labelling ni watu na machine zipo kidogo na muda mwingine hazifanyi kazi kwa sababu zinaharibika mara Kwa mara wengi wanazinunua kutoka India.

Shrinking machine huna haja nayo kwa sababu unaweza nunua hand Drayer ndogo ambayo itakusaidia kuzifanyia shrinking lebo Ili zishikane vizuri na chupa.

Jengo unakodi sido na nibei ndogo.

Marketing utaanza kwa kufanya Mwenyewe na kusambaza madukan .

Labour kwa kazi ya maji unahitaji operator mmoja wa RO ambae pia anaweza kua supervisor at the same time kwa watu wanaofanya labeling& Shrinking ukamlipa pesa iziyozidi elfu kumi per day.

Filling machine unatumia manual Filling, unahitaji watu wasiozidi 4 ambao wanaweza jaza zaidi ya Lita 1000 kwa siku na ukawalipa pesa Kila mmoja isiyozidi elfu 7.

Baada yahapo ukihitaji hizo machine unazotaka wewe lazima uwe pia na Compressor kwa sababu machine hizo ni pneumatic machine haziwezi tembea bila upepo. Hasa Blow MOULDER, capping &Filling machine pia ukitaka unavyotaka wewe lazima uwe na machine ya PET INJECTION MACHINE kitu ambacho hakina ulazima. Pia utahitaji Cooling tower kwa sababu injection machine nyingi ni cold mode.

Ukitaka uzalishaji kama wako andaa zaidi ya mil 500.

Lakini kama wangu kwa mzalishaji mdogo haizidi mil 20.
Job true true
 
Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.

Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.

Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Nipo kwenye hii sekta
Ila kabla yote wewe unapenda nini?

Uzalishaji ni mpana sana sana
 
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa ya uelewa;
1. RO ni nini?
2. Je

,

Mkuu naomba niulize maswali kadhaa kwa ajili ya kukuza ufahamu;
1. RO ni nini?
2. Ili niweze kuchakata angalau lita 2,000 za maji kwa siku nahitaji mfano niwe na manpower kiasi gani na mashine gani niwe nazo? Nitashukuru ukielezea jina la mashine na kazi yake ili niendelee kujipanga vizuri. Nakushuru kwa muda wako mkuu.
1. RO ni Reverse osmosis, but RO machine ni Reverse osmosis machine, inayotumika kuchakata maji na kuhakikisha maji yanatoka yakiwa masafi kadri unavyotaka, kwa kuzingatia pH unayotaka iwe kwenye maji.

2. Ukishakua na RO machine ya capacity ya kuzalisha Lita 5000 kwa siku, mambo mengine unayohitaji ni madogo madogo ndio maana nikasema unachokihitaji zaidi ni RO machine, na Sufuria kubwa za Stainless steel, kwamba baada yakuchakata maji yako unayahifadhi katika masufuria Yako makubwa, kisha unafanya manual Filling.

Unahitaji watu wasiozidi 3 wenye uzoefu wa kufanya manual Filling.

Machine nyingine utakayohitaji labda ni Shrinking machine kama utakua na pesa, lkn kama Hauna Kuna vi hand dryer vinatumika pia kufanya hiyo kazi shrinking/Sealing.
 
Back
Top Bottom