COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 923
- 1,054
Mtaji wake si wakitoto mkuuFungua bakery..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji wake si wakitoto mkuuFungua bakery..!
Mamlaka zikikukamata utajuta maishaTengeneza juice
Nunua simtank
Jaza maji weka sukari weka rangi jaza kwenye chupa sambaza
Hicho kiwanda unaweza weka nyuma ya nyumba yako
No umeme ni nguvu zako za kukoroga sukari kwenye simtank bas
Hizi zote nzuri shida ila upate wasaidizi wazuriHapo sijatania,vitumbua vinaweza kukupata mpaka 50 kwa siku tena kwa mtaji mdogo tu
Basi kafyatue tofari
nDio,kuna vijana wa kiume wapo vizur katika utendaj kaz ukiwa nao kazi zinafanyika vzur kabisaHizi zote nzuri shida ila upate wasaidizi wazuri
Maelezo yako ni mazuri mpaka naiona ni biashara rahisi tofauti na fikra zangu mwanzoni.1. RO ni Reverse osmosis, but RO machine ni Reverse osmosis machine, inayotumika kuchakata maji na kuhakikisha maji yanatoka yakiwa masafi kadri unavyotaka, kwa kuzingatia pH unayotaka iwe kwenye maji.
2. Ukishakua na RO machine ya capacity ya kuzalisha Lita 5000 kwa siku, mambo mengine unayohitaji ni madogo madogo ndio maana nikasema unachokihitaji zaidi ni RO machine, na Sufuria kubwa za Stainless steel, kwamba baada yakuchakata maji yako unayahifadhi katika masufuria Yako makubwa, kisha unafanya manual Filling.
Unahitaji watu wasiozidi 3 wenye uzoefu wa kufanya manual Filling.
Machine nyingine utakayohitaji labda ni Shrinking machine kama utakua na pesa, lkn kama Hauna Kuna vi hand dryer vinatumika pia kufanya hiyo kazi shrinking/Sealing.
Tupe kidogo madini ya uzalishaji wake, masoko yake na faida yake unaipatajeZalisha peanut butter
Hii ina faida kubwa sana lakini wateja inategemea na eneo ulipo ma matumizi ya hiyo peanut butter.Tupe kidogo madini ya uzalishaji wake, masoko yake na faida yake unaipataje
Okay shukrani, kumbe kuna mafuta ya karanga kiukweli sikuwai kuyaona. Uwa naziona peanut butter supermarkets japo mimi sijawai kuwa na matumizi nazo.Hii ina faida kubwa sana lakini wateja inategemea na eneo ulipo ma matumizi ya hiyo peanut butter.
Ila kama unaweza ukikamua mafuta ya karanga waweza piga bao sana . Lita 1 ni 20 - 30 elf. Gunia moja la maganda unapata lita 12 x30,000Tshs= 360,000/= Tshs kwa uchache lakini waweza pata lita 18 x 30,000= 540,000/=Tshs
Mkuu yapo na ni mazuri kwa afya. Pia ni biashara nzuri. Siri yake utanitafuta in box kwa sababu kama upo serious basi uweze kujua abc za kuliteka sokoOkay shukrani, kumbe kuna mafuta ya karanga kiukweli sikuwai kuyaona. Uwa naziona peanut butter supermarkets japo mimi sijawai kuwa na matumizi nazo.
Hamna kituMamlaka zikikukamata utajuta maisha