Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hapo sijatania,vitumbua vinaweza kukupata mpaka 50 kwa siku tena kwa mtaji mdogo tuI know you're trying to sound funny, but I feel this might not be the best time for jokes. We have a serious matter to discuss. Chill.
kuna mjasiriamali katengeneza sanitary pads kutumia migomba hapo uganda.Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
google....BB na BC ni nini
Nitamgoogle mamakogoogle....
kisimi cha mamakoNitamgoogle mamako
Sikupi tena attention akili ndogokisimi cha mamako
sasa we akili kubwa umeshindwa kugoogle kama shule hujapita bb ni business to business na bc ni business to consumer kenge wewe...Sikupi tena attention akili ndogo
,Million 100 yote ya nini?. Kuna RO zenye uwezo tofauti inategemea wewe unataka uzalishe Lita ngapi kwa siku. Kuna RO zinazochakata mpaka Lita 500 kwa sasa ambapo ukipiga kwa masaa 9 ikiwa inatembea unapata 500×9=4,500 Lita . Sasa RO Kama hii nibei ndogo sana.
Baada yahapo unahitaji machine ya Filling, ingawa pia unaweza tumia Manual Filling (Nimeshuhudia hili) ambapo gharama yake ni ndogo sana.
Kama unahitaj uanze kitajili andaa hio mil 100. Lakini kama unataka uanze kimasikini niela ndogo.
Mfano maji PANGANI(kama sijasahau jina) yanazalishwa SIDO ya pale Tanga(GOFU CHINI) Na mzalishashaji kajisajili kama mzalishashaji mdogo. Nenda kaangalie machine alizonazo kisha utakuja kubadili kauli yako.
Ukienda urafiki hapo RO yao nizaidi ya mil 100. Sasa inategemea wewe unataka uzalishaji wa aina gani.
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa kwa ajili ya kukuza ufahamu;Million 100 yote ya nini?. Kuna RO zenye uwezo tofauti inategemea wewe unataka uzalishe Lita ngapi kwa siku. Kuna RO zinazochakata mpaka Lita 500 kwa sasa ambapo ukipiga kwa masaa 9 ikiwa inatembea unapata 500×9=4,500 Lita . Sasa RO Kama hii nibei ndogo sana.
Baada yahapo unahitaji machine ya Filling, ingawa pia unaweza tumia Manual Filling (Nimeshuhudia hili) ambapo gharama yake ni ndogo sana.
Kama unahitaj uanze kitajili andaa hio mil 100. Lakini kama unataka uanze kimasikini niela ndogo.
Mfano maji PANGANI(kama sijasahau jina) yanazalishwa SIDO ya pale Tanga(GOFU CHINI) Na mzalishashaji kajisajili kama mzalishashaji mdogo. Nenda kaangalie machine alizonazo kisha utakuja kubadili kauli yako.
Ukienda urafiki hapo RO yao nizaidi ya mil 100. Sasa inategemea wewe unataka uzalishaji wa aina gani.
Tengeneza hutu tupombe tukali....actually ni gongo ...una zi pack vyema ...unaingia sokoni...Wataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Job true trueNimefanya kazi kiwanda cha water& cosmetics, plastics, pamoja na soft drinks.
Blowing machine ya nini?. Hii inatumika kama unanua preform then unaenda kuziblow kwenye PET BLOW MOULDER MACHINE ili upate size ya chupa unayohitaji. Huna haja nayo kwa sababu Kuna makampuni yanauza chupa ukiweka oda unauziwa chupa unazotaka.
Labeling machine hii inasaidia kuweka lebo, lkn huna haja nayo kwa sababu Kuna baadhi ya viwanda kama PPTL&MAMUJEE& A ONE wanaofanya kazi ya Labelling ni watu na machine zipo kidogo na muda mwingine hazifanyi kazi kwa sababu zinaharibika mara Kwa mara wengi wanazinunua kutoka India.
Shrinking machine huna haja nayo kwa sababu unaweza nunua hand Drayer ndogo ambayo itakusaidia kuzifanyia shrinking lebo Ili zishikane vizuri na chupa.
Jengo unakodi sido na nibei ndogo.
Marketing utaanza kwa kufanya Mwenyewe na kusambaza madukan .
Labour kwa kazi ya maji unahitaji operator mmoja wa RO ambae pia anaweza kua supervisor at the same time kwa watu wanaofanya labeling& Shrinking ukamlipa pesa iziyozidi elfu kumi per day.
Filling machine unatumia manual Filling, unahitaji watu wasiozidi 4 ambao wanaweza jaza zaidi ya Lita 1000 kwa siku na ukawalipa pesa Kila mmoja isiyozidi elfu 7.
Baada yahapo ukihitaji hizo machine unazotaka wewe lazima uwe pia na Compressor kwa sababu machine hizo ni pneumatic machine haziwezi tembea bila upepo. Hasa Blow MOULDER, capping &Filling machine pia ukitaka unavyotaka wewe lazima uwe na machine ya PET INJECTION MACHINE kitu ambacho hakina ulazima. Pia utahitaji Cooling tower kwa sababu injection machine nyingi ni cold mode.
Ukitaka uzalishaji kama wako andaa zaidi ya mil 500.
Lakini kama wangu kwa mzalishaji mdogo haizidi mil 20.
Nipo kwenye hii sektaWataalam wa business naombeni ushauri wenu kwa hapa Dar es Salaam ni biashara gani nzuri ya uzalishaji naweza ifanya yani niwe mzalishaji bidhaa sio kuchuuza.
Niliwaza kutenengeza pedi lakini naona mtaji wake utanishinda inabidi mzigo kuagiza utengenezwe China pia nikisema nizalishe hapa hapa production cost ni kubwa.
Naombeni mawazo yenu ni kitu gani naweza fanya cha uzalishaji just any idea nitashukuru sna.
Sungura anaupiga mwingi sanaTengeneza hutu tupombe tukali....actually ni gongo ...una zi pack vyema ...unaingia sokoni...
SanaUzi una nondo huu
1. RO ni Reverse osmosis, but RO machine ni Reverse osmosis machine, inayotumika kuchakata maji na kuhakikisha maji yanatoka yakiwa masafi kadri unavyotaka, kwa kuzingatia pH unayotaka iwe kwenye maji.Mkuu naomba niulize maswali kadhaa ya uelewa;
1. RO ni nini?
2. Je
,
Mkuu naomba niulize maswali kadhaa kwa ajili ya kukuza ufahamu;
1. RO ni nini?
2. Ili niweze kuchakata angalau lita 2,000 za maji kwa siku nahitaji mfano niwe na manpower kiasi gani na mashine gani niwe nazo? Nitashukuru ukielezea jina la mashine na kazi yake ili niendelee kujipanga vizuri. Nakushuru kwa muda wako mkuu.
Mkuu vipi biashara yako ya COSMETICS?.Sungura anaupiga mwingi sana
Inaendelea vyema kabisa mkuuMkuu vipi biashara yako ya COSMETICS?.