Sijui wakinga ni nani aliwawekea hii kitu maana mkinga kokote alipo lazma mafanikio yake yahusishwe na ndumba, iwe songea, mbeya au dsmHuu ni ukweli 100% na ujinga wa ngozi nyeusi ni kuamini waliofanikiwa ni washirikina, mtu akiona nina mafanikio fulani anaanza wewe kabila gani.
Nikimjibu mimi ni Mkinga anahitimisha kuwa ni mshirikina ila hajua mimi ninavyopambana kusaka pesa.
YES...Na imepitaLakini si tulikubaliana ajira ni utumwa jamani?😂
HaswaNakazia ...
Hata kina Bakhressa pia na Musk ni wachuuzi tofauti ni ukubwa wa huo uchuuzi. Biashara yoyote ni kuuza ama huduma au vitu na kutengeneza faida na ndio uchuuzi wenyewe.Ukichoeleza kama mifano sio biashara. Ni uchuuzi tu.
Mchuuzi ni mfanyabisshara wa level ya chini kabsa.Kama ni mfanyakazi basi ni mfagia ofisiHata kina Bakhressa pia na Musk ni wachuuzi tofauti ni ukubwa wa huo uchuuzi. Biashara yoyote ni kuuza ama huduma au vitu na kutengeneza faida na ndio uchuuzi wenyewe.
Kwanza, Kuna ishu ya upatikanaji wa mtaji na speed yao ya kukuza mtaji fastafasta.Sijui wakinga ni nani aliwawekea hii kitu maana mkinga kokote alipo lazma mafanikio yake yahusishwe na ndumba, iwe songea, mbeya au dsm
😁 wateja kama wateja, kwa hiyo akitoka nyumbani mnaanza kuhesabu maumivu 😁Kwanza, Kuna ishu ya upatikanaji wa mtaji na speed yao ya kukuza mtaji fastafasta.
Pili ishu ya kupata wateja wengi ghafla. Hata ushushe bei kuliko yeye kwa bidhaa sawa na yeye. Yeye atauza sana kuliko wote.
Wale waliopo kwenye biashara wanaelewa kuhusu changamoto ya wateja. Ila unashangaa mkinga anafungua pembeni yako na bidhaa kama zako ambazo wateja ni wa kusuasua. Ila yeye akiuza wateja mafuriko 😂. Halafu biashara ni wateja.
Pia wakiona biashara ngumu anasafiri kuenda kijijini, akirudi atauza mno 😂😂😂. Mafuriko ya wateja sio ya kawaida. Sasa ndio maana watu wanamashaka na wakinga
Ila kiufupi biashara ni ngumu. Unaweza kuwekeza na kujituma ila changamoto ni WATEJA.
Ajira zinatofautiana pia!
Niamini mimi, kuna waajiriwa huwa wanalaza mgongo kitandani sio kumaanisha kulala!
Na kuna wafanyabiashara kwa level tofauti, umemzungumzia wa level hiyo, kuna yule ambaye tayari yeye PESA INAMTUMIKIA yeye, huyo si sawa na huyo anayeitumikia pesa.
Usisahau Nehemia Mchechu, Maharahe Chande na the like ni waajiriwa, Bakhresa, Manji, GSM ni wafanyabiashara; hawa wote wanalalia magodoro bora kabisa, pengine kwa usingizi mnono na wasipoupata, wanaulazimisha kwa madawa.
Popote pale....Sijui wakinga ni nani aliwawekea hii kitu maana mkinga kokote alipo lazma mafanikio yake yahusishwe na ndumba, iwe songea, mbeya au dsm
Haswa biashara ya kuuza chipsKwenye biashara kama ni mwanaume discipline ya kwanza ni ya kukaa mbali na mademu maana wanajilengesha ukikaa vibaya wanaondoka na mtaji wote.
HahahaahJuzi nimepigwa mzinga wa Elfu 10 yaani roho inaniuma hadi leo!,hilo ten ningeshazalisha ten lingine hadi leo [emoji851]
Kuna mtu alisema ni swala la muda tu mfanya biashara kuwa na makandokando.mfanyabiashara mmoja alinambia kuwa biashara safi bila makandokando inawezekana lakini baada ya muda tu nikafunguliwa codes ni tapeli mafia.. Toka hapo Niliweka imani chache sana na hawa watu, SIRI YA MAFANIKIO KAMWE HAWAWEZI KUKUPA NA KAMA INGEWEZEKANIKA KUKUPA KIRAHISI BHASI ISINGEITWA SIRI
Kumbuka kama unazungushia mil 1 mpaka mil 300 wewe ni mjasiriliamali na sio mfanya biasharaNimeamini ndo maana wafanya biashara ninawaonaga wachoyo hawatoi kumi yao
Biashara ina tuvimambo flani flani uwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.
Aisee
Biashara si jambo jepesi
Yaani kujiajiri kwa kifupi
Inagne kuamka saa 9 usiku kufata samaki feri.
Alafu kupeleka uji usiku wa manane sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo
Mlioajiriwa heshimuni wafanya biashara aisee
Waliojijari muwaite tu wachawi
Maana wanayofanya ni miujiza kwenye ajira uwezi kuta
Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home.
Hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.
Kwenye biashara hakuna kulala na
ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Nani kakudanganya bidii Tu ndio zitakutoa kwenye biashara nchi hii ? , biashara bila mentality ya kimafia na ubabe either physical na spiritual hutoboi hasa Tanzania hi
Ili ufanikiwe kwenye Biashara ni lazima kimoja wapo kati ya hivi kihusike, umafia na ubabe, ukwepaji Kodi, Connection,Dili haramu au uwe na wazo la kipekee kabisa na zaidi ya hivyo uwe na usimamizi mzuri wa pesa otherwise hakuna Biashara isiyo na makando Kando au sijui ujinga unaoitwa kujituma.mfanyabiashara mmoja alinambia kuwa biashara safi bila makandokando inawezekana lakini baada ya muda tu nikafunguliwa codes ni tapeli mafia.. Toka hapo Niliweka imani chache sana na hawa watu, SIRI YA MAFANIKIO KAMWE HAWAWEZI KUKUPA NA KAMA INGEWEZEKANIKA KUKUPA KIRAHISI BHASI ISINGEITWA SIRI
biashara ni umafia hasamfanyabiashara mmoja alinambia kuwa biashara safi bila makandokando inawezekana lakini baada ya muda tu nikafunguliwa codes ni tapeli mafia.. Toka hapo Niliweka imani chache sana na hawa watu, SIRI YA MAFANIKIO KAMWE HAWAWEZI KUKUPA NA KAMA INGEWEZEKANIKA KUKUPA KIRAHISI BHASI ISINGEITWA SIRI
Acha uongo wanalala vizuri tu,ukiweka systems & management nzuri kwa nini MTU asilale.Wafanya biashara wakubwa hawalali labda kama Mo alidanganya.
Wana mavikao kama 100 kwa siku
Hata Mengi alikua anajiita mjasiriamali,sijui alikua anazungusha sh. Ngapi yeye.Kumbuka kama unazungushia mil 1 mpaka mil 300 wewe ni mjasiriliamali na sio mfanya biashara
No. Huo ni ufinyu wa kifikra. Ni huku kwetu ndio tuna ujinga wa kuweka kazi kwa madaraja, wenzetu Ulaya thamani ya kazi ni kazi hakuna iliyo chini wala juu. Ndio maana tumekaa na mawazo ya Phds na GPA za darasani huko mtaani hamna kitu.Mchuuzi ni mfanyabisshara wa level ya chini kabsa.Kama ni mfanyakazi basi ni mfagia ofisi