Biashara siyo rahisi

Biashara siyo rahisi

No. Huo ni ufinyu wa kifikra. Ni huku kwetu ndio tuna ujinga wa kuweka kazi kwa madaraja, wenzetu Ulaya thamani ya kazi ni kazi hakuna iliyo chini wala juu. Ndio maana tumekaa na mawazo ya Phds na GPA za darasani huko mtaani hamna kitu.
Siyo mambo ya kucheka haya mkuu
 
No. Huo ni ufinyu wa kifikra. Ni huku kwetu ndio tuna ujinga wa kuweka kazi kwa madaraja, wenzetu Ulaya thamani ya kazi ni kazi hakuna iliyo chini wala juu. Ndio maana tumekaa na mawazo ya Phds na GPA za darasani huko mtaani hamna kitu.
Lete ufafanuzi wa maana halisi ya mchuuzi.
 
Kwa lugha nyepesi ni mtu anayechukua bidhaa kwa wingi na kuuza kwa faida. Mfano, mchuuzi wa samaki ananunua samaki pwani anaenda kuchuuza sokoni, Muuza mitumba ananunua contaoner china anachuuza Kariakoo, muuza magari ananunua Japan anachuuza Magomeni. Hao ni wachuuza bidhaa unazoziona, lakini mfano Vodacom ananunua internet toka kwa mwenye nazo anatuuzia sisi bando n.k.
 
Nani kakudanganya bidii Tu ndio zitakutoa kwenye biashara nchi hii ? , biashara bila mentality ya kimafia na ubabe either physical na spiritual hutoboi hasa Tanzania hii ninayoijua Mimi .
Kama we ni mfanyabiashara utaelewa nililoandika , tena nchi kama Tz hii kama hutaki kuwehuka na biashara yako ukawa unatembea njiani unaongea peke yako ni lazima ufanye yafuatayo ,matajiri wote Tz walioyoboa hizi ndio Siri zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7] mfanyabiashara Tanzania kama hakwepi Kodi , anawaibia wateja Kwa kuwapunja bidhaa au huduma au kuwauzia bidhaa na huduma zenye ubora WA Chini au anatumia ndumba za kalimanzila kama hafanyi hayo basi anatumia umafia kumanipulate na kudominate soko kama hafanyi hayo basi ni mnyonyaji WA maslahi ya wafanyakazi wake kwenye hiyo biashara
Fuatilia utakuja kunishukuru
Wewe sasa ndo umeongea ukweli kuhusu biashara.
 
Hata kina Bakhressa pia na Musk ni wachuuzi tofauti ni ukubwa wa huo uchuuzi. Biashara yoyote ni kuuza ama huduma au vitu na kutengeneza faida na ndio uchuuzi wenyewe.
Uchuuzi ni kununua kisha kwenda kuuza kwa bei ya juu kidogo ili upate faida, Bakharesa hayupo kwenye category ya mchuuzi.

Yeye ni producer tena mkubwa tu, kwahiyo yeye ni service provider.
 
Nani kakudanganya bidii Tu ndio zitakutoa kwenye biashara nchi hii ? , biashara bila mentality ya kimafia na ubabe either physical na spiritual hutoboi hasa Tanzania hii ninayoijua Mimi .
Kama we ni mfanyabiashara utaelewa nililoandika , tena nchi kama Tz hii kama hutaki kuwehuka na biashara yako ukawa unatembea njiani unaongea peke yako ni lazima ufanye yafuatayo ,matajiri wote Tz walioyoboa hizi ndio Siri zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7] mfanyabiashara Tanzania kama hakwepi Kodi , anawaibia wateja Kwa kuwapunja bidhaa au huduma au kuwauzia bidhaa na huduma zenye ubora WA Chini au anatumia ndumba za kalimanzila kama hafanyi hayo basi anatumia umafia kumanipulate na kudominate soko kama hafanyi hayo basi ni mnyonyaji WA maslahi ya wafanyakazi wake kwenye hiyo biashara
Fuatilia utakuja kunishukuru

I couldn't agree more except for sehemu ya uchawi. Hakuna uchawi ingekua mtu anaroga na kufanikiwa maskini wote wangekua matajiri maana ndo wanashinda kwa waganga Kila siku. Africa ingekua tajiri kuliko USA.

Kukwepa Kodi au kukandamiza wafanyakazi au customers is the name of the game worldwide sio bongo tu hasa wakati kampuni inajitafuta. Ukijifanya mtakatifu hutoboi abadan.
 
Uchuuzi ni kununua kisha kwenda kuuza kwa bei ya juu kidogo ili upate faida, Bakharesa hayupo kwenye category ya mchuuzi.

Yeye ni producer tena mkubwa tu, kwahiyo yeye ni service provider.
Usichanganye habari. Anachofanya yeye ni kuongeza thamani ya bidhaa. Tunarudi kule kule tu, ubunifu tu kwenye huo huo uchuuzi ili kupata faida zaidi. Ananunua mahindi anauza unga. Yule mchuuzi wa samaki naye angeweza kuwakaanga mfano, au akiwa na uwezo akasindika kwenye kopo akauza bei mara 6 zaidi
 
Usichanganye habari. Anachofanya yeye ni kuongeza thamani ya bidhaa. Tunarudi kule kule tu, ubunifu tu kwenye huo huo uchuuzi ili kupata faida zaidi. Ananunua mahindi anauza unga. Yule mchuuzi wa samaki naye angeweza kuwakaanga mfano, au akiwa na uwezo akasindika kwenye kopo akauza bei mara 6 zaidi
Mtu anaefanyw bulk mangoes kuwa juice, mtu anaetengeneza sukari za kutosha kuhuduma zone nzima, na mengine kama hayo unawezaje kumuita mchuuzi? Tafuta maana halisi ya neno uchuuzi, mtu wa production anawezaje kuitwa mchuuzi?

Kwenye chain ya biashara & Chain ya supply, kiini huwa ni PRODUCTION sasa mtu anaehusika na production hawezi kuwa mchuuzi hata siku moja.

Eti mchuuzi[emoji23].
 
Mtu anaefanyw bulk mangoes kuwa juice, mtu anaetengeneza sukari za kutosha kuhuduma zone nzima, na mengine kama hayo unawezaje kumuita mchuuzi? Tafuta maana halisi ya neno uchuuzi, mtu wa production anawezaje kuitwa mchuuzi?

Kwenye chain ya biashara & Chain ya supply, kiini huwa ni PRODUCTION sasa mtu anaehusika na production hawezi kuwa mchuuzi hata siku moja.

Eti mchuuzi[emoji23].
Hebu google translate tu hilo neno, utalipenda tu
 
Usichanganye habari. Anachofanya yeye ni kuongeza thamani ya bidhaa. Tunarudi kule kule tu, ubunifu tu kwenye huo huo uchuuzi ili kupata faida zaidi. Ananunua mahindi anauza unga. Yule mchuuzi wa samaki naye angeweza kuwakaanga mfano, au akiwa na uwezo akasindika kwenye kopo akauza bei mara 6 zaidi
ukishaongeza thamani bidhaa actually unakuwa sio mchuuzi tena bali ni entrepreneur au mjasiriamali.

Sole purpose ya ujasiriamali ni creativity and innovation. Ama ubuni kitu kipya ama ufanye maboresho katika bidhaa ila uchuuzi ni kuongeza margin tu katika mali ili uuze kwa faida.
 
Ili ufanikiwe kwenye Biashara ni lazima kimoja wapo kati ya hivi kihusike, umafia na ubabe, ukwepaji Kodi, Connection,Dili haramu au uwe na wazo la kipekee kabisa na zaidi ya hivyo uwe na usimamizi mzuri wa pesa otherwise hakuna Biashara isiyo na makando Kando au sijui ujinga unaoitwa kujituma.
Angalau ww hujataja uchawi, hivyo vingine vyote ni sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo sio biashara. Ni uchuuzi na haina tofauti na kuajiriwa.
Kama biashara haiwezi kusimama wakati wewe haupo, ujue ni uchuuzi. Bora hata kuajiriwa kunakuwa na mafao NSSF/PSSSF.
Naona mavitabu ya motivation speakers yanakudanganya. Biashara sio rahisi hivyo
 
Naona mavitabu ya motivation speakers yanakudanganya. Biashara sio rahisi hivyo
Hapana. Tuambiane ukweli. Kwani uchuuzi ni kitu kibaya? Ni ngazi tu katika biashara.
Mimi sinaga hata muda na motovesheno spikaz.
 
ukishaongeza thamani bidhaa actually unakuwa sio mchuuzi tena bali ni entrepreneur au mjasiriamali.

Sole purpose ya ujasiriamali ni creativity and innovation. Ama ubuni kitu kipya ama ufanye maboresho katika bidhaa ila uchuuzi ni kuongeza margin tu katika mali ili uuze kwa faida.
Hayo majina/maneno ni urembo tu. Sawa na mtu anatembea pekupeku, au avae yeboyebo, au avae nike haijalishi wote wanatembea point A kwenda B.
 
Nimeamini ndiyo maana wafanyabiashara huwa ninawaona wachoyo hawatoi kumi yao. Biashara ina tuvimambo fulani fulani huwezi kuvikuta kwenye kuajiriwa.

Aisee,biashara si jambo jepesi, yaani kujiajiri kwa kifupi fikiria kuamka saa 9 usiku kufata samaki Feri. Halafu kupeleka uji usiku wa manane Sterio kuwauzia wanaoshusha mzigo, mlioajiriwa heshimuni wafanyabiashara aisee.

Waliojiajiri muwaite tu wachawi
maana wanayofanya ni miujiza, kwenye ajira huwezi kuta. Yaani wewe saa 10 tu mchana upo njiani au ushafika home, hadi kesho saa 2 au moja na nusu asubuhi.

Kwenye biashara hakuna kulala na ukilala unapiga tu mahesabu kichwani.
Kwenye biashara hakuna kulala na ukilala unapiga tu mahesabu kichwani[emoji23][emoji119]
 
Back
Top Bottom