Biashara Tanzania ni pasua kichwa. Ukiondolewa kwenye reli, kurudi na kukaa sawa si rahisi

 
Biashara inachangamoto sana.....kuna kipindi nilikuwa na biashara maeneo ya chuo flani biashara ya chakura baada ya ile biashara kuwa inalipa sana nikaingia bank nikapatiwa mkopo wazo likaja nifungue sehemu nyingine mpya mbezi mwisho ile road ya kwenda malamba mawili....basi boashara ilikuwa kama hiyo ya kwanza...nikawa nimegawa baadhi ya vyombo vingene nimeacha kwenye office mama nikambeba na kijana wangu mmoja wa kwenda nae kuanza....kweli kufungua biashara siku za mwanzoni mambo yalikuwa mazuri....kilikuwa kipindi corona inachanganya....bhana we ndo ikatokea ile burn ya no michanganyiko mala masharti mengi...nilipotea kwenye ramani ijawahi kuonekana....izi biashara wengi wanafanya ila hawajui kuwa...mtu anaetoka from the ground kabsa bila kushikwa mkono na kufanikiwa ujue ni kazaliwa na hiyo tabia ya biashara
 
Wabongo wengi mnaogopa mkopo lakini historia haioneshi kwamba unaweza kutoka kwa kudunduliza mshahara, unachotakiwa kukijua ni kwamba mkopo huwa ni wa kuendeleza biashara siyo wa kuanzisha biashara
 
Nimeisikilza hiyo interview ahsante hiyo ndo biashara
Hiyo video imenikumbusha Kuna jama angu pia kauza sheli lake akaingia kwenye madini nikamuonya sasa hivi mwaka umepita nikimpigia simu zangu hapokee sijui kilicho msibu
Wote mnaongea ila hutakaa uone makanjibai na warabu humu wanalia biashara imefilisika..

Nadhani kuna sehemu tuna kosea wasfrica sie..
Nalo neno
 
Daah nimecheka japo sio kitu cha kucheka😂
 
Bongo hii mtu akiwa na kazi akipata pesa kidogo anataka afanye biashara
Mwingine anakuambia kabisa amefungua sehemu ili asiwahi nyumbani anapotoka kazini aiseee
 
Poleni sana
😀Imenibid nicheke tu ila inahuzunisha
 
Dawa zitaendelea uzika ila faida ndo itashuka
Bro hata huko pia watu wataongezeka na ushindani utakuwa mkali sana. Kule India watu wana viwanda vya vifaa tiba kiasi kwamba huo ushindani sio poa.... huku kwetu bado watu wa madawa na vifaa tiba sio wengi kiasi kwamba kuna baadhi ya vitu vinakua shida kuvipata. Inachagiwa pia na hiyo aina ya biashara pia kutaka shule kichwani. Wanapoendelea kuongezeka vijana wasomi kwenye game huko nako kutachafuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…