Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

Hii ishu ya Biashara inaumiza ,wameshaonyesha uwezo wa kupita kuelekea hatua inayofuata .

Hata kama wamewaandikia barua CAF Mechi isogezwe mbele lakini inaonyesha hata barua ya maombi wamechelewa ,karibia week na siku kadhaa kweli wanashindwa hata kuomba serikali au kukopa?au hata kuitisha harambe yakuwachanga wanashindwa kufanya?

Wamezembea sana maana hata michuano ilipoanza passport walichelewa kuzipata
Awa wanaela zao zipo pale azam kwanini asingekopeshwa kuna tatzo mahali sio bure
 
TFF wana jukumu la kutafuta ufumbuzi pale mazingira kama haya yanapojitokeza.

Ingekuwa ile FAT ya akina El Mamry (Rip) Biashara wasingeshindwa kwenda Libya ila sasa hivi walaji wengi na ndio akina msomali.
Watafute ufumbuzi wapi ?

Wakati hii timu inaitwa kwenye semina walizopewa timu 4 zilizoshiriki kimataifa biashara hawakutuma mwakilishi wakidai hawana nauli.

We unaona timu iko serious hii?
 
Back
Top Bottom