Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
My brother usikatishe ndoto zako changamoto zipo kila mahala na hazikwepeki.
Jaribu kupambana nazo hapo ndio mwanzo wa ndoto zako.
(1)kama upo kijijini tafuta watu wanayoifanya hii biashara binafsi nipo na Vijana wawili wa bodaboda. Huku ni kijijini so wanalipa sh 40,000 kwa week mkataba wa miaka miwili kila mmoja.
(2)kama upo mjini weka mkataba wa sh 10,000kwa siku ndani ya mwaka mmoja.
ANZA NDOTO ZAKO.
Jaribu kupambana nazo hapo ndio mwanzo wa ndoto zako.
(1)kama upo kijijini tafuta watu wanayoifanya hii biashara binafsi nipo na Vijana wawili wa bodaboda. Huku ni kijijini so wanalipa sh 40,000 kwa week mkataba wa miaka miwili kila mmoja.
(2)kama upo mjini weka mkataba wa sh 10,000kwa siku ndani ya mwaka mmoja.
ANZA NDOTO ZAKO.