Biashara ya Bodaboda

Maelezo yako nayakubali kwa100% mm nlifanya ila nliacha wakati zinauzwa1.8 mil
Nafkiria kurudi ulingoni mwakani,vijana bado wananipigia kuhitaji pk pik
 
Hii ya hesabu kwa siku ni Majanga zaid
 
Nyie ndo wale motivation speaker kaz yenu kubwabwaja tu Lima matikiti heka sjui nn ingieni field kwa vitendo unakuta ata boda boda hujui ata kuziba pancha
Kiongozi,Mtoa mada yupo sahihi.Hii biashara inalipa na maelezo yake ni sahihi
 
Hapo unazungumzia Active na Passive income
 
pikipiki 15 ni sh ngapi? hazipati ajali? vp mafuta,service,kukamatwa nk,vp boda akiumwa ,akifiwa,akiwekwa ndani ,akipata dharura, vi ikiibiwa
hiyo biashara inaonekana mtaji mkubwa faida upuuzi,ni wavivu tu wa kufikiria bussienss plan na ana hela mfukoni ndio atakwenda huko,au kujionyesha tu kwa watu kwamba nayeye ana bodaboa
 
safi kabisa
 
Kiongozi komaa ongeza pikipiki ziwe za kutosha , kuna kampuni inaitwa watu credit yenyewe inafany issue kama hizo na kunamshkaji aliniambia kuna kipindi walikuwa wanatoa pikipiki mia mbili kwa mwezi na zaidi , ipo pia kenya wanatoa huko pikipiki karibu elfu, naijua its a well off company , jipange endelea kuongeza mzigo
 
Kuna jamaa anapikikinzaid y 300 ila anatoa kwa mkataba mana kila mwezi lazima anunue pikipki 10+ hakuna mwezi unapita janunua mpya yule jamaa tangu nimjue
 
Yani namba B hesabu 22k??
Acha dhuluma mkuu, namba B ni bajaj yenye miaka nane maximum.

Namba B hesabu yake 10000 au 15000 kwa derava mshamba kama vipi kaaa na kipumbu chako
Basi Kaa bila kazi
 
Yani namba B hesabu 22k??
Acha dhuluma mkuu, namba B ni bajaj yenye miaka nane maximum.

Namba B hesabu yake 10000 au 15000 kwa derava mshamba kama vipi kaaa na kipumbu chako
Mkuu mbona sijakuita Wala kukutukana ndugu🤔🤔, hiyo Bajaj engine bando nzima na iko Bomba.
👉Body ndo imara kabisaaa, Afu ishapata dereva na analeta 20 per day bro.
 
Sasa kweli yaani pikipiki 15 ni sawa na milioni 34.5 unaona faida ya 49,500 kwa siku ni sawa kweli?!!Hapanaaa hiyo kwa hesabu za kibiashara ni hakuna kitu hapo!!
Nashangaa hio 49k jamaa aniita faida wakati mtaji bado haujarudi hizi hesabu hizi aiseee
 
Hapa ndipo napouona ukichaa kwenye uendeshaji wa hii biashara
Yaani dereva anakuja na masharti yake kwenye chombo cha mtu 😁
 
Mkuu mbona sijakuita Wala kukutukana ndugu[emoji848][emoji848], hiyo Bajaj engine bando nzima na iko Bomba.
[emoji117]Body ndo imara kabisaaa, Afu ishapata dereva na analeta 20 per day bro.
Injini ya miaka nane iwe full acha uongo mm nipo kwenye bajaj mwaka wa 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…