Mifugo kama kuku ni rahisi kupata magonjwa sababu ya muingiliano kama niliotaja sababu ya urahisi wa magonjwa kuwa mkubwa kati ya muingiliano mfano panya,watu,hewa na maji.Hee ikiwa karibu na miji Kuna dalili ya magonjwa
Ajira ajira ajira humu chekini na mdao chap kwa harakaMnaitwa huku.
Bachelor of science in aquaculture.
Dah aise ni kweli mkuu hata ukienda kwenye mabanda ya kuku lazima uoge kwanza ndio uingie ila Mimi kwa upande wangu naomba nisaidie kureseach eneo ambalo ntaweza kuajiri watu na kuweka large scale ya production ya samaki hata huko bushMifugo kama kuku ni rahisi kupata magonjwa sababu ya muingiliano kama niliotaja sababu ya urahisi wa magonjwa kuwa mkubwa kati ya muingiliano mfano panya,watu,hewa na maji.
NdioDuh ila mkuu huko ziwa Victoria si Kuna kulipia ushuru
Gosho kwa kiswahili yani unatakiwa kuingia na mavazi ambayo yenye dawa ili kuepuka hayoDah aise ni kweli mkuu hata ukienda kwenye mabanda ya kuku lazima uoge kwanza ndio uingie ila Mimi kwa upande wangu naomba nisaidie kureseach eneo ambalo ntaweza kuajiri watu na kuweka large scale ya production ya samaki hata huko bush
Aise na mtaji kwa bwawa moja hivi niliweka kama 2M si inawezekana?Gosho kwa kiswahili yani unatakiwa kuingia na mavazi ambayo yenye dawa ili kuepuka hayo
Nilitaka eneo langu mwenyewe mkuu niweke na nyuma hapoNdio
INATEGEMEA UNATAKA KUFUGA AINA GANI WASAMAKI.NAUZALISHAJI WA KIASI GANIAise na mtaji kwa bwawa moja hivi niliweka kama 2M si inawezekana?
Mkuu, sina digirii.Ajira ajira ajira humu chekini na mdao chap kwa haraka
Sijaelewa hili andiko lako!Aise Yani kwa maana hiyo kama umeweka 1M per day ni 10M
Ujaelewa nini kiongozi mbona wengine wameelewa?Sijaelewa hili andiko lako!
Angalau nifuge tofauti tofautiINATEGEMEA UNATAKA KUFUGA AINA GANI WASAMAKI.NAUZALISHAJI WA KIASI GANI
Kama umeweka 1M per day ni 10M.Ujaelewa nini kiongozi mbona wengine wameelewa?
Namaanisha jamaa hapo juu alisema ukiweka chakula kwa kiasi fulani per day basi return yako ni 10% sasa 10% ya 1M ni 10M, ndio nikasema ukiweka 1M per day return yako inakuwa 10MKama umeweka 1M per day ni 10M.
Unamaanisha nini hapa.
Walioelewa lambda wamechagua majibu yao wenyewe, na usikute sio unachokimaanisha wewe.
Au ulimaanisha 10% ya 1M ambayo ni 100K au 10% ×1M!!Kama umeweka 1M per day ni 10M.
Unamaanisha nini hapa.
Walioelewa lambda wamechagua majibu yao wenyewe, na usikute sio unachokimaanisha wewe.
Hesabu zinakushinda. Omba msaada.Au ulimaanisha 10% ya 1M ambayo ni 100K au 10% ×1M!!
Nilikuwa sijasoma vizuri mkuu sema shukrani nikuekewa 🙏🏻Hesabu zinakushinda. Omba msaada.
Kozi za SUA miyeyusho sana. Hao jamaa hawana faida yoyote mtaani. Hapo hawawezi kujibu swali lolote.Mnaitwa huku.
Bachelor of science in aquaculture.
Tafuta msingi utapotea kilimo na ufugaji si mwijakuAngalau nifuge tofauti tofauti