Biashara ya Bwawa la Samaki: Nisaidieni kwa Ushauri

Biashara ya Bwawa la Samaki: Nisaidieni kwa Ushauri

Aise vipi mazingira gani kwa hapa Tanzania naweza kuweka hii biashara in large scale m
Moro, Dom...
Na katika tembea tembea nishapata mbinu za kutengeneza bwawa bila kuchimba.
Nikipata nyumba yangu nitafanya
 
Moro, Dom...
Na katika tembea tembea nishapata mbinu za kutengeneza bwawa bila kuchimba.
Nikipata nyumba yangu nitafanya
Ngoja niulize kama Kuna expert wanaofanya hii type of farming
 
Habari wanaungwana,
Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya bwawa la samaki. Ningependa kujuzwa kuhusu yafuatayo:
1. Ni samaki gani ni bora kwa biashara hii?
2. Gharama za kuanzisha bwawa ni nini?
3. Ni vifaa gani vinahitajika kwa ajili ya bwawa?
4. Je, biashara hii ina faida gani na changamoto zipi?
5. Soko la samaki linapatikana wapi?
Mimi ni mdau (mtaalamu) wa ufugaji samaki nina uzoefu wa miaka 4, naomba kuchangia kidogo kwenye hii mada

ufugaji samaki unafaida endapo utafanyika kwa usahihi

1. Samaki bora zaidi kwa ufugaji wa kibiashara ni sato kwa sababu ndio samaki wanaopendwa zaidi, bei yake ni kati ya 10,000 hadi 14,000

2. Gharama za bwawa inategemea na size ya bwawa unalotaka kuchimba au kujenga na aina la bwawa unalotaka kutumia kuna mabwawa ya aina tatu:

I. Bwawa la udogo (Earthen Pond) hili ni nafuu zaidi lakini ni muhimu ardhi yako iwe ya mfinyazi isiyoruhusu maji kupotea kwa haraka

II. Bwawa la kuhamishika (Mobile Pond) Hii ni aina ya bwawa linalotengeneza kwa kutumia pond liner (nylon sheets) au plastic

III. Bwawa la kujengea, aina hii ya bwawa ni yale yanayojegwa kwa cements na totally

Aina ya bwawa utakalo tumia ndio litadetemine gharama

4. Changamoto za ufugaji samaki:
I. Gharama kubwa ya chakula, kilo moja ya chakula cha samaki cha kununua dukani ni kati ya Tsh 3,500 hadi 6,000. Gharama hii inapunguza faida hivyo ni vizuri ujifunze kutengeneza chakula chako mwenyewe ili kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi na kujiongezea faida

II. Mbegu, baadha ya wafugaji wanafuga mbegu zisizofaa kufuga na kupelekea samaki kutokua ndani ya muda uliokusudiwa

III. Maji, vyanzo vya maji wakati mwingine sio vya uhakika havimpi mfugaji uhakika wa kupata maji kwa kipindi chote cha uzalishaji (production cycle)

IV. Usimamizi mbovu, baadha ya miradi inaendesha kienyeji bila muda sahihi wa kulisha, muda wa kubadilisha maji n.k

5. Mahitaji ya samaki ni makubwa sana ukilinganisha na mahitaji, unaweza ukauzia samaki wako hapo hapo unapofugia au ukauzia kwenye soko lolote lililojirani na ulipo
 
Mimi ni mdau (mtaalamu) wa ufugaji samaki nina uzoefu wa miaka 4, naomba kuchangia kidogo kwenye hii mada

ufugaji samaki unafaida endapo utafanyika kwa usahihi

1. Samaki bora zaidi kwa ufugaji wa kibiashara ni sato kwa sababu ndio samaki wanaopendwa zaidi, bei yake ni kati ya 10,000 hadi 14,000

2. Gharama za bwawa inategemea na size ya bwawa unalotaka kuchimba au kujenga na aina la bwawa unalotaka kutumia kuna mabwawa ya aina tatu:

I. Bwawa la udogo (Earthen Pond) hili ni nafuu zaidi lakini ni muhimu ardhi yako iwe ya mfinyazi isiyoruhusu maji kupotea kwa haraka

II. Bwawa la kuhamishika (Mobile Pond) Hii ni aina ya bwawa linalotengeneza kwa kutumia pond liner (nylon sheets) au plastic

III. Bwawa la kujengea, aina hii ya bwawa ni yale yanayojegwa kwa cements na totally

Aina ya bwawa utakalo tumia ndio litadetemine gharama

4. Changamoto za ufugaji samaki:
I. Gharama kubwa ya chakula, kilo moja ya chakula cha samaki cha kununua dukani ni kati ya Tsh 3,500 hadi 6,000. Gharama hii inapunguza faida hivyo ni vizuri ujifunze kutengeneza chakula chako mwenyewe ili kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi na kujiongezea faida

II. Mbegu, baadha ya wafugaji wanafuga mbegu zisizofaa kufuga na kupelekea samaki kutokua ndani ya muda uliokusudiwa

III. Maji, vyanzo vya maji wakati mwingine sio vya uhakika havimpi mfugaji uhakika wa kupata maji kwa kipindi chote cha uzalishaji (production cycle)

IV. Usimamizi mbovu, baadha ya miradi inaendesha kienyeji bila muda sahihi wa kulisha, muda wa kubadilisha maji n.k

5. Mahitaji ya samaki ni makubwa sana ukilinganisha na mahitaji, unaweza ukauzia samaki wako hapo hapo unapofugia au ukauzia kwenye soko lolote lililojirani na ulipo
Nahitaji kufanya large scale mkuu nikipata eneo la hekari kama 5-10 au zaidi si patatosha kuanzisha large scale
 
Nahitaji kufanya large scale mkuu nikipata eneo la hekari kama 5-10 au zaidi si patatosha kuanzisha large scale
Karibu sana Mkuu, kama unataka kufanya large scale nashuri ufanye ufugaji samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) ndani ya ziwa Victoria

Otherwise utafute eneo lenye chanzo cha maji uhakika ili isijetokea shortage katikati ya project

Kwa upande wa mbegu, hakikisha unanunua mbegu toka kwa mzalishaji anaetambulika na mbegu zuri ambayo imeonekana kuprove kwa samaki aina ya Tilapia ni Nile Tilapia

Kwenye chakula ni vizuri kama utanunua machine ya kutengeneza chakula ili uwe unazalisha chakula chako mwenyewe

Management, tafute mtu mwenye ujuzi na uzoefu wa kutosha ili kupunguza makosa
 
Mimi ni mdau (mtaalamu) wa ufugaji samaki nina uzoefu wa miaka 4, naomba kuchangia kidogo kwenye hii mada

ufugaji samaki unafaida endapo utafanyika kwa usahihi

1. Samaki bora zaidi kwa ufugaji wa kibiashara ni sato kwa sababu ndio samaki wanaopendwa zaidi, bei yake ni kati ya 10,000 hadi 14,000

2. Gharama za bwawa inategemea na size ya bwawa unalotaka kuchimba au kujenga na aina la bwawa unalotaka kutumia kuna mabwawa ya aina tatu:

I. Bwawa la udogo (Earthen Pond) hili ni nafuu zaidi lakini ni muhimu ardhi yako iwe ya mfinyazi isiyoruhusu maji kupotea kwa haraka

II. Bwawa la kuhamishika (Mobile Pond) Hii ni aina ya bwawa linalotengeneza kwa kutumia pond liner (nylon sheets) au plastic

III. Bwawa la kujengea, aina hii ya bwawa ni yale yanayojegwa kwa cements na totally

Aina ya bwawa utakalo tumia ndio litadetemine gharama

4. Changamoto za ufugaji samaki:
I. Gharama kubwa ya chakula, kilo moja ya chakula cha samaki cha kununua dukani ni kati ya Tsh 3,500 hadi 6,000. Gharama hii inapunguza faida hivyo ni vizuri ujifunze kutengeneza chakula chako mwenyewe ili kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi na kujiongezea faida

II. Mbegu, baadha ya wafugaji wanafuga mbegu zisizofaa kufuga na kupelekea samaki kutokua ndani ya muda uliokusudiwa

III. Maji, vyanzo vya maji wakati mwingine sio vya uhakika havimpi mfugaji uhakika wa kupata maji kwa kipindi chote cha uzalishaji (production cycle)

IV. Usimamizi mbovu, baadha ya miradi inaendesha kienyeji bila muda sahihi wa kulisha, muda wa kubadilisha maji n.k

5. Mahitaji ya samaki ni makubwa sana ukilinganisha na mahitaji, unaweza ukauzia samaki wako hapo hapo unapofugia au ukauzia kwenye soko lolote lililojirani na ulipo
Mkuu maji yanatakiwa kubadilishwa baada ya muda gani?
Kwa begginer unamshauri aanze na bwawa la lita ngapi na ambalo lenye uwezo wa kuchukua samaki kiasi gani?
Njia za utengenezaji wa chakula cha samaki mwenyewe ni zipi?
 
Mkuu maji yanatakiwa kubadilishwa baada ya muda gani?
Kwa begginer unamshauri aanze na bwawa la lita ngapi na ambalo lenye uwezo wa kuchukua samaki kiasi gani?
Njia za utengenezaji wa chakula cha samaki mwenyewe ni zipi?
Muda wa kubadilisha maji inategemea na idadi ya samaki ulioweka na kiwango cha maji kilichopo (stocking density)

Kwa makadilio ya kawaida unatakiwa ubadili maji kila baada ya mwezi mmoja,

Mfano mfugaji anayeweka idadi ya samaki 8 - 10 kwa lita 1,000 (1m³) na mfugaji aliyeweka samaki 20 kwenye kila lita 1,000 (1m³) wanatofautiana muda wa kubadilisha maji aliyeweka samaki wengi atabadilisha maji mapema/mara nyingi zaidi kuliko aliyepandikiza samaki wachache kwa sababu maji yake yatawai kuchafuka

Kwa bigginer ili uone matokeo mazuri atleast anza kwa kufuga samaki 500, utahitaji bwawa lenye lenye mita za mraba 50 (50m²), ujazo wa maji lita 50,000 (50m³)

Chakula cha samaki, ingredients za samaki ni kama tu zinazotumika kutengeneza chakula cha kuku, mfano pumba za mahindi, pumba za mchele, dagaa/uduvi (fish meal), mashudu ya alizeti/pamba

Utofauti wa chakula cha samaki na cha kuku ni kuwa chakula cha samaki kinapaswa kuelea juu ya maji

Ili kielee unaweza kusaga na kulisha chakula in powder form au kama unauwezo unauwezo unaweza nunua machine maalumu za kutengeza chakula cha samaki extruder pellet machine, ambayo inatoa chakula kikiwa in pellet form
 
Aise mkuu itabidi nikutafute unipe muongozo vizuri
Karibu sana Mkuu, kama unataka kufanya large scale nashuri ufanye ufugaji samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) ndani ya ziwa Victoria

Otherwise utafute eneo lenye chanzo cha maji uhakika ili isijetokea shortage katikati ya project

Kwa upande wa mbegu, hakikisha unanunua mbegu toka kwa mzalishaji anaetambulika na mbegu zuri ambayo imeonekana kuprove kwa samaki aina ya Tilapia ni Nile Tilapia

Kwenye chakula ni vizuri kama utanunua machine ya kutengeneza chakula ili uwe unazalisha chakula chako mwenyewe

Management, tafute mtu mwenye ujuzi na uzoefu wa kutosha ili kupunguza makosa
 
Hii i
Karibu sana Mkuu, kama unataka kufanya large scale nashuri ufanye ufugaji samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) ndani ya ziwa Victoria

Otherwise utafute eneo lenye chanzo cha maji uhakika ili isijetokea shortage katikati ya project

Kwa upande wa mbegu, hakikisha unanunua mbegu toka kwa mzalishaji anaetambulika na mbegu zuri ambayo imeonekana kuprove kwa samaki aina ya Tilapia ni Nile Tilapia

Kwenye chakula ni vizuri kama utanunua machine ya kutengeneza chakula ili uwe unazalisha chakula chako mwenyewe

Management, tafute mtu mwenye ujuzi na uzoefu wa kutosha ili kupunguza makosa
Hii issue ya cage inalipa sana niliwahi kusikia cage moja inatoa almost 15M per year
 
Muda wa kubadilisha maji inategemea na idadi ya samaki ulioweka na kiwango cha maji kilichopo (stocking density)

Kwa makadilio ya kawaida unatakiwa ubadili maji kila baada ya mwezi mmoja,

Mfano mfugaji anayeweka idadi ya samaki 8 - 10 kwa lita 1,000 (1m³) na mfugaji aliyeweka samaki 20 kwenye kila lita 1,000 (1m³) wanatofautiana muda wa kubadilisha maji aliyeweka samaki wengi atabadilisha maji mapema/mara nyingi zaidi kuliko aliyepandikiza samaki wachache kwa sababu maji yake yatawai kuchafuka

Kwa bigginer ili uone matokeo mazuri atleast anza kwa kufuga samaki 500, utahitaji bwawa lenye lenye mita za mraba 50 (50m²), ujazo wa maji lita 50,000 (50m³)

Chakula cha samaki, ingredients za samaki ni kama tu zinazotumika kutengeneza chakula cha kuku, mfano pumba za mahindi, pumba za mchele, dagaa/uduvi (fish meal), mashudu ya alizeti/pamba

Utofauti wa chakula cha samaki na cha kuku ni kuwa chakula cha samaki kinapaswa kuelea juu ya maji

Ili kielee unaweza kusaga na kulisha chakula in powder form au kama unauwezo unauwezo unaweza nunua machine maalumu za kutengeza chakula cha samaki extruder pellet machine, ambayo inatoa chakula kikiwa in pellet form
Ahsante mkuu
 
Muda wa kubadilisha maji inategemea na idadi ya samaki ulioweka na kiwango cha maji kilichopo (stocking density)

Kwa makadilio ya kawaida unatakiwa ubadili maji kila baada ya mwezi mmoja,

Mfano mfugaji anayeweka idadi ya samaki 8 - 10 kwa lita 1,000 (1m³) na mfugaji aliyeweka samaki 20 kwenye kila lita 1,000 (1m³) wanatofautiana muda wa kubadilisha maji aliyeweka samaki wengi atabadilisha maji mapema/mara nyingi zaidi kuliko aliyepandikiza samaki wachache kwa sababu maji yake yatawai kuchafuka

Kwa bigginer ili uone matokeo mazuri atleast anza kwa kufuga samaki 500, utahitaji bwawa lenye lenye mita za mraba 50 (50m²), ujazo wa maji lita 50,000 (50m³)

Chakula cha samaki, ingredients za samaki ni kama tu zinazotumika kutengeneza chakula cha kuku, mfano pumba za mahindi, pumba za mchele, dagaa/uduvi (fish meal), mashudu ya alizeti/pamba

Utofauti wa chakula cha samaki na cha kuku ni kuwa chakula cha samaki kinapaswa kuelea juu ya maji

Ili kielee unaweza kusaga na kulisha chakula in powder form au kama unauwezo unauwezo unaweza nunua machine maalumu za kutengeza chakula cha samaki extruder pellet machine, ambayo inatoa chakula kikiwa in pellet form
Mkuu hivi cage moja inaweza kugharimu kiasi gani Cha pesa?
 
Hii i

Hii issue ya cage inalipa sana niliwahi kusikia cage moja inatoa almost 15M per year
Ndio mkuu inalipa maana kwenye eneo dogo unaweka samaki wengi kuliko kwenye bwawa, mfano cage moja inaweza chukua kati ya samaki 12,000 hadi 15,000

Samaki wa kwenye cage wakilishwa vizuri wanakuwa haraka zaidi kuliko wa kwenye bwawa

Pia amna usumbufu wa kubadisha maji kila mara kwa mara au matumizi ya systems za kumaintain water quality (bio-filter au aerators) kama kwenye mabwawa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom