Kikubwa uwe na eneo . Kuna njia mbiliToa mwanga kidogo kwa wadau namna ya kutengeneza bwawa bila kuchimba unafanyaje?
1. Kuchimba shimo au
2.kutumia tofali kujenga.
Tukianza na hiyo njia kwanza chimba shimo urefu wa mikono yako miwili au robotatu ya mikono yako miwili kwenda chini au chini ya hapo then weka turubai then kandamiza Kwa kitu kizito.