Wapi huko mkuu?Kuna jamaa kawafuga sato lakin nashindwa kuelewa kakosa soko au anataka kupata faida kubwa,maana nakuwa namuona anakuwa anatoa kidogo kidogo anawauzia raia,wakat huku kuna wanunuz wakubwa tu wa samaki
Dah 10% ya 1M ni 1M?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134]Namaanisha jamaa hapo juu alisema ukiweka chakula kwa kiasi fulani per day basi return yako ni 10% sasa 10% ya 1M ni 10M, ndio nikasema ukiweka 1M per day return yako inakuwa 10M
Hapana samaki ali kinyesi cha kuku, kinyesi cha kuku kinatumika kurutubisha bwawa/majiKwa hiyo hapa kinyesi cha kuku hugeuka chakula cha samaki?
Unataka ufuge kwenye Moja ya chumba Cha nyumba yako au? Kwann usubir kufuga pindi ukiwa na nyumba yako?Moro, Dom...
Na katika tembea tembea nishapata mbinu za kutengeneza bwawa bila kuchimba.
Nikipata nyumba yangu nitafanya
Samaki utegemea wadudu watakao zaliana na ndio upata samaki wenye ladha nzuriKwa hiyo hapa kinyesi cha kuku hugeuka chakula cha samaki?
Tatizo la biashara ya ufugaji kambare soko lake la ndani dogo hasa wabichi.. Wanakuja but binafsi niliwahi kuwa msimamizi wa samaki bwawani.
Ni BIASHARA nzuri hasa ukizingatia lishe ya samaki na soko liwwe la uhakika. Unaweza kuzalisha samaki wa kuingia sokoni wengi afu soko halina uhitaji. So inabidi tuendelee kuwalisha. Kwa kipindi chakula Cha siku 3 ilikuwa tsh 125 k
Nb ..
Kuna samaki kama kambare ambaye yeye Bei yake ni ndogo but uendeshaji wa bwawa lake ni nafuu.
Kuna WhatsApp group kubwa sana la Ufugaji Samaki.
Utapata majibu yote.
Muombe huyu mmojawapo wa admins +255 769 214 218 akuunge uulize maswali yote.
Utapata muongozo, vitabu, na ushauri bure.
Pia utapata wachimbaji wa mabwawa, mbegu ya samaki, vifaa, na mashine mbalimbali zinazotumika kwenye ufugaji samaki.
Angalizo: Usifanye miamla yoyote bila kufuatilia uhakika au usalama wa pesa yako.
Mimi siyo admin ni member tu.
Disclaimer: I will not be responsible for any loss or any fraud committed by any member of that group. Do your communications and business transactions at your own risk.
Anha 😂 sometimes errors hizoDah 10% ya 1M ni 1M?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134][emoji134]
Aise mkuu itabidi nifanye research nitafute wadau wa haya mambo ziwa Victoria kule lakini pia kuhusu issue ya ulinzi vipi?Inategemea na ukubwa, mfano cage moja yenye ukubwa wa 6m urefu, 6m upana na 4m kina inagharimu milioni 3 hadi 4
Basi ufugaji wa kwenye cage ni mzuri faida yake ipo kuliko kwenye bwawa hapa itabidi ni invest kwenye hii issue aise.Ndio mkuu inalipa maana kwenye eneo dogo unaweka samaki wengi kuliko kwenye bwawa, mfano cage moja inaweza chukua kati ya samaki 12,000 hadi 15,000
Samaki wa kwenye cage wakilishwa vizuri wanakuwa haraka zaidi kuliko wa kwenye bwawa
Pia amna usumbufu wa kubadisha maji kila mara kwa mara au matumizi ya systems za kumaintain water quality (bio-filter au aerators) kama kwenye mabwawa
Hua nakubaligi sana mambo ya disclaimer. Safi sanaKuna WhatsApp group kubwa sana la Ufugaji Samaki.
Utapata majibu yote.
Muombe huyu mmojawapo wa admins +255 769 214 218 akuunge uulize maswali yote.
Utapata muongozo, vitabu, na ushauri bure.
Pia utapata wachimbaji wa mabwawa, mbegu ya samaki, vifaa, na mashine mbalimbali zinazotumika kwenye ufugaji samaki.
Angalizo: Usifanye miamla yoyote bila kufuatilia uhakika au usalama wa pesa yako.
Mimi siyo admin ni member tu.
Disclaimer: I will not be responsible for any loss or any fraud committed by any member of that group. Do your communications and business transactions at your own risk.
Basi ufugaji wa kwenye cage ni mzuri faida yake ipo kuliko kwenye bwawa hapa itabidi ni invest kwenye hii issue aise.
Pia nadhani risk ya samaki kufa kwenye cage ni ndogo
Safi mtaalam, jukwaa la kilimo na ufugaji lilikua limepoa poa sanaNdio mkuu inalipa maana kwenye eneo dogo unaweka samaki wengi kuliko kwenye bwawa, mfano cage moja inaweza chukua kati ya samaki 12,000 hadi 15,000
Samaki wa kwenye cage wakilishwa vizuri wanakuwa haraka zaidi kuliko wa kwenye bwawa
Pia amna usumbufu wa kubadisha maji kila mara kwa mara au matumizi ya systems za kumaintain water quality (bio-filter au aerators) kama kwenye mabwawa
Muhimu Sana.Hua nakubaligi sana mambo ya disclaimer. Safi sana
Toa mwanga kidogo kwa wadau namna ya kutengeneza bwawa bila kuchimba unafanyaje?Moro, Dom...
Na katika tembea tembea nishapata mbinu za kutengeneza bwawa bila kuchimba.
Nikipata nyumba yangu nitafanya
SengeremaWapi huko mkuu?
Yapo mabwawa ya kuamishika yanatengenezwa kwa kutumia nylon sheets (Pond liner), kama hili hapaToa mwanga kidogo kwa wadau namna ya kutengeneza bwawa bila kuchimba unafanyaje?
Ni sahihi lakini pia kuna njia rahisi, kuna maeneo yametengwa na serikali ambayo yanakodishwa kwa gharama nafuu sana kupitia halmashauriLakini gharama ya uendeshaji ni kubwa pia mkuu, hapo kuna kuandaa na Business plans ili upewe kibali cha kuanzisha hiyo project yako, na si chini ya 10M kuandaa hiyo
Ahsante mkuu nimeliona, labda waweza ntajia ukubwa(ujazo) wa hiyo pond, upatikanaji wake na gharama yake.Yapo mabwawa ya kuamishika yanatengenezwa kwa kutumia nylon sheets (Pond liner), kama hili hapa