Kuwa makini majambaka yasikubake tuHabri zenu wakuu. Natamani Sana kufanya biashara ya dagaa mwanza lakin sijui wap pakuanzia kwakua sina mwenyeji katika biashara hii especially watu wa mwanza. Kama kuna Mtu anafanya hii biashara tafadhali tuwasiliane nahitaji nipate Mzigo nipeleke mikoa ya kusin ingawa mwenyew naishi Dsm....0768597186
Naweza Pata no yako mkuuMimi nafanya bussiness hiyo kwa zaidi ya miaka minne sasa, offer nakusafirishia free mpaka ubungo.
Nauza kiasi chochote utakacho, na nina aina tano za dagaa zote kutoka mwanza, sample zipo ukitaka.
Karibu PM
Naomba namba yako ndugu kama upo mwanza 0658521921 hii ni ya kwanguHello mkuu ushapata mtu mie nafanya hii biashara nipo mza
Kwa ambae yuko tanga na afanya biashara ya dagaa namuomba tuwasilianeMimi nafanya bussiness hiyo kwa zaidi ya miaka minne sasa, offer nakusafirishia free mpaka ubungo.
Nauza kiasi chochote utakacho, na nina aina tano za dagaa zote kutoka mwanza, sample zipo ukitaka.
Karibu PM
Mkuu unauza dagaa wa aina gani na gharama zako zikoje? Pia nimeona kwenye thread unasema unauza dagaa aina tano ni zipi hizoMimi nafanya bussiness hiyo kwa zaidi ya miaka minne sasa, offer nakusafirishia free mpaka ubungo.
Nauza kiasi chochote utakacho, na nina aina tano za dagaa zote kutoka mwanza, sample zipo ukitaka.
Karibu PM
Piga tu mi niponaweza kukupigia mtoa mada/ mkuu
Sahihi.hii ndio njia sahihi ya kutumia social netwek safi sana mkuu
Makanya Jr.
mkuu nipo arusha nina wazo la kuagiza dagaa kutoka hiko kuleta huku kwa ajili ya kuuza namba yangu hii 0652130833 tunawezakuwasiliana tuyajengeHabari wana jf nina mtaji wa Tsh300000 nipo mwanza visiwani nataka kufanya biashara ya dagaa kuwatoa visiwani kupeleka mikoani target (singida) na kuwauza ila sijui taratibu za kusafirisha dagaa changamoto za biashara hii wenye huelewa na hii biashara naomba mnisaidie
ndo nin
Biashara ya dagaa inalipa sana,na ni ngumu kupata hasara.Nashukuru sana mkuu wangu kwa msaada wako na mawazo yako mazuri na ya maana, yeah nitakucheck tuongee vizuri zaidi kaka wala hamna tatizo kabisaa.
Mkuu uliweza fanikisha mchakato wa hii biashara...!? Me nipo mbeya nilitaka tubadirishane uzoefu kama ilifanikiwa kuingia kwa hii kaziJF natumaini nitapata mchanganua wa biashara hii, nipo mbioni kuijaribu mimi nipo Mbeya nataka nitoe Mwanza to Mbeya. naweza pata utaratibu wake na je nilazima niwe na kibali, pia changamoto zike ni zipi. pia napenda nikutane na muuzaji si dalali. kwa anayemjua muuzaji kwa mwanza anipe namba yake. tufanye kazi.
Mkuu naomba uni pm tubadilishane mawasiliano ili nipate kuchimba zaidi hii nondoYello Masai Mura Hii Business unaweza kununua kutoka Musoma - soko la Musoma linaitwa Mwigobero ukaenda kuuza Dar , Mimi mi Mhitimu WA Chuo kikuu cha Mtakatifu Augostino - Mwanza Campus lakini kwa sasa nafanya kazi ya Kusimamia na kuhakiki upimaji WA Madumu ya Dagaa , mzee Wang Mimi ndo Biashara yake na Kaka angu ananunua mpaka Tani 300 Za Dagaa anapeleka Dar kwa Falcon - Tegeta , kwa Matinde kitunda , Kibaha kwa Mama Mkuza pale Mkuza Chicks Na masoko mengineyo hii Business inahitaji Sometimes Huge amounts of money Ndo hata profit inakua maximized ILA hata wenye mitaji midogo midogo wapo na wanafanya na wanapata faida kulinga na mitaji Yao , kumbka mungu Baba ndye mtoaji WA Riziki zote.
Pia sio lazima Tu utoe Musoma PIA unaweza kutoa sehemu nyingine kama visiwani ILA kwa upande WA Musoma na Kirumba mwaloni Mimi ndo mwenyeji zaidi
Asante kwa bandiko mkuu.Poleni na majukumu wadau,me naomba kwa yeyote mwenye uzoefu wa biashara ya dagaa (wakavu) wa mwanza kupeleka dar,naomba kujua gharama za kununulia kwa wavuvi,gharama za kuwakausha pamoja na usafirishaji,soko lake na mtaji wa kuanzia na yote yanayohusu biashara hii.
Natangulza shukrani
================================================
MAJIBU KUHUSU BIASHARA
============================================