Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

No.1 sio hata wa kumfata maana huyo atakupa changamoto Zilizokosa idadi na atakupa na Mifano HAI nadhani ukitaka kuanza hii biashara kulingana na Huu uzi ANZA na no.2... hua wanaoshindwa wana point za msingi sana ambazo sio nzuri na zinavunja moyo.
 
Kuliko kufanya hii biashara kama una Daladala Kaipige service Ipaki uwe unaikodisha tu kwa shughuli za Jamiii ila sio kusafirisha Abiria tena kwa awamu hiii,waliofaidika na hii biashara ni huko nyuma kuanzia kikwete kurudi nyuma.

Kama una hela za kununua daladala Nakushauri usinunue bora ununue TIPA au CANTER ukaja ipaki huku sokoni nauhakika utapiga Hela mpk hutotaman biashara zingine.

Biashara ya usafirishaji Abiria sio sio dala dala Tu ila mpaka ma BUS ya mikoani ni BIASHARA pasua Kichwa,ukitaka kuuamini hili RUUDI NYUMA miaka mi 5 tafuta MAJINA ya MABUS famous ulokua ukiyajua yako wapi?? wengine wamebadilisha biashara wengine wameyabadilisha MAJINA kwanini sasa yote haya??

Biashara Hii tena ya daladala sijaribu hata kidogo..Ni hela unazoweza pata j3,j4,j5 halafu ALHAMIS trafc wakaichukua yote au Ukaenda kuiacha Garage..sasa shida zote hizo zanini?

Anaetaka hii biashara aifanye ila kwa ushauri wangu biashara pekee inayolipa ktk magari ni ya Usafirishaji MIZIGO wenye malori,fuso,canter,tipa,kirikuu Hao ndo wanapata hela maana mishindo yao ni ya maana na mahali popote wanaenda.

Tofauti na daladala kama umepangiwa RUTI ya USA RIVER to TOWN ndo hyo hyo...kama umepangiwa KISONGO to TOWN ndo hyo hyo kama ni NGARAMTONI to TOWN do hyo hyo huwezi badili RUTI sasa biashara gani hiyo GARI LANGU NINUNUE KWA HELA ZANGU HALAFU UNIPANGIE NJIA YA KUPITA???? Hamna faida utaipata milele barabara moja haiwezi kuwa na wateja kila siku TUSITIANE MOYO. hiii biashara ni UPOTEZAJI WA HELA.
 
Kuliko kufanya hii biashara kama una Daladala Kaipige service Ipaki uwe unaikodisha tu kwa shughuli za Jamiii ila sio kusafirisha Abiria tena kwa awamu hiii,waliofaidika na hii biashara ni huko nyuma kuanzia kikwete kurudi nyuma.

Kama una hela za kununua daladala Nakushauri usinunue bora ununue TIPA au CANTER ukaja ipaki huku sokoni nauhakika utapiga Hela mpk hutotaman biashara zingine.

Biashara ya usafirishaji Abiria sio sio dala dala Tu ila mpaka ma BUS ya mikoani ni BIASHARA pasua Kichwa,ukitaka kuuamini hili RUUDI NYUMA miaka mi 5 tafuta MAJINA ya MABUS famous ulokua ukiyajua yako wapi?? wengine wamebadilisha biashara wengine wameyabadilisha MAJINA kwanini sasa yote haya??

Biashara Hii tena ya daladala sijaribu hata kidogo..Ni hela unazoweza pata j3,j4,j5 halafu ALHAMIS trafc wakaichukua yote au Ukaenda kuiacha Garage..sasa shida zote hizo zanini?

Anaetaka hii biashara aifanye ila kwa ushauri wangu biashara pekee inayolipa ktk magari ni ya Usafirishaji MIZIGO wenye malori,fuso,canter,tipa,kirikuu Hao ndo wanapata hela maana mishindo yao ni ya maana na mahali popote wanaenda.

Tofauti na daladala kama umepangiwa RUTI ya USA RIVER to TOWN ndo hyo hyo...kama umepangiwa KISONGO to TOWN ndo hyo hyo kama ni NGARAMTONI to TOWN do hyo hyo huwezi badili RUTI sasa biashara gani hiyo GARI LANGU NINUNUE KWA HELA ZANGU HALAFU UNIPANGIE NJIA YA KUPITA???? Hamna faida utaipata milele barabara moja haiwezi kuwa na wateja kila siku TUSITIANE MOYO. hiii biashara ni UPOTEZAJI WA HELA.
Dah mkuu umeongea point sana.
Mara nyingi huwa napenda kufanya udadisi kuhusu hizi biashara kwa kuwahoji watu maswali mbalimbali.
Majibu ninayopewaga yanaendana kabisa na maelezo yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kuwa nayo over the week end malipo yanakuwa mazuri hasa... wao wanakwambia ni kawaida kuwa na abilia wengi week end na siku za sikukuu (Ambazo ndizo siku mi nipo nyumbani)

Kwa upande wa pili ni vigumu mimi kumalizana na majembe na matrafiki maana nakuwa kazini. Na wao wanatake advantege hiyo!
Pole sana.

Ukiingia kwenye biashara ya daladala ni lazima kwanza uwe na dakitari wa kuangalia afya yako kwa karibu sana.

Pili ukubali kugawana mapato sawa na dreva na askari.
Duh.
 
Wakuu mwenye uzoefu anifumbue macho na akili, nataka kumvua mtu daladala mbili zilizotumika..mwenye uzoefu please some ideas please..
 
ushauri mzuri sana name nitaufanyia kazi kwani pia nilipanga kuamia kwenye hiace
 
Kupitia Uzi huu naiomba serikali ipitie gharama za ushuru wa kuagiza magari.
Wapunguze kodi kwa magari ya abiria hasa madogo na mabasi ili kutengeneza unafuu kwa watu kuagiza na kufanya biashara kwa faida.
 
Binafsi ninachoweza kusema ni kwamba biashara ya daladala ni biashara kichaaa
Kama una presha tafadhari weka mbali itakuua mapema
 
Binafsi ninachoweza kusema ni kwamba biashara ya daladala ni biashara kichaaa
Kama una presha tafadhari weka mbali itakuua mapema
Lakini ni biashara moja nzuri sana ambayo ukiwa makini kidogo tuu unatoka. Kuna watu niwahi waona wanapo anza leo wana mayutong kibao yanaenda mikoani.
 
*INAHITAJIKA TOYOTA COASTER ENGEN 1HZ ISOPIGWA MSTARI,GARI IWE NZUR IWEZE KWENDA KUPIGA KAZI MKOANI NA IONEKANE KAMA MPYAA KWA KULE,OFFER 25M #C NA KUENDELEA.SO KAMA UNAYO NIPE PICHA FULLY NJEE NA NDAN INBOX NA LOCATION*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom