Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

Vipi uliendelea na hii biashara?
 
Mnahangaika bure njoo garage-ni kwetu tuna madereva mafundi kabisaaa!! yaani ana vyeo viwili ni fundi na ni dereva ila mshahara wake ni mara mbili ya dereva wa kawaida!! gari ikiharibika aje garage kwetu sisi!

atachuku spana atafungua atarekebisha anavyojua yeye!...saweni ndg zangu!....ila service ni kwetu!! akipoteza uaminifu dhamana ni kwetu sisi km mkurugenzi wa garage! tunaweza weka mwingine!
 
Mnapatikana wapi na gerage yenu inaitwaje?
 
Na vp kama nikiamua kuendesha mwenyew nikatafuta kondakta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…