Nakuonea huruma sana kwa ufinyu wa fikra na uelewa wako. Nakuombea ili vizazi vyako visije kurithi uwezo wako wa kufikiri kwani ni dhahiri umeishia hapo ulipo na una tatizo kubwa la mental rut ambalo humzuia mtu kujifunza kitu kipya.
Rifaro sio biashara ya mtu mwingine. Ni yangu binafsi na nitaweza kuwarithisha warithi wangu baada ya kifo changu ili waiendeleze pale nilipoishia. Kwa mtaji wangu wa TZS 128,500 tu niliyowekeza kwenye biashara hii, nina fursa ya kutengeneza kipato cha mwezi kadri siku zinavyoenda ambacho hata ukiwa na madaladala 10 huwezi kuthubutu kunifikia.
Wewe ndio unafanya biashara ya DEIWAKA kwani kila siku lazima uwe na presha na biashara yako - traffic kakamata daladala, tairi limepasuka, dereva anaumwa, daladala limegongwa, dereva kanyonya mafuta, n.k. Mimi sina presha hizo kwani sihitaji kumuajiri mtu anifanyie biashara hii, siitaji kuisimamia kwani anaeisimamia ni kampuni ya Rifaro yenyewe kwa kunipatia ofisi yangu ndani ya mtandao yenye ripoti ya mapato yangu, wanachama waliopo kwenye mtandao wangu na mambo mengine mengi. Dakika mbili tatu kwa siku za kuongea na watu kama ninavyofanya hapa zinanitosha sana kufanya biashara hii kwa sababu hii ni Smart Business na sio biashara ya mitulinga kama ya Daladala na biashara zingine za karne ya 20.
Kwa wale ambao ni open minded na wangependa ku diversify business portfolio yao, mnakaribishwa kuangalia kuhusu mfumo na fursa iliyopo kwenye kufanya biashara hii ya Rifaro
Kwa nini utumie simu yako ya mkononi bila kulipwa wakati kuna Rifaro?[/QUOT
Acha kuwa mvivu wa kufikiria wewe....mtt wa kiume usipende biashara za mteremko