Biashara ya dawa za kulevya kurejea kwa kasi? Watanzania 2 wakamatwa na Cocaine kilo 2 tumboni Uwanja wa ndege wa Mumbai

Kumpata mtu kama JPM tutasubiri sana!

Nchi imeshashikwa na majambazi!
 
Uhuru wa vyombo vya habari uliminywa kutangazwa matukio kama hayo akabaki tu Herode ndo anatrend ili nchi ionekane safi lakini matukio ni yale yale
 
Uhuru wa vyombo vya habari uliminywa kutangazwa matukio kama hayo akabaki tu Herode ndo anatrend ili nchi ionekane safi lakini matukio ni yale yale
Na ukweli wenyewe ndo wenyewe!!! Kuna mambo mengi yalikuwa yanapita kimya kimya! Ni ngumu sana kukuta hizo habari kwenye mass media zetu!
 

 
nidhamu ya kazi iliwahi kuwa nzuri?
 
Watu wana yao
 
Hawa wasukuma wachache ni wakupuuzwa tu, wanamsakama mama, lengo wamkwamishe, dawa yake awanyooshe tu ili wamsahau uyo mungu wao
 
Mchukueni gwajima muende mkamfufue uyo mungu wenu wa bandia kenge nyinyi, msitake kumkwamisha rais mbuzi wachache wenye ukabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…