Biashara ya dawa za kulevya kurejea kwa kasi? Watanzania 2 wakamatwa na Cocaine kilo 2 tumboni Uwanja wa ndege wa Mumbai

Kwa lipi? Kwamba madawa yaliingizwa baada ya kufa? Tuache unafiki, hizi mambo hazijawahi kuisha, sema tu hawa jamaa wamechukua kilo kadhaa maana haisomeki tani moja tena bali 860kgs
Wewe ndio uache unafiki,vita dhidi ya madawa ya kulevya aliweza kuipunguza kama sio kuimaliza kwa kiasi kikubwa,mkazi yoyote wa jiji la Dar anajua ni kwa jinsi gani vijiwe vingi vya uuzwaji wa madawa ya kulevya vilipungua.
Hata mateja barabarani na vituoni mwa mabasi walipungua sana.Wacheni unafiki, biashara ya madawa ya kulevya tuseme tu kwa sasa inaanza kurudi.
 
Aisee...

Umeongea jambo la msingi sana!!
 
yaani wewe unaamini kuna muda hiyo biashara iliisha au. njoo hapa kwa mfipa , miaka nenda miaka rudi mateja wapo na wauzaji wapo.
polisi wenyewe ni wateja
kuna siku nilitaka kupeleka taarifa polisi, mara paah na wenyewe nikaona mtu ana yunifom kabisa anachukua mzigo
ikabidi nitulizane
 
angedumu milele ili kuzuia hayo yote
 
Hakuna serikali ambayo haijawahi kudhibiti... tofauti ni kwamba wengine wanadhibiti kwa mbwembwe na makelele na wengine wanachukulia kama utaratibu wa kazi!

Lakini kubwa zaidi, ni pale watu wanapojaribu kutuaminisha kwamba hili suala linarudi upya as if lilitoweka! Au ndo kama alivyogusia Lucky Star hapo juu, kwamba zama za JPM wakikamatwa wauza unga mtasema "vita dhidi ya wauza unga ni kali, serikali ipo makini" lakini wakimatwa leo, "biashara imerejea kwa kasi"

Na kama nilivyosema kwenye post yangu, ninaheshimu sana ukamataji kwenye viwanja vya ndege, au ile iliyofanyika kule Kilwa... yaani jamaa wanaotewa kabla hawajaingiza mzigo!

Kinyume chake, nimekuonesha hapo wauza unga waliokamatwa wakati wa JPM, na karibu wote hao, mizigo ilikamatwa majumbani!

Kwa maana nyingine, walipita sehemu zote bila kukamatwa!!! Sasa ulishawahi kujiuliza mtu anapokamatwa na gram kadhaa ndani, mzigo hasa unakuwa wapi?
 
Mchungaji kalala hapo lazima ng'ombe na mbuzi wajiachie kwenyemashamba tutaludi kulekule vijana kuhalibika na kupoteza nguvu kazi ya taifa.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
"Nasema mtanikumbuka! sio kwa mabaya bali kwa mema."

Maneno haya alipata kuyatamka mwendazake.Bado kidogo Twiga wataanza kupakiwa ndege na viroba vya dhahabu vitaanza kupakiwa kwa ndege!
Mwendazake alikuwa fisadi kuu, jitu lenye roho mbaya na chuki, Mungu kasikia kilio cha watanzania kamnyakua akaongoze kundi la watu wa jehenam kuitia waovu wenzao
 
Kwa lipi? Kwamba madawa yaliingizwa baada ya kufa? Tuache unafiki, hizi mambo hazijawahi kuisha, sema tu hawa jamaa wamechukua kilo kadhaa maana haisomeki tani moja tena bali 860kgs
Jifunze kupongeza panapo Jambo zuri.

Huoni hata mateja mtaani wamepungua na wengine wanameza dawa Muhimbili, Mwananyamara n.k?
 
Unalazimisha Jambo ambalo huna uhakika nalo.

Jifunze kutunza akili uitumie kwa mambo mengine
 
Hujui unachokisema wala hustahili kujibiwa na mimi
 
Umewaza Kama Mimi ambaye naona haya yalikuwa Kama hidden story lkn ni wala tatizo halikutatuliwa ht kwa robo kiwango...unga ni unga tu na hela yake ni ya maungaunga
Sasa hao kenge wachanga hapo juu wananijibu ujinga eti niache unafiki nipongeze
 
hamna tatizo muda ni mwalimu mzuri.

nimekupa mfano wa ujangiri na ujambazi,kwa makusudi unauruka ili dhana yako isiingie doa.

kazi za mtu huwa zinaongea,kuziita makelele na maonyesho ni maamuzi ya mtizamaji.
 
Kwaio saizi watu wanawinda videnti bila presha,,aisee ni shida Jpm come back.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…