Kijana Mimi binafsi huko sipa faham vizur ila Ni mwenyeji wa k'njaro na Dar hata mikoa mingne pia tofaut na huko.
WAZO LANGU KWAKO
Mahali kama hapa Dar, una weza anzisha hata saluni mbili kwa hela yako Hiyo. Una Fanya hvi,, unafungua ofisi ya kawaida sana maana saiv vyuma vime kaza kwahyo watu wengi hawapendi Kwenye saluni za gharama sana.
Tafuta vijana uwaweke pale kila siku wana kulipa wewe eg 9000@ saluni moja,, ambapo una kuta Ni 18000 kwa siku,, hebu piga Mara wki then Mara mwezi,, hhehehehheh,, hata Bachelors' holder haku fuati hata kidogo,,
Faida ya hii biashara.
1. Una kua free kufanya mambo mengne
2. Hakuna kinacho oza hapo kama biashara ya nyanya
3. Na zingine nyingiii.
NB: Nina experience 100% so kama una swal au kama Kuna mwingne ambae pia ana mtaji wake na Yupo interested kufanya hyo biashara ana ruhusiwa kuuliza chochote.
0763885349