THE MAYA EMPIRE
Senior Member
- May 6, 2018
- 106
- 149
Shukrani sana mkuu. Unapochukulia wapi mzigo?Chumvi kubwa kwa huku 12000
Chumvi ndogo 5000
Ponpon 40000
Freestyle hizi ni ped ndogo nabkubwa 22000
Betri aina zote ndogo na kubwa wakati kubwa huku nilipo ni 110000
Sukari kg 50 ni 105000
Sukar kg 25 ni 54000
Ngano azam bora 25500
Kleesoft sabuni ya unga kg 15 ni 31000
Ahsante mkuu ngoja nisubiri wa Dar wajeHizi ni bei za mizigo ya kanda ya kati. Mikoa ya Manyara, Singida, Dodoma, Tabora na shinyanga
Sijajua huko kwenu wanauzaje. Maana huko viwanda vipo karibu,wauzaji wa jumla wanaweza kuuza kwa bei nzur sababu garama za usafir ni ndogo
Ahsante kwa ushauri mkuu. Mtaji wa nafaka upo mkuu nimeshaleta mzigo kutoka mbeya wa mchele na nina unga wa sembe na dona pia. Nataka kuweka na vitu vingine vya rejareja. Faida ya asilimia 10 inanitosha mkuu nyingi sana hiyo madam turnover ikiwa kubwa.Kwa mtaji ulionao tafuta bidhaa moja tu uuze kwa jumla, biashara ya duka la reja reja hailipi faida zake kwenye bidhaa ni ndogo sana kama 10% maake ni kwamba ukiuza laki moja kwa siku unapata faida 10,000 bado kodi Tra, manispaa, usafi, mlinzi. Kwa pesa hiyo unaweza fanya biashara ya nafaka na ikakulipa vizuri tu mfano unatoa mchele Morogoro au mbeya unakuja kuuza Dar,
Ni ushauri tu.
Duka la rejareja faida yake ni ndogo mnooo,kwa mfano waweza uza laki tatu kwa siku ukapata faida 15000 tuu.Kwa mm ninavyoona fanya biashara ya kitu kimoja kingi uuze kwa jumla mfano viazi toka Mbeya to dar,au maharage na nafaka nyingine.
Nakuongezea mbinu nyingine, baadala ya kufungua duka la rejareja, nunua bajaji ile ya kubebea mizigo nunua bidhaa nyingi halafu unasambaza kwenye maduka hakikisha bidhaa yako unaichukua kwa bei ya chini kabisa, ikiwezekana uende mwenyewe kiwanda, bajaji hiyo unaweza kuitumia kusambaza hizo nafaka kwenye maduka baadala ya kuweka mzigo kusubiri wateja.Ahsante kwa ushauri mkuu. Mtaji wa nafaka upo mkuu nimeshaleta mzigo kutoka mbeya wa mchele na nina unga wa sembe na dona pia. Nataka kuweka na vitu vingine vya rejareja. Faida ya asilimia 10 inanitosha mkuu nyingi sana hiyo madam turnover ikiwa kubwa.
Shukrani sana mkuu kwa msaada wako. Ubarikiwe sanaMimi nauza vifuatavyo ambavyo vinatoka haraka;
mafuta ya kula,
sukari,
unga ngano(mara nyingi naisambaza kwa mama ntilie ili iuzike haraka),
sabuni ya kufulia(ya mche na unga),
pipi na jojo,
maharage,
majani chai,
mifuko ya kubebea,
viberiti,
angalau hivyo vina cash flow nzuri kwa upande wangu.
Nakuongezea mbinu nyingine, baadala ya kufungua duka la reja reja, nunua bajaji ile ya kubebea mizigo nunua bidhaa nyingi halafu unasambaza kwenye maduka hakikisha bidhaa yako unaichukua kwa bei ya chini kabisa, ikiwezekana uende mwenyewe kiwanda, bajaji hiyo unaweza kuitumia kusambaza hizo nafaka kwenye maduka baadala ya kuweka mzigo kusubiri wateja.
sawa mkuu tuko pamojaShukrani sana mkuu kwa msaada wako. Ubarikiwe sana
Duka la rejareja faida yake ni ndogo mnooo,kwa mfano waweza uza laki tatu kwa mwezi ukapata faida 15000 tuu.Kwa mm ninavyoona fanya biashara ya kitu kimoja kingi uuze kwa jumla mfano viazi toka Mbeya to dar,au maharage na nafaka nyingine.
Wawekee wateja maziwa ya unga ya kupima na prestige ya kupima wakikuzoea utanikumbukaNashukuru sana. Ila mimi hii biashara ya rejareja nimefanya utafiki kidogo hapa mtaani itanifaa sana maana hakuna duka la rejareja karibu lilopo liko mbali kidogo na service yake sio nzuri na linafungwa mara kwa mara na kuwalazima jamaa kutembea umbali mrefu kufuata huduma. Ni biashara ambayo nina passion nayo mda mrefu na sitauza vitu hivi tu ila nitaweka na gesi, huduma za kutuma na kupeka pesa na vocha za kurusha. Kwa sasa zinapatikana mbali kidogo kama gesi lazima upande boda boda kuifuata. Nadhani ni vizuri nikashauri kuwa nielekezwe na kushauriwa na wanaoifanya hii biashara na ushauri ujikite kwenye hii biashara maana nimeomba kusaidiwa list ya vitu kwenye hii biashara na sijaomba wazo la biashara. Hatua ya wazo la biashara nimeshatoka huko.
My pleasure Hornet....nitakukumbuka hakika maana nitaleta mrejesho hapa baada ya miezi sita ya mwanzoWawekee wateja maziwa ya unga ya kupima na prestige ya kupima wakikuzoea utanikumbuka
Sawa SawaMy pleasure Hornet....nitakukumbuka hakika maana nitaleta mrejesho hapa baada ya miezi sita ya mwanzo
Sawa Sawa
Naomba ukianza nikuletee bidhaa yangu Dukani kwako!