huko nako kikiingia kideri utaleta mrejesho.In fact biashara ya ufugaji haina stres no way duka stress tupu
Now na make nifanye poultry
huna msaidizi?Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu
Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop
But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
Watu mnajua kuhukumu wengine duuuh" WEWE UMEKAANIWA AKILI MPK MWILI" Hii si sawa kwa kweliAkili zako maziwa mgando, achana na biashara ya duka sasa kawe mpiga debe ili usiwe unakaa sehemu moja.
.
Kurogwa ni unajiroga mwenyewe na hautofanikiwa kamwee. Biashara inaendeshwa na ubunifu na utayari, ingekuwa hayo unayoyaamini ni ya kweli maduka mengi ya kariakoo yasingekuwepo WEWE UMELAANIWA AKILI MPAKA MWILI
Kivipi?Biashara ya DUKA
ni nzuri, ila baishara ya KIOSK ni stress.
Jaribu huko!!Bora poultry kuna Uhuru wa muda
Unaingia shamba saa 7 unawahudumia hadi mida ya saa 8 mchana unawatizama tena then unawez ukaendelea na mambo mengine kijana wa kaz au wife akaja kuwakagua tena in fact poultry hakuna stress
Possiblebiashara ya duka nitamu jamani! wewe kuna mahali umechemka
Nmekua bize sana mkuu, Ila huwa napitia pitia nasoma tu commentssikuoni kwenye uzii wetu?
Sidhan kama bongo tushafikia levo za kuuza duka 24hr non-stop.Mkuu biashara ya duka inahitaji moyo sana cuz masaa 24 ya muda wako unaumalizia shop
Wewe utakua sio mwny duka, utakua umewekwa na boss wako au mzazi wako.Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu
Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop
But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
Ajiri mtu then uendelee na bata bataniHabar wana Jf
hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana
Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si kweli uhalisia tuna mashaka sana.
Hii biashara ya duka haina future nzur miaka nenda miaka rudi unakaa tu dukani mambo kibao mtaani yanakupita unabaki kusimuliwa tu
Kiukweli bora ufanye poultry
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu
Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop
But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
HahahahahahahaHahahahha mambo ya mtaani yanakupita sio inaonesha wewe ni mbea sana hupendi kupitwa na umbea wa mtaani