Biashara ya duka stress tupu

Biashara ya duka stress tupu

Sikubaliani na Mtoa mada;

Binafsi nna biashara ya duka, na huwa nakaa dukani.

Biashara ya duka itakuboa pindi kutakapokua na mzunguko mdogo,

afu wateja hawaji na huna chochote ndani ya duka lako kurefresh mind. MF: kucheck TV,kuchat n.k

Ila kama mzunguko upo, na wateja wanapishana kila Mara mlangoni.

Unakua kama unadownload tu pesa dukani.

WALLAH UTAIPENDA SANA BIASHARA YA DUKA MAISHA YAKO YOTE.
Kama mm pia
 
Sikubaliani na Mtoa mada;

Binafsi nna biashara ya duka, na huwa nakaa dukani.

Biashara ya duka itakuboa pindi kutakapokua na mzunguko mdogo,

afu wateja hawaji na huna chochote ndani ya duka lako kurefresh mind. MF: kucheck TV,kuchat n.k

Ila kama mzunguko upo, na wateja wanapishana kila Mara mlangoni.

Unakua kama unadownload tu pesa dukani.

WALLAH UTAIPENDA SANA BIASHARA YA DUKA MAISHA YAKO YOTE.
KUDOWNLOAD tu pesa... Nimeipenda hiyo. mwiko ku UPLOAD tu pesa.😀😀
 
kwenye poultry kuna mziki mwengine huko, wa matunzo mana makuku haya ya kisasa, mmh! maybe kama utafanya na wa kienyej
Bora poultry kuna Uhuru wa muda

Unaingia shamba saa 7 unawahudumia hadi mida ya saa 8 mchana unawatizama tena then unawez ukaendelea na mambo mengine kijana wa kaz au wife akaja kuwakagua tena in fact poultry hakuna stress
 
Ukiachana na biashara ya kuzalisha mean kiwanda. Ukweli me huniambii chochote kuhusu duka. Maisha ya biashara ni matamu asikwambie mtu..
In fact biashara ya ufugaji haina stres no way duka stress tupu

Now na make nifanye poultry
 
Ukiona mtu anaendesha biashara ya duka rejareja(nadhani vyakula Kama mtoa mada amekusudia hivyo) kwa muda wa miaka 3 na linaendelea vizuri mpe heshima yake.

Hii biashara watu wanaweza sema ni rahisi ila ni biashara ngumu Sana inayohitaji akili maana ukicheza kidogo tu unafunga.

Wengi imewashinda kwasababu hajui njisi ya kuiendesha, kwenye mauzo atataka ale hapo hapo atachota sukari, hapo hapo atachukua sabuni ,chumvi, unga n.k kwa matumizi ya nyumbani ila haesabu , yeye anahesabu alizouza tu na tatizo linaanzia hapo.
Kweli kabisa mkuu
 
Imani dhaifu hizo za kurogwa
Unajiroga mwenyewe kama kitu unachofanya hukifurahii

Biashara unataka utajirike kwa mwaka mmoja tu
Unafikiri wenye maduka hawana social life
 
Akili zako maziwa mgando, achana na biashara ya duka sasa kawe mpiga debe ili usiwe unakaa sehemu moja.
.
Kurogwa ni unajiroga mwenyewe na hautofanikiwa kamwee. Biashara inaendeshwa na ubunifu na utayari, ingekuwa hayo unayoyaamini ni ya kweli maduka mengi ya kariakoo yasingekuwepo WEWE UMELAANIWA AKILI MPAKA MWILI
Biashara ni wewe mwenyewe
 
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu

Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop

But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
 
Back
Top Bottom