Biashara ya duka stress tupu

Biashara ya duka stress tupu

Labda kama unatafuta Uhuru tu. Lakini hakuna biashara isiyokuwa na stress. Kwenye poultry kideri kinaweza safisha Kuku 10000 kwa siku 2 haa usipokuwa na moyo mgumu lazima udate.
But hakuna lisilowezekana ukiwa na nia.Pia biashara ya duka kwa sasa ni outdated.
Uzalishaji, kutoa Huduma au uongezaji thamani vitu ndio biashara za dunia ya Leo so uko sahihi kwenye poultry.

Biashara ya duka kupata competition ni rahisi mno ndo maana mnasingizia uchawi kozi mtu yeyote anaweza fungua akiwa na pesa hakuna ubunifu wa kutisha unaohitajika hata uchawi hamna Bali mnagawana Wateja tu.
Kwenye swala la competitio ndio kwenye mtiti hapo unakuta jirani yako anauza vitu cheep sana hadi unashangaaa wateja wako wote wanaenda kwake

In fact poultry my best passion
 
Habar wana Jf


hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana


Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si kweli uhalisia tuna mashaka sana.


Hii biashara ya duka haina future nzur miaka nenda miaka rudi unakaa tu dukani mambo kibao mtaani yanakupita unabaki kusimuliwa tu


Kiukweli bora ufanye poultry
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu

Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop

But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
Akili yako inawaza bataz tu..fanya kazi
 
Write your reply... Ukweli haipingiki hiyo biashara haina uhuru yaani ukiiendekeza maisha yote utamaliza sehemu moja tu hapo dukani kuna duka moja hapa maeneo ya mtaani wanafungua saa 12 asubui hapo ni marathon hadi saa 5 usiku kesho tena sasa maisha gani hayo binafsi malengo yangu kuwekeza kwenye biadhara hata nne ambapo watu nimewaajiri arafu moja nakaa mwenyewe hivyo nikiingia kazini nafunga mapema tu naenda home kula movie na mtoto mkali.
😂😂😂
 
Ukiona mtu anaendesha biashara ya duka rejareja(nadhani vyakula Kama mtoa mada amekusudia hivyo) kwa muda wa miaka 3 na linaendelea vizuri mpe heshima yake.

Hii biashara watu wanaweza sema ni rahisi ila ni biashara ngumu Sana inayohitaji akili maana ukicheza kidogo tu unafunga.

Wengi imewashinda kwasababu hajui njisi ya kuiendesha, kwenye mauzo atataka ale hapo hapo atachota sukari, hapo hapo atachukua sabuni ,chumvi, unga n.k kwa matumizi ya nyumbani ila haesabu , yeye anahesabu alizouza tu na tatizo linaanzia hapo.
Mkuu umeongea point sana.
Ndio maana mm sina hamu kabisa ya kufungua hiyo biashara ingawa mtaji ninao.
Yaani biashara ya duka ukivuka miezi 6 ww ni mwanaume.
Nimewah kuona mtaani kwetu Kuna fremu moja ya duka ilikuwa inapangishwa,basi huwezi amini ndani ya mwaka mmoja walipanga watu watatu na wote wamechemka na Sasa hivi ile frem haina mpangaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara rahisi ni mama wa nyumbani, ukiitumia fursa vizuri mambo yanakuwa poa sana, tafuta mume mwenye nazo kamengi, hudumia mumeo tunza familia kuwa na kauli nzuri kata kiuno kistaarabu, gari nyumba matumizi hayapigi chenga, wachana na duka.
 
Habar wana Jf


hii biashara ya duka dah ni biashara nzuri but imejaa hofu kibao kwanza wenyewe kwa wenyewe mnarogana


Chengine jamii inatuchukulia sisi wenye maduka tuna Uhuru wa kipesa lakini si kweli uhalisia tuna mashaka sana.


Hii biashara ya duka haina future nzur miaka nenda miaka rudi unakaa tu dukani mambo kibao mtaani yanakupita unabaki kusimuliwa tu


Kiukweli bora ufanye poultry
Naomba niweke kumbukumbu sawa nafanya biashara ya duka mwaka wa 3 sasa na inaenda vizur ila na inanipa faida nzur tu

Ila haina free time yani no bataz muda wote upo shop

But my future nanza kukita mizizi kwenye poultry cuz ndo itanipa free time
utoto
 
Ukiachana na biashara ya kuzalisha mean kiwanda. Ukweli me huniambii chochote kuhusu duka. Maisha ya biashara ni matamu asikwambie mtu..
Maisha ya biashara yanakupa full control of your own life full uhuru, we ni manager, boss, director yani, sijui anazungumzia nini...?
 
Mimi niko ktk biashara hizi za maduka leo mwaka wa 10, ila nilichogundua duka lazima ukubali kupitwa na mengi yanayojili maana ukisema uajili hawa vijana au watu wa dunia ya sasa hata kama ni ndugu yako atakuibia tu mtaishia kulaumiana bora kukomaa ww na mkeo tu kama umeoa.. Ukitoka au ukichoka funga tu ujue moja kuliko kumuachia mtu litaisha.. Ila ukishaona umepiga hatua hata ukimuweka mtu akakuibia huta yumba unawez ajili.
Kuna kitu umeniongezea hapa mkuu,
 
KUDOWNLOAD tu pesa... Nimeipenda hiyo. mwiko ku UPLOAD tu pesa.😀😀
Yaap, yani biashara kama utapenda kale kamchezo ka buy and sell, utaenjoy sana, mi ni muajiriwa vile vile nafanya biashara ila ninapokuwa kwenye biashara nakuwa huru na comfortable than ninapokuwa kwenye kazi ya watu. Mungu anisaidie kwa kweli kwa hili,
 
Nilipo maliza Form four matokeo hayakuwa mazuri sana nikamwambia mzee nifungulie biashara ya duka ili nijenijiendeleze mwenyewe kimasomo kwa hela yangu kweli mzee alikubali akanipa mtaji nakumbuka wa 350,000 akanijengea kaduka hapo home ambacho kiligharimu kama 1.5m ujenzi wake miaaka ya 1990, Nilikomaa na biashara kwa hasira nakumbuka sikutaka kabisa kupoteza muda ilinibana kisawa sawa lazima ujikane na uache mambo mengi hadi starehe unaweza kujikuta hata kuoga ni issue kwani huna muda huo mpaka usiku.

Nilikuwa na location nzuri wateja kibao hasa wakina mama, na kawa mjanja nikaweka bidhaa kulingana na mahitaji mfano mimi nilianza na kaduka kabidhaa na vyakula baadaye nikaona watu wanahitaji Pombe ilo eneo limezungukwa na wachaga wengi nikaweka pombe ilinipa wateja wengi sana watu walisema nilikuwa na kamzizi kumbe hapana nilikuwa na kauli nzuri na wateja by that time ulikuwa ukiuza cret moja ya bia unapata faida ya 9,400 nilijikuta kwa siku nauza cret 2 na wik end nauza 4-5.

Nikaweka binti mkali sana toka Kondoa kama muhudumu anakuja jioni nilipiga hela kwa kweli, Nikapata mtaji wa kutosha nikawongeza huduma ya nyama choma na supu jioni.

Wadau wakaongezeka sana nikatenganisha Duka nikaweka kipub nyuma na jiko la nyama choma na supu nikaongeza wahudumu wakawa wawili warembo sana nakumbuka mmoja aliitwa Celina alikuwa na nyota ya wateja sana hayo magari yanaopark hapo mauzo yakapanda nikawa nauza cret 10 kwa uchache hapo hata ndoto za shule ziliyeyuka kabisa, nikajenga room moja kama vip hivi baada ya kupata ushauri wa wateja ambao walikuwa VIP kazuri full AC kifupi nilipata hela sana nikajenga room tano za kulala maana wateja walidemand sana.

Baadaye ulizuka mgogoro mkubwa wa kifamilia nikaamua kufunga nikaenda zangu chuo kupiga certificate na baadaye diploma nikahamisha biashara Jijini Dar sasa napiga kazi nyingine.
 
Mbona huelewiki

Kikubw nyumban nisehemu ya kuanzia tuu hatua moja nyingne nenda ubakin
 
Back
Top Bottom